kueleka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    LGE2024 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa awataka wananchi wa Ruangwa kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa

    Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi mkoani Lindi