kodi

  1. A

    Rais Samia alisisitiza kuhusu kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo lakini inafanyika kinyume chake

    Bwana yesu asifiwe. Iko hivi, kuna kifaa nilinunua chenye thamani ya laki tatu, muuzaji aliponiandikia risiti aliandika elfu tatu, nikasema hili sikubaliani nalo. Wakaniambia wanipunguzie kidogo bei halafu risiti ile niichukue, nikasema no, mwisho jamaa akaandika laki tatu. Hivi ni wangapi...
  2. mwanamichakato

    Kupanua tax base-makanisa, ministries, misikiti vihusike kulipa kodi

    ♻️ Kwa kuzingatia wigo mdogo wa walipa kodi ktk nchi yetu dhidi ya idadi kubwa ya wananchi.. ♻️ Kufuatia deni la taifa kuongezeka kila leo.. Kufuatia mtikisiko wa thamani wa fedha yetu.. ♻️ Kufuatia ukwasi mkubwa wa taasisi za kidini kupitia mapato ya Sadaka,dhaka,mafungu ya kumi..Malimbuko...
  3. R

    Tangu lini Mikopo ikawa mbadala wa kulipa Kodi?

    Salaam, shalom!! Nimesikiliza hotuba ya kiongozi wetu mkuu akisema kuwa, waliamua kuongeza Kasi ya kuchukua mikopo Kwa kuwa walijua wananchi wengi ni wakwepa Kodi hawalipi Kodi ipasavyo. Kwamba mikopo iliyopatikana, ilikwenda kuziba pengo la matumizi ya upungufu wa makusanyo ya Kodi. Kwamba...
  4. lugoda12

    Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo

    Tunaomba TANESCO watuambie ukweli kuhusu ongezeko katika kodi ya jengo. Awali kupitia barua waliyotoa tarehe 2 July 2024 walisema ongezeko hilo ni kwaajili ya madeni ya nyuma! Sasa tunaomba kufahamishwa baada ya makato hayo gharama zitaendelea kuwa zile zile za awali ambapo ni 1500 au ni 2000? 🤔
  5. Magazetini

    KERO Nimepiga simu Tanesco kuhusu makato kodi ya Jengo, hata wenyewe hawajui kwanini wamenikata. Huu wizi!

    Nimepiga simu Tanesco, wamesema mita yangu ilikuwa inadaiwa 18,000 kwa mwaka wa fedha ulioisha(2023/24) hivyo wamekata pesa hiyo niliponunua umeme leo. Nikawauliza mbona wamekuwa wakinikata kila mwezi, hili deni wanalosema sijalipa mwaka mzima limetokea wapi? Majibu(TANESCO ): Hizi taarifa...
  6. A

    Kodi ya ardhi sijui jengo

    Wabari wa jambi kuna kitu nimekuwa nakiwaza naona kinanipa utata aidha mnisaidie kunielekeza 1. Je tanesco wanatoza kodi ya JENGO AU ARDHI? 1.1. kama ni ardhi kwanini mtu mwenye eneo lake anafuga kuku au mbuzi au analima ila anatumia umeme wa solar au hatumii umeme kabisa au mshumaa hapigwi...
  7. Mburia

    Tanesco kodi ya jengo imepanda?

    Wanajamvi leo nimenunua umeme wa 25,000/= na makato yalikuwa kama ifuatavyo: MAKATO 1. VAT 2,803 2. EWURA (1%) 155.74 3. REA (3%) 467.21 4. DEBT COLLECTED 6000 TOTAL 9,426 BALANCE FROM MY 25,000 = 15,574 Sasa hii 6000/= ni ile kodi ya majengo imepanda?
  8. Teko Modise

    Kwanini viongozi hawakatwi kodi?

    Nilidhani hawakatwi kodi kwenye mishahara kumbe mpaka kwenye huduma nyingine!
  9. Megalodon

    Viongozi wa Africa msikimbilie kukopa na kuongeza kodi, mnatakiwa kupunguza matumizi yasiyo na tija kwa taifa

    Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far. Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la taifa, lakini expenditure za viongozi zimeongezeka ambazo hizo expenditure sio za muhimu. Kwa mfano...
  10. Mad Max

    Majirani Uganda wamerudisha Kodi ya EV

    Wakuu vipi. Majirani zetu Uganda wanamzuka sana na Electric Vehicles na Hybrids. Kuonesha mzuka wao, serikali ikaona itoe kodi (zero tariff) kwenye EV, E-Bikes na kupunguza kwenye hybrids kwa mwaka wa fedha 2023/24. Huu msamaha ukapelekea gari za EV zilizoingizwa UG kwa mwaka 2023/24 kufika...
  11. Z

    Wakenya watu wa ajabu sana aisee .unaharibu nchi yako kwa sababu ya Kodi?

    https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi? Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao kama nchi Moja huko mbele kwenye maswala ya EAC
  12. Gemini AI

    Serikali kukutana na Mabalozi wa nchi 9 kujadili malalamiko ya Wawekezaji kuhusu masuala ya Kodi

    Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imekubali ombi la Mabalozi wa nchi mbalimbali walioomba kikao cha kujadili masuala ya kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa lengo la kujadili malalamiko yalitolewa na baadhi ya wawekezaji kutoka...
  13. Kidagaa kimemwozea

    Chini ya 20% Ya watanzania ndio walipa Kodi

    • Hapa Ni Ile Kodi ya moja kwa moja •Kwa takwimu za mwaka Jana Ni 16% ya Nguvu kazi ambayo ndiyo inalipa Kodi Yani Kati ya Nguvu kazi ya Tanzania 33,000,000 Ni watu chini ya milioni nne Pelee ndio wanalipa Kodi Kama ndivyo nilazima Hawa wachache wanaolipa waione mzigo kwa manufaa ya watu...
  14. Pfizer

    TRA: Hatua ya kuzuia akaunti ya mlipakodi ni ya mwisho kabisa ambayo hufanyika baada ya mlipakodi kutotimiza matakwa ya sheria ya kulipa kodi

    TRA: MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUWAKUMBUSHA WALIPAKODI KUTEKELEZA WAJIBU WA KULIPA KODI KWA MUJIBU WA SHERIA Dar es Salaam, 18 Mei, 2024: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inapenda kuwakumbusha walipakodi kutekeleza wajibu wao wa kisheria wa kulipa kodi kwa hiari na...
  15. R

    Ndugu Mwigulu, VAT ikishushwa Kwa 2%, Serikali haitapata HASARA ya bil 600 Bali itaongeza idadi ya walipa kodi!!!

    Salaam, Shalom!! Sina ugomvi binafsi na Ndugu Mwigulu, ugomvi wangu ni juu ya Elimu ya Uchumi na maamuzi ya mtu huyu mwenye kibri ajiitaye msomi kuliko wasomi wengine. HIZI HAPA FAIDA ZA KUPUNGUZA KODI HASA KWA WATU WA KIPATO CHA KATI NA WA KIPATO CHA CHINI. 1. BIASHARA ZILIZOKUFA ZITAFUFUKA...
  16. FRANCIS DA DON

    Napendekeza mikopo yote inayokopwa na serikali itumike kulipa madeni, na makusanyo yote ya Kodi yatumike kwenye bajeti

    Namna pekee itayoweza kutuamsha kama nchi toka usingizini ni kujiuliza maswali kadhaa… 1.) Tanganyika inakopa jumla ya Trillion ngapi kwa mwaka? 2.) Tanganyika inalipa madeni Trillion ngapi kwa mwaka? 3.) Tanganyika inakusanya mapato ya ndani Trillion ngapi kwa mwaka? Majibu 1.) Tangu 2021...
  17. U

    Kwanini Viongozi wanamilikisha Kodi za wananchi na mikopo ya nchi Kwa Rais,

    Je mliosomea Sheria mtusaidie, ni Sheria Gani ya nchi inayosema Fedha zinazokusanywa na serikali Kwa niaba ya wananchi ni za Rais, Je kipengele Gani kinachosema Fedha tunazoangaikia kufanya kazi Kila siku na kuilipa Kodi serikali zitakuwa ni Rais. Haiingii akilini ,kitu pesa yangu nalipia Kodi...
  18. kavulata

    Wafanyabiashara Kariakoo ni wakwepa kodi, wasichekewe.

    Wengi wao hawataki katakata kutoa risiti halali kwa malipo halali. Unanunua bidhaa kwa bei kubwa wanakupa risiti yenye malipo pungufu. Ukikataa wanakwambia rudisha mali. Fukuza wote wenye tabia hii hata kama awe nani.
  19. Nsanzagee

    Mgomo wa wafanya biashara ni wa kipuuzi kuwahi kutokea! Wao inawahusu nini mlaji akipandishiwa bei bidhaa? Wao ni wapeleka kodi tu anayelipa ni mlaji

    Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya biashara! Kwa upande mwingine, maandamano ya majirani zetu, ni sahihi na siyo haya ya wafanyabiashara wa...
  20. OLS

    Kodi kwa Online Data services inalenga kampuni kubwa kama Google?

    Kimsingi nilikuwa nasubiri tafsiri ya Online Data services, na sasa bill ya Finance Act 2024 imetoa tafsiri ya kitu hicho ambacho bajeti ya 2024/25 ilipendekeza kumegwa kodi Kwa tafsiri iliyotolewa ni kama platforms zote zinazochukua data za wanaotembelea platforms hizo watalipa kodi hiyo...
Back
Top Bottom