kiwanja

  1. Shangchi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Chanika nguvu kazi

    Habari wanajf kiwanja kinauzwa maeneo ya chanika nguvu kazi,upande ule wa pili wa hospital karibu na mjasiriamali (mfugaji wa kuku) Mwendo wa nusu saa kutoka barabarani Urefu 70 upana 35 Bei ni 4.5 milion Hati bado haijalipiwa 0786180342 Note:mimi sio dalali bali mwanafamilia
  2. Evans Richard Arsenal

    Nahitaji kiwanja, msaada tafadhali

    Habari nahitaji eneo dogo la ujenzi, maeneo ya makabe njia panda maeneo hayo hata kama unaingia kidogo siyo mbaya. Sihitaji dalali,budget Milion4 charp No yangu 06521326
  3. C

    Plot4Sale Pata kiwanja kwa kuanzia milioni mbili

    Pata kiwanja 10 kwa 10 kwa shilingi milioni mbili tu eneo la mbezi mzalendo. Usafiri wa bajaji toka mbezi stend ni 1000 tu. Eneo ni kubwa hivyo unakatiwa kutokana na ukubwa unaotaka na hela uliyokuwa nayo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0716694624
  4. Komando kipen

    Naomba ufafanuzi wa kiwanja cha ukubwa wa 30 kwa 30

    Kiwanja chaukubwa was 30 kwa 30 nikikubwa? Kunamdaa amenitafutia kiwanja nilivyo uliza ukubwa akasema 30/30
  5. Sitachoka

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dodoma Mjini

    Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma katikati ya mji maeneo ya majengo kina ukubwa wa 35 kwa 17, kina offer. Bei ni 230mil mwenye kuhitaji tafadhari tuwasiliane kwa namba 0622723082, naamini hutojuta kukinunua kama una mipango ya kuwekeza katikati ya mji. Karibuni
  6. mrangi

    Tunauza viwaja na mashamba sehemu mbalimbali kwa bei nafuu

    ok ngojaa tukuchekie mkuu
  7. simon baker

    Naomba ushauri wa jinsi ya kupata hati ya kiwanja

    Habari, Mimi ni mgeni sekta hii ya ardhi maana nimeishi miaka bila kubahatika kujenga wala kununua nyumba.. Sasa kilichonipelekea kufungua Uzi huu nimefiwa na mama yangu mzazi na alikuwa ana nyumba Temeke...hakuwa na hati ya eneo maana aliipangisha tu...document zilizopo ni za kulipia Kodi ya...
  8. mbongowakweli

    Plot4Sale Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju 'B' Sokoni 80m/=

    Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju B Sokoni 80m/=. Kina title deed, 890 Square Meters, master, vyumba 3 vya kwaida, public toilet, garage, karibu na soko na barabara kuu ya Bagamoyo. Bunju Mzee Jaros 0754826668 0712168055
  9. Zakamwamoba

    Kiwanja cha meter 11x15 naweza jenga vyumba 3 na sehemu ya Parking?

    Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
  10. kibovu

    Kiwanja cha bata chenye Totoz Classic kinachojaza Dodoma

    Wakuuu poleni na majukumu. Ijumaa ntakuwa dodoma ndugu yenu naombeni location ya kiwanja cha bata chenye watoto classic kinachojaza toto zinacheza mziki mkubwa hapa makao makuu Dodoma Natanguliza shukrani zangu za dhati
  11. Saad30

    Masada wa kutaka kubadilisha jina la kiwanja

    Habari wakuu. Mimi naombeni msaada wa kutaka kujua kama je ni kweli unaweza kubadili jina la muuzaji kiwanja kwenda kwa mnunuaji kiwanja? Nimenunua kiwanja ambacho kina OFA tu sasa bado sjabadilisha jina na nyaraka zote ninazo ambazo kanipa muuzaji sasa nikaongea na afsa ardhi kaniambia hapo...
  12. M

    House4Sale Nyumba kubwa kwenye kiwanja hekari 1 na nusu - Madale

    Habari! Nyumba kubwa (haijaisha) yenye sifa zifuatazo ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa Hekari 1 na nusu inauzwa: 1. Sebule kubwa (6M × 8M) 2. Dining room kubwa (4M x 4M) 3. Jiko kubwa (3M x 5M) 4. Vyumba vitatu vikubwa, kimoja master 5. Public toilet 6. Stoo kubwa. 7. Kuna miembe na miti...
  13. K

    Rais Samia, tupitie upya tena mradi mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege cha Omukajunguti ambacho kitaunganisha EAC

    Rais wetu kipenzi, Kabla ya mambo kubadilika, kulikuwa na mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege eneo la Omukajunguti mkoani Kagera. Huu mradi ulilenga kuziunganisha nchi za Afrika Mashariki, lakini si hivyo tu mama, kama umeenda Bukoba umeona ni jinsi gani ndege zinastrugle kutua katika...
  14. T

    Plot4Sale Nauza kiwanja ili nipate mtaji

    Wadau naombeni msaada wenu. Ninauza kiwanja changu ili niweze kupata Mtaji maana mambo yamenibana sana. Ijapokuwa niliplani kujenga nyumba ila nimekwama na hiyo ploti ndio Inaweza kuninyanyua. Kiwanja kimepimwa kina sqm 864 na kiko Gezaurole Kigamboni. Kiwanja kina hati hati safi isiyo na...
  15. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Bunju A Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete document za serikali ya mtaa zipo Bado hakijapimwa Size 30*30 KUHUSU MIUNDOMBINU Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani. Maji yapo. Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa Bei...
  16. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  17. peterlvitalis92

    Plot4Sale Bangalo ndani ya kiwanja cha square mita 4,000

    Kiwanja kinaunzwa Kipo karibu na barabara ya kuelekea goba Eneo ni mbezi louis Umbali kutoka barabara kuu ni mita 20 Kubwa square mitre 4,000 Eneo linafaa kwa biashara mbali mbali Bei milioni mia sita 600,000,000/= Mazungumzo yapo na karibu sana Mawasiliano piga sim 0713660178
  18. Magari ya Biashara

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach - Africana (upande wa bahari)

    Kiwanja kipo Mbezi Beach Africana upande wa chini. Kina ukubwa wa sqm 800, HATI IPO Bei ni milioni 130 tu. WAHI SASAA. MAWASILIANO 0677 818283
  19. kibovu

    Kiwanja kipi chenye watoto classic na bei ya beer elekezi kwa hapa Dar es Salaam

    Habar wakuuuuu, Poleni na mahangaiko ya wiki ,Wakuu leo ni weekend tupeane location ya kiwanja chenye watoto classic na beer bei elekezi jijini Dar es salaam . mfano TPS BEI SIO ELEKEZI BEER LOCAL 4000 . Karibuni wakuuu tupeane location.
  20. B

    Kiwanja kinauzwa Chanika Zogoali 4.5m

    Kina msingi wa kisasa Eneo chanika Zogoali unapita kwa Mzeru mbele kidogo Size 19*19m Simu 0712464478
Back
Top Bottom