kiwanja kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Goba Centre

    Ukubwa wa kiwanja 800sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 45milioni More information- 0742141467
  2. C

    Kiwanja kinauzwa Dodoma

    Kiwanja kinauzwa Dodoma eneo makulu bei ni 15M kwa description za kiwanja 0755151642. Karibuni
  3. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati kinauzwa Goba

    Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm. Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami. Vimepimwa na kina hati. Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni ) Wasiliana nasi - 0742141467
  4. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbopo Madale

    Kiwanja kinapatikana eneo la mbopo-madale ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es Salaam. Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa. Kiwanja kiko eneo zuri lililojengeka na linalofaa kwa makazi. Kiwanja kimezungukwa na huduma muhimu kama maji,umeme,shule na...
  5. dovillenproperty

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property. Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH, BAHARI BEACH, UNUNIO, MBWENI,BAGAMOYO,TANGA, MOROGORO, ARUSHA, DODOMA NK Wasiliana nasi kwa 0756060183...
  6. N

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Kimbiji golani 4mil

    Habari wana JF, Nina kiwanja changu nakiuza 4mil kipo Kigamboni kimbiji golani eneo la kidagaa kina hati toka ardhi 600sq ni km 35 kutoka Kigamboni Ferry .. Kwa mawasiliano zaidi piga 0657940974
  7. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa - Igoma jijini Mwanza

    Kiwanja kinauzwa Igoma mwanza. size ni 30*25 ft kipo mtaa wa kilimo A, Igoma jijini Mwanza. Umeme upo kiwanjani, maji yapo hapo pia. Kiwanja ni kizuri sana njoo uone kwa macho. Bei 6 million mawasiliano 0713096076 0713096076
  8. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa, Igoma Mwanza

    Kiwanja kinauzwa IGOMA mtaa wa kilimo msikitini SIZE YAKE NI HATUA 33*33 Kimepimwa (beacon zimewekwa) Maji, umeme, barabara vipo tena uhakika muda wote. kutoka kiwanjani kwenda igoma senta dakika 5-10 tu kwa pikipiki/gari. kwenda machinjioni/kijereshi ni dakika 3-5 kwa boda. BEI NI 15 mil...
  9. Benno Bongo

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mwanza

    Kiwanja kinauzwa Mwanza karibu na Dolphin Lodge. Note: hizi picha ni za zamani kidogo sasa hivi majirani wamejenga. Kwa mawasiliano zaidi pamoja na kuuliza maswali ili kujiridhisha piga simu namba 0753155934
  10. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A Dar es salaam

    Habari za muda huu ladies and gentlemen? nauza kiwanja Bunju A Dar es salaam. size ya kiwanja ni 30*30 hatua za miguu. bei ni 7mil net. karibu Kwa mazungumzo 0713096076
  11. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dar es alaam - Chanika

    Habari za leo wana JF. Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga. Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki...
  12. S

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Iringa

    Mahali: Iringa mjini, kata ya nduli Hadhi: Hakijapimwa. Ukubwa: hatua 27*30 Nyaraka: Hati ya mauziano toka ofisi ya kata Bei: 3.5 milioni Mawasiliano: 0627089049 Kiwanja kipo katika mtaa wa Mapanda Umbali wa mita 400 toka barabara kuu ya Iringa-Dodoma.
  13. Nijosnotes

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Buhongwa, Mwanza hakina udalali

    Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa. Ukubwa ni Squaremeter 1200 Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya watu.... Huduma za umeme na maji zimefika. Bei Tsh. 18,000,000. Hakina udalali ongea na mwenye nyumba...
  14. Mzee Mambo

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bagamoyo vijijini

    Kiwanja kinauzwa. (HAKINA UDALALI) Mahali: Bagamoyo vijijini Kijiji cha WAMI STATION (MATIPWILI) Ukubwa: Robo heka na ni TAMBARARE Kipo kando ya barabara itakayojengwa ya EAST AFRICA. Huduma za kijamii zote zinapatikana. Usafiri ni wa Gari na Reli. Umbali ni 40km kutoka Barabara kuu...
  15. Shangchi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Chanika nguvu kazi

    Habari wanajf kiwanja kinauzwa maeneo ya chanika nguvu kazi,upande ule wa pili wa hospital karibu na mjasiriamali (mfugaji wa kuku) Mwendo wa nusu saa kutoka barabarani Urefu 70 upana 35 Bei ni 4.5 milion Hati bado haijalipiwa 0786180342 Note:mimi sio dalali bali mwanafamilia
  16. Sitachoka

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dodoma Mjini

    Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer. Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta kukinunua kama una mipango ya kuwekeza katikati ya mji. Karibuni
  17. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Bunju A Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete document za serikali ya mtaa zipo Bado hakijapimwa Size 30*30 KUHUSU MIUNDOMBINU Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani. Maji yapo. Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa Bei...
  18. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  19. Magari ya Biashara

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach - Africana (upande wa bahari)

    Kiwanja kipo Mbezi Beach Africana upande wa chini. Kina ukubwa wa sqm 800, HATI IPO Bei ni milioni 130 tu. WAHI SASAA. MAWASILIANO 0677 818283
  20. B

    Kiwanja kinauzwa Chanika Zogoali 4.5m

    Kina msingi wa kisasa Eneo chanika Zogoali unapita kwa Mzeru mbele kidogo Size 19*19m Simu 0712464478
Back
Top Bottom