korosho

  1. N

    Nauza korosho safi

    Mjasiliamali yoyote anayetaka korosho safi kubwakubwa ziliobanguliwa safi mimi ninaziuza kwa bei rafiki ya 18000 nipo Masasi Mtwara nicheki pm
  2. A

    Njoo Tufanye Biashara ya Uwekezaji Kwenye Cocoa, Iliki na Korosho

    **"Karibu kwenye fursa ya kipekee ya uwekezaji! Uwekezaji katika cocoa, korosho, iliki, na mbaazi ni njia bora ya kujenga mali yako. Pata faida ya hadi 15% kwa mwezi kwa kuwekeza katika sekta hii inayokua haraka. Tunachofanya ni kununua nafaka kama korosho, iliki, kokoa, na mbaazi, kisha kuuza...
  3. zabron k

    MANYONI: Bei elekezi ya Korosho mwezi January 2025

    Leo Tarehe 30 Jan 25 umefanyika mnada wa kwanza wa zao la Korosho kwenye Ghala la Kuhifadhia Korosho na bei kutangazwa ni Tsh 3,167/= kwa kilo Moja. Tunaendelea kuupiga mwingi.
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Niliwahi kuambiwa na mmakonde kuwa pombe aina ya Gongo inayotegenezwa kwa korosho ikipata joto inalipuka. je hili nikweli?

    Wakuu dunia ina mengi sana.Huku kwetu Gongo hutegenezwa kwa malighafi ya muhongo au jina maalfu ni udaga. Nadhani kila sehemu wanatumia malighafi tofauti tofauti kulingana na upatikanaji wake. Basi katika kutembea huko na pale na kule nikakutana na mtu wa songea mmakonde alichoniambia...
  5. I

    Wauzaji na Wasambazaji Korosho tunapatikana Arusha

    You can grab it for your family and friends. Baked cashew 23,000@1 No cooking oil or salt. Fresh raw cashews 23000@1 Roasted cashew 25,000@1kg (Salt or any spicy like pepper) Whole almond 30000@1 Free Delivery Service (Arusha city centre only) HOTELS, LODGE AND RESTAURANTS/CAFE CAN RELY...
  6. N

    DOKEZO Wakulima wa Korosho wa Mkunya Wilaya ya Newala hatujalipwa zaidi ya miezi miwili, wengine wamelipwa pungufu ya makubaliano

    Sisi Wakulima wa Korosho tuliopo Mkunya Wilayani Newala Mkoani Mtwara tulipimishwa korosho tangu Oktoba na wengine Novemba 2024, hapo nikiwa namaanisha wale maafisa wa Serikali walikamilisha taratibu zote za manunuzi wakaondoka na mzigo kwa ahadi kuwa tutalipwa muda sio mrefu. Kwa kawaida hela...
  7. A

    KERO Hatujalipwa pesa za Korosho mnada wa 8 nA 9 Newala Kitangali

    Hatujalipwa pesa zetu za korosho wa mnada wa 8,9 Newala kitangari ,tangu mnada umepita ni mwezi sas na hakuna taarfa zozote zinazotolewa kwa katimu wa chama cha msingi Limanga
  8. Clark boots

    Kuitwa kazini Bodi ya Korosho Tanzania

    Wale waajiriwa wapya wa bodi ya korosho Tanzania.. mkeka wenu huu hapa... Hongereni sana.
  9. M

    Ulaji wa korosho Kila siku nisalama kwa afya ya figo?

    Habar wakuu nauliza ulaji wa korosho Kila siku ni salama kwa afya ya figo? Naje haiongezi cholesterol
  10. Wamweru

    Natafuta mashine ya kubangulia korosho iwe to natumia umeme

    Za mapambano wadau Natafuta mashine za kubangua korosho iwe ya umeme
  11. jlo father

    DOKEZO Wakulima wa korosho wa chama cha msingi Kweli kilichopo kijiji cha Msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma

    Wakulima wa korosho wa chama cha msingi kweli kilichopo kijiji cha msilili wilaya ya Newala mkoani Mtwara chawafanyia hujuma. Wakulima wa korosho kwani wakulima wamepima mazao yao mwezi wa kumi na moja lakin hadi leo hayajasafirishwa kupelekwa kwenye mnada kwa makusudi kwani wanamaslai yao...
  12. M

    Korosho ni wanga au protein?

