kubadili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. yello masai

    Ukikopa benki A na baadaye ukashindwa kulipa; Je, unaweza kufungua akaunti benki B bila kukatwa na mamlaka?

    Natumaini Jumapili inaenda vyema kwa kila mmoja wetu huko alipo. Kwa wale amabao haiendi vizuri poleni na zidisheni kumuomba Mungu. Waheshimiwa nina swali. Mtu kama ulikopa pesa benki "A" bila dhamana yoyote kwa kuwa ulikuwa unapokea mshahara kupitia benki hiyo, na bahati mbaya kutokana na...
  2. Analogia Malenga

    Jaji Warioba: Kubadili sheria nyingi katika kila Bunge kunaonesha kuna umuhimu wa Katiba Mpya

    Jaji Warioba akiwa katika kipindi cha Dakika 45 ITV amesema suala la kubadili sheria nyingi katika kila bunge zinaonesha umuhimu wa Katiba Mpya. Hata hivyo amesema ni muhimu kuwa waangalifu kwa kuwa Katiba Mpya haitaweza kutatua matatizo yote. Ametolea mfano kuwa tunaweza kuwa na Tume nzuri ya...
  3. M

    DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

    Kwako DC Jokate Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe. Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri. Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi...
  4. Fisher_8

    Nafikiri kubadili jina; nitawavunjia heshima wazazi nikifanya hivyo?

    Salamu kwenu, Hivi wakuu itakuwa nawavunjia heshima wazazi nikiamua kubadili jina? Mzee alikwishaga tangulia mbele za haki, kabaki mama tu. Kipindi cha zamani hata wakati baba yupo mama aliwahi nigusia kuwa jina nililopewa yeye wala alikuwa hakilipenda ila ni vile mzee alishalipangaga hata...
  5. Mwifwa

    Huwa unatumia Mswaki wako kwa muda gani kabla ya kubadilisha/kununua Mswaki mpya?

    Wataalamu tofauti wa Afya hasa madaktari wa meno, wamebainisha kwamba mswaki lazima ubadilishwe kila baada ya miezi mitatu. Hata hivyo, wengi wetu hatuzingatii hii kanuni ya kiafya ipasavyo kwa kuweka mdomo katika hali ya usafi, ila kuna baadhi wanaozingatia hii kanuni. Kwa mimi binafsi hii...
Back
Top Bottom