kiwanja

  1. M

    Plot4Sale Kiwanja Tegeta Mivumoni, Umoja road

    Habarini wakuu wote kwa ujumla, Napenda kuwafahamisha wadau wote ambao mmekua mkitafuta au kuwaza kupata kiwanja kizuri Tegeta,Mivumoni Eneo la Umoja Road. Kiwanja kinauzwa . Ukubwa Sqm 2000 Bei:100m Maelewano kdg yapo. Hati ipo safi kabisa. Sehemu ni nzuri na kiwanja kina majirani kushoto na...
  2. Prince Juzo

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa

    Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma. Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m². Sifa za Eneo kiwanja kilipo. Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu. Sababu ya...
  3. P

    Nimetapeliwa zaidi ya Tsh. 45,000,000 kwa kuuziwa kiwanja feki

    Haya mambo yasikie tu. Nina siku ya nne leo tangu nigundue kwamba nimepigwa, hata kula vizuri siwezi, nawaonea wivu wenzangu walionunua maeneo madogo kwa bei za 15m kushuka chini. Naona hasara yao ni ndogo kuliko yangu.
  4. K

    Kipi kiwanja safi na totoz za maana Mwanza?

    Leo niko huku kanda ya ziwa Mwanza. Nitakuwa huku kwa siku tatu,kwa wenyeji wa Mwanza ni sehemu gani unaweza kupiga bia vizuri huku ukizungukwa na totoz nyingi za maana,nimezoea sana maisha ya Dar. Kwa mwenye ufahamu adondoshe comment. Karibuni.
  5. Iziwari

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Njiro karibu na barabara ya Lemara

    Kiwanja kinauzwa njiro karibu kabisa na barabara ya lemara. Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi. Kiwanja ni 30 kwa 15. kina msingi ndani ambao ni ramani ya nyumba. ukitaka kuendeleza sawa. Kuna mawe na mchanga pia uliobaki. Ni...
  6. Green Beret

    Hatua za kufuata kununua kiwanja

    Wakuu naulizia hatua za kufuata kununua kiwanja kwa mtu. Naomba ushauri nisije kuingizwa mjini Nawasilisha wakuu
  7. STREET SMART

    Plot4Sale Kiwanja/ Shamba linauzwa Heka Moja Chanika Mwanzo Mgumu

    Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika. Ukubwa hekari moja Bei 2.5m maongezi yapo Mawasiliano piga simu 0718658747
  8. F

    Kiwanja chamazi kinahitajika. Bajeti kisizidi 4m

    Habari natafuta kiwanja eneo la chamazi. Kuanzia magengeni mpaka maeneo ya azam. Bajeti yangu ni milioni 4 kushuka chini. Kama unacho toa sifa zake kama size kikoje na kiko chamazi ya wapi ili nije kukiona na kulipia
  9. Sagungu 1914

    Naomba kujuzwa kama serikali ya kijiji ina mamlaka kisheria kugawa kiwanja cha mtu bila idhini yake

    Ndugu kiwanja chetu cha familia kilivamiwa na mtu ambaye alikuwa jirani yetu kwa kipindi hicho, tulipokuwa tunamwambia atoke kwa mdomo alikuwa anasema kuwa hawezi toka kwani amepewa na serikali ya kijiji baada ya kuona hicho kiwanja hakiendelezwi. Tulipofungua kesi mtendaji anasema eti huyu...
  10. GISAMBO

    Plot4Sale Kiwanja Bunju B Sqm 1666

    Kiwanja ukifika Bunju Stand pale unaingia Kulia kama 1km watu washajenga kando ya kiwanja kina Hati na akidaiwi Bei n 80m negotiations 0692685475
  11. DeepPond

    Ushauri: Mke kamalizia kulipa gharama ya kiwanja ambacho mume wake alikuwa anamnunulia mchepuko

    Wakuu MDA SI mrefu nmetoka kupigiwa Simu na rafiki yangu mmoja wa karibu Sana Ni DOKTA hospital moja ya wahindi hapa mjini,Na anamiliki duka moja la dawa za binadamu kubwa Kiasi ambalo suka ilo mkewe ndo muuzaji na msimamizi mkuu wa kila mara. Sasa Jamaa kapigia akinipa taarifa nzito sana khs...
  12. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Goba Centre

    Ukubwa wa kiwanja 800sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 45milioni More information- 0742141467
  13. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja Salasala Kinauzwa

    Ukubwa wa kiwanja 1030sqm Kimepimwa Na kina hati safi Bei ni Tsh 55milioni More information- 0742141467
  14. BigTall

    TAKUKURU yaingilia kati sakata la Makonda na GSM. GSM aliripoti hati ya kiwanja kupotea

    Serikali imesema inalichunguza sakata la aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na mfanyabiashara Ghalib Said Mohamed (GSM) la kugombea kiwanja Na.60 kilichopo Regent Estate Manispaa ya Kinondoni jijini hapa. Akizungumza mwisho wa wiki iliyopita, Wakili wa GSM, Alex Mgongolwa...
  15. C

    Kiwanja kinauzwa Dodoma

    Kiwanja kinauzwa Dodoma eneo makulu bei ni 15M kwa description za kiwanja 0755151642. Karibuni
  16. N

    Ingekuwa Mo Dewji kadhulumu kiwanja wachambuzi makanjanja yangeshuka naye jumlajumla

    Pongezi sana kwa club ya simba kwa kukataa kutoa bahasha za khaki kwa haya MACHAMBUZI FEKI yenye njaa hadi kwenye unyayo..akili zao ni kisoda sana .... Najaribu kupata picha kwamba Mo Dewji ndiye ana kesi ya kiwanja na Daud Bashite sijui ingekuwaje huko Ukanjanjani, redio zingewaka moto kipindi...
  17. T

    Plot4Sale Wahi mapema, nauza Kiwanja changu SQM.723-Oysterbay-Dodoma!

    Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri kwa makazi na biashara pia kinafaa kujenga lodge/guest house na kimezungushiwa msingi wa fensi...
  18. Mtego wa Noti

    Plot4Sale Kiwanja Sqm 400 Mivumoni Dar es Salaam

    Kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 400 kinauzwa kwa shilingi Milioni 12. Kiwanja kiko wilaya ya Kinondoni eneo linaloitwa Mivumoni pia kiwanja kiko mita 700 kutoka Mivumoni Senta na kiko barabarani kabisa. Huduma ya Maji na Umeme zipo. Tuwasiliane inbox tufanye biashara.
  19. dalalimhenga

    Plot4Sale Kiwanja chenye hati kinauzwa Goba

    Ukubwa wa Kiwanja 1000 sqm. Kipo Goba, umbali wa kilomita moja kutoka barabara ya lami. Vimepimwa na kina hati. Bei ni Tshs 60,000,000 ( 60 Milioni ) Wasiliana nasi - 0742141467
  20. Thegreatdav

    INAUZWA Kiwanja, Fremu na godown vinauzwa

    Luguruni Metres 500 kutoka Main Morogoro Road Eneo ni 25 kwa 30. Kuna Fremu tano na godown kubwa la mashine ,maji na umeme Upo . Bei inaanzia 150M .....maongezi yapo kidogo. Kwa maelezo zaidi piga 0682822649
Back
Top Bottom