kiwanja

  1. P

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni

    Nauza eneo (ekari moja) Milioni 12 ,Ila naweza kukata viwanja vya 35*35 kwa 3 milioni . Kiwanja kipo lingato kigamboni. Kama unatoka ferry kwenda kongowe kituo Ni fundi baiskeli halafu unachukua boda. Au Kama unaenda mwasonga Ni nyuma ya kiwanja Cha oilcom. (Price is negotiable) Piga 0686798081...
  2. Benno Bongo

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mwanza

    Kiwanja kinauzwa Mwanza karibu na Dolphin Lodge. Note: hizi picha ni za zamani kidogo sasa hivi majirani wamejenga. Kwa mawasiliano zaidi pamoja na kuuliza maswali ili kujiridhisha piga simu namba 0753155934
  3. T

    Kiwanja maji ya chai arusha 6.5mil

    Kiwanja kinauzwa kiko mita 200 kutoka kituo cha kona ya maroroni maji ya chai barabara kuu ya moshi arusha ukubwa ni mita 30 kwa 15 kinaumiliki halali kiwanja kimezungukwa na maeneo yaliyojengeka makazi mazuri maji na umeme vipo barabara pana na mandhari nzuri ya kilimanjaro na meru bei ni...
  4. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dar es alaam - Chanika

    Habari za leo wana JF. Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga. Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki...
  5. Waterbender

    kiwanja kinaitajika mwanza

    Habari za sahizi. Kuna jirani yangu anahitaji kiwanja jijini mwanza kisiwe cha milimani.
  6. Y

    Natafuta kiwanja Bunju au Mbweni

    Salaam wadau. Ninatafuta kiwanja lililopimwa kwenye mradi wa viwanja 20,000 eneo la Bunju au Mbweni. Ukubwa wa kiwanja kiwe si chini ya sqm 1,500. Kama unacho tafadhali tuwasiliane hapa au PM. Tafadhali uje na bei kabisa.
  7. Merci

    Nauza Kiwanja Mabwe Pande karibu na Mto Mpiji kina ukubwa wa Mita 25 kwa 20

    Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
  8. Super Charged

    Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

    Habari Wana JF, Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4 Vigezo; Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam) Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
  9. A

    Naomba ushauri kudhurumiwa kiwanja

    Habarini wana jamvi,Nina shida kuhusiana na kichwa cha habari husika hapo juu. Iko hivi Miezi 6 iliyo pita nilinunua kiwanja cha makazi maeneo ya Kinyerezi Dar es Salaam, Baada ya kua nimeonyeshwa mipaka ya eneo na michoro ya kiwanja katika ramani ya mipango miji na mhusika wiki...
  10. S

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Iringa

    Mahali: Iringa mjini, kata ya nduli Hadhi: Hakijapimwa. Ukubwa: hatua 27*30 Nyaraka: Hati ya mauziano toka ofisi ya kata Bei: 3.5 milioni Mawasiliano: 0627089049 Kiwanja kipo katika mtaa wa Mapanda Umbali wa mita 400 toka barabara kuu ya Iringa-Dodoma.
  11. Nijosnotes

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Buhongwa, Mwanza hakina udalali

    Kiwanja kinauzwa Buhongwa mwanza mita 800 tu kutoka stendi ya daladala buhongwa. Ukubwa ni Squaremeter 1200 Kiwanja ni tambalale na kipo barabarani kabisa, eneo limeendelea kwa makazi ya watu.... Huduma za umeme na maji zimefika. Bei Tsh. 18,000,000. Hakina udalali ongea na mwenye nyumba...
  12. B

    Plot4Sale Kiwanja chenye msingi kilichopo Chanika kinauzwa

    Ukubwa 20*20m Msingi wa kisasa Tofali mia mbili zipo Gari inafika Umeme nguzo ipo site Bei 5m, mazungumzo yapo 0712464478
  13. Mzee Mambo

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bagamoyo vijijini

    Kiwanja kinauzwa. (HAKINA UDALALI) Mahali: Bagamoyo vijijini Kijiji cha WAMI STATION (MATIPWILI) Ukubwa: Robo heka na ni TAMBARARE Kipo kando ya barabara itakayojengwa ya EAST AFRICA. Huduma za kijamii zote zinapatikana. Usafiri ni wa Gari na Reli. Umbali ni 40km kutoka Barabara kuu...
  14. OllaChuga Oc

    Ninahitaji mkopo wa million mbili tu kiwanja kipo maeneo ya kisongo kama bondi.

    Wakuu kwema ..nahitaji mkopo wa Million mbili nina kiwanja kipo kisongo naweka kama bondi nimekwama sehemu hivyo nahitaji hiyo pesa. Kwa mwenye nia anisaidie kupata hiyo pesa then ndani ya miezi miwili kuanzia mwezi wa kumi na moja na kumi na mbili nitarudisha. Asante ni kila kitu kipo...
  15. T

    Mahusiano ya kidugu ya Watanzania: Kanisa la kwanza Tanzania lilitolewa kiwanja na Waislamu

    Sio tu Tanzania, ni kanisa la kwanza Afrika Mashariki. HOLY GHOST CHURCH KANISA KATOLIKI BAGAMOYO, TANZANIA LILIJENGWA 1872 Wakiongozwa na Sultan Majidd binafsi, Waislamu wa Bagamoyo waliwagawia kiwanja Wakristo wajenga kanisa mwaka 1868. Lilijengwa na wamishenari wa Kifaransa na kukamilika...
  16. cefixime

    Kiwanja Cha Bata Arusha

    Wakuu tupeane location kwa hapa Arusha kiwanja kilichotulia Cha kimyakimya.
  17. T

    Mvuti pakoje kibiashara, kilimo na maisha kwa ujumala?

    Naomba watu wamvuti mnipe uzoefu pakoje, je pamejengeka kama Chanika? Je bado ni mashambani? Je kiwanja naweza kukitumiaje kibiashara kabla ya kujenga? Ukijenga nyumba ya kupangisha inalipa Nimepata uwanja bado sijaenda kuuona. Alienda ndugu yangu kukabidhiwa. Bado naona kama mbali...
  18. Msitari wa pambizo

    Natafuta kiwanja maeneo ya Tegeta A mpaka Goba mpakani

    Nina Offer ya 3m niambie nitapata kiwanja cha ukubwa gani maeneo hayo. Kwa waiopajua maeneo hayo yako mbezi maeneo ya Goba. Nawasilisha
  19. X_INTELLIGENCE

    Ofa ya kiwanja kwa atakayenisaidia kujiunga na Polisi

    kwa mara nyingine nakuja kwenu ndugu zangu, ndugu yenu nimehangaika sana kutafuta nafasi kwenye majeshi yetu bila mafanikio, kiukweli nina nia ya dhati kabisa ya kulitumikia taifa letu, nimehangaika kutafuta nafasi jkt miaka 8 mfululizo bila mafanikio, nimehangaika kutafuta nafasi za polisi...
  20. mageta mageta

    House4Sale Kiwanja na Nyumba vinauzwa Magu Mjini mkoani Mwanza

    Kiwanja kina nyumba yenye vyumba viwili na sebure kimoja ni master. - Kiwanja ni 624m2 Kuna maji hapo hapo (ya uhakika) na umeme(wa uhakika) Dk2 bara bara ya lami - frem ya biashara moja Nyumba yenye vyumba viwili sebure chumba kimoja ni master Mahali MAGU MJINI BEI NON NEGOTIABLE 6.8mil -...
Back
Top Bottom