    Habari wakuu, Naomba kuuliza Korosho ipo katika kundi gani ni Wanga au Protein?
  13. N

    Kati ya kilimo cha Minazi ama korosho kipi kinafaa?

    Habari zenu wote humu jukwaan! Nmejikuta natamani kufanya uwekezaji wa kudumu kwa kujikita kwenye kilimo Cha kudumu nahitaji kuchagua kulima moja Kati ya minazi au korosho! Mazingra niliyopo miti tajwa inastawi! je nichague kipi kwa kuzngatia kilimo tija chenye changamoto chache, tuzngatie...
  14. G

    LGE2024 Ulaghai wa bei ya korosho na kiki za kisiasa za CCM kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Mnada wa kwanza wa korosho uliofanyika 11/10/2024 ulifunguliwa kwa bei ya TSh 4150/= kwa kilo moja ya korosho. Kwenye mnada huu kulikuwa na tani chache sana za korosho. Ukafuata mnada wa pili ambapo bei ilishuka mpk kufikia TSh 3750/=, napo pia kulikuwa na tani chache sana za korosho. Bei...
  15. F

    Kuhusu biashara ya chakula kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara

    Habari zenu wangu, Mimi ni mpishi mzuri sana. Ninaishi na kufanya shughuli zangu za upishi hapa Dar. Ninataka kwenda kufungua banda la kupika kwenye minada ya korosho mkoani Mtwara. Wenyeji wa Mtwara mlio na uzoefu na minada ya korosho naombeni ABC za minada hiyo tafadhali. Ninacho taka...
  16. N

    Mafuta kutoka maganda ya korosho

    Wakuu naomba ABC kuhusu hii biashara ya mafuta kutoka kwenye maganda ya korosho. Upatikanaji wa maganda ya korosho je upo kwa wingi na Bei yake kwenye viwanda. Je Lita 40000 Inatumia maganda kg ngapi?
  17. TZ-1

    Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

    Wadau wa mazao msimu wa korosho umeanza na umeanza vzr , nazn n vyema tukatumia forum hii kupeana update huko mnadani nini kinaendelea Naomba taarfa za bei za minada ziwe rasmi kuepusha mislidi Mnada wa kwanza wa msimu mpya wa korosho mwaka 2024/2025 umefanyika leo October 11,2024 katika...
  18. C

    Hongera Rais Samia kilo 1 ya Korosho yafika shilingi 4120

    Kanda ya kusini kuchele Ndanda kuchele. CCM kwani imekuwaje? Hela izunguke mikoa yote Madalali wa korosho waondoke. Kusini tumeona #MAMA SAMIA KAUPIGA MWINGI KAMA ALIVYOUPIGA UNCLE 2017/2018 kiufupi kila mkulima na kangomba afurahi. Mnada wa kwanza 4,090 kwa newala na tandahimba Hii bei ni...
  19. aBuwash

    Wakulima wa Korosho Mtwara, Mnada wa kwanza kilo 4075-4070

    Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU, Karimu Chipola amefungua rasmi mnada wa kwanza leo Na bei ndo ni kuanzia kilo 4075 hadi 4070 Kwa kweli hongereni wakulima hiyo ni babu kubwa sana
  20. Kaiche

    Njoo tufanye biashara ya kununua korosho

    Wanajamvi, habari za muda huu na poleni na mihangaiko ya kutwa nzima. Korosho ni zao linalolimwa zaidi mikoa ya Lindi na Mtwara na sasa ni kipindi rasmi cha msimu wa korosho. Nahitaji Tajiri ambaye yupo tayari kununua korosho , kwa rejareja (kangomba ) kwa sababu nina uzoefu wa biashara hii na...
Back
Top Bottom