kiwanja kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. uberimae fidei

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    Kibaha msangani juhudi. Kipo karibia na stend ya bajaji Km 5 KUtoka morogoro road Ukubwa mita 20 kwa 20 Milioni tatu na nusu. Barabara nzuri ya lami. Umeme na maji vimefika.
  2. N

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa bei chee Kibaha kwa Mfipa upande wa chuo

    Habari Nauza kiwanja Kibaha kwa mfipa chenye ukubwa wa miguu 20 kw 19 Bei ni Tshs 3,500,000 maongezi kidogo yapo Kiwanja ni changu mwenye, kipo sehemu nzuri na huo mtaa maji, umeme na huduma zote za kijamii zipo Njoo nikuuzie umiliki kiwanja leo hii mana kadri siku zinavyokwenda ardhi...
  3. W

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneno mbalimbali Dar es Salaam

    Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka. kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba. Ukubwa ni 45 kwa 35 metres. Bei ni million 30 tu. Umbali kutoka barabarani ni km 2 Mawasiliano 0715128827
  4. F

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Moshi - Kilimanjaro, 2700 sqm bei ya kutupwa

    Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya sekondari maji na umeme vipo hapo jirani Mwenye kiwanja anahitaji hela ya haraka Bei million 17
  5. I

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneo mbalimbali

    Kiwanja kinauzwa, kina msingi wa nyumba. Kiromo shule, Bagamoyo. Kinaukubwa wa miguu 20 kwa 15. Gharama 8,000,000/=. Piga 0762 658788
  6. Dr. Zaganza

    Nauza Eneo Langu Morogoro Mjini

    Habari wakuu Nauza eneo langu lenye ukubwa wa kari 3 liloko Mkoa wa Morogoro, eneo la Wami Luhindo (km 20 toka msamvu stend, Dodoma road) , Kisha unaingia bara bara ya vumbi na gari km 8 hadi eneo la kiwanja. Eneo liko jirani na kiwanda cha nyama. Bei ya kuanzia kwa ekari ni laki 8 Kwa maswali...
  7. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili Kila kimoja ukubwa squire meter 400. Bei kwa kimoja milioni tatu. Kwa vyote viwili milioni 5. Km 5 kutoka morogoro road Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000. Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco. Mawasiliano :+255766042214
  8. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha

    Kiwanja kipo kibaha kwa Mathias kidenge.vipo viwili Kila kimoja ukubwa squire meter 400. Bei kwa kimoja milioni tatu. Kwa vyote viwili milioni 5. Km 5 kutoka morogoro road Barabara nzuri ya lami,bajaji 1000. Huduma zote za kijamii zipo,umeme na maji ya dawasco. Mawasiliano :+255766042214
  9. CalifNice

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Zanzibar - kina ukubwa wa mita mraba 800

    Kiwanja kipo eneo la Chonga wilalya ya Chake chake Kina ukubwa sqm 850 Kipo mita 30 kutoka barabara kuu *Kiwanja kipo karibu msikiti na hospital ya Chonga Umeme ushafika hauhitaji nguzo Madrasa ya Qurani yapo hapohapo Kuna miti (3) ya mikungu, mshelisheli (1) na muembe ng'ongo (1) Bei Tsh...
  10. yello masai

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibamba shule

    Wakuu Kiwanja kinauzwa. Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele. Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa. Ukubwa ni 20 × 20. Bei ni 5.5M. Haipungui hata mia. Kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, mi sio dalal. Kama unahitaji, comment hapa...
  11. Kakakuona

    Plot4Sale Tunauza viwanja katika maeneo mbalimbali

    Ukubwa wa kiwanja: 650 Sqm. Eneo: Goba Kulangwa, barabara mpya ya lami ya Kuelekea Madale. Bei: Tshs 25,000,000 (Milioni 25) Kina hati ya wizara. Contact : 0742141467
  12. H

    Kiwanja kinauzwa Mbweni-kizuri mnoo

    Size sqmt 877. Bei 100m, aliye serious mazungumzo yapo. Muhusika anasafiri kwenda Marekani mwezi ujao, so anahitaji mteja kabla hajasafiri. Eneo ni Mbweni JKT, ni pazuri mnoo, njoo mwenyewe ujionee. Umeme upo. Mpangilio wa nyumba ni mzuri sana Eneo lina utulivu na upepo mzuri. Lipo 100m kutoka...
  13. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kipo kibaha kwa Mathias, Squire meter 400. Kipo msangani juhudi,jirani na stend ya bajaji Bei milioni 3
  14. Ester505

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Morogoro, 760 sqm

    Kiwanja kinauzwa Morogoro mjini. NI Cha makazi na biashara. Bei Ni 6,300,000. 0785367879
  15. shin gun wook

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha, Kwa Mathias

    A plot for sale Kibaha Kwa Mathias. Ukubwa: Mita 20 kwa 20. Umbali: Km 5 Bara bara ya lami. Usafiri piki Piki 1500, bajaji 1000. Umeme na maji ya dawasco yapo. Huduma za kijamii zote zipo. Kipo jirani na shule. Bei milioni tatu na nusu +255766042214
  16. liter

    Kiwanja kinauzwa Kisemvule

    Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
  17. mwakyambikig

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Maramba mawili Dar es salaam 23 kwa 20

    Kiwanja kipo maramba mawili eneo la king’azi, ukubwa 23 kwa 20, Sifa ya kiwanja 1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari, 2. Hakipo mbali na Barabara ya tanroad inayotokea maramba kwenda mloganzila unaiyona ukiwa eneo la tukio. 3. Umeme na maji vimepita mpakani mwa kiwanja...
  18. 87Method

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa kipo kimara suka

    Kiwanja nikizur Sana Kinauzwa kipo kimara suka Ukubwa ni mita 20 kwa 22 Kimepimwa na serikali yamtaa bado Hati. Bei milioni 👉 12 maongezi yapo Usafili upo mwingi tu bajaji Tsh. 700 Pkpk Tsh. 1000 Barabara safi. 📞 📲 call/whatsapp: 0689859495 no cheni namaliza biashara
  19. K

    Plot4Sale Kiwanja chenye vyumba viwili kinauzwa Kibaha kwa Mathias

    Kipo Kibaha kwa Mathias karibu na kambi ya jeshi nyumbu mtaa unaitwa mita 50, kimejengwa vyumba viwili na choo. Vyumba vimewekewa umeme tayari, maji pia yamefika maeneo hayo. Kimepimwa kwa hatua za miguu tu hatua 30 urefu na 10 upana . Pamejengeka tayari, ni eneo lililochangamka. Bei Milioni 15.
  20. B

    Kiwanja kinauzwa Kibaha miembe saba

    Nauza kiwanja Kibaha miembe Ukubwa mita 54 kwa mita 23 Nimepunguza bei ya awali ilikua Mil.13 sasa nauza kwa Mil.9.5, WhatsApp au kupiga kawaida 0674 223 223.
Back
Top Bottom