Hii timu kwa msimu huu imezidi kuwa tishio kwenye CAF champions league.
Uwanjani wanakupa kila unachokitaka, mpira mzuri, umiliki wa mpira, magoli mazuri na matokeo mazuri. Naweza kusema wamekamilika mpaka sasa kwa michezo ambayo tumeshaishuhudia ndani ya Ligi ya mabingwa Afrika.
Nnawiwa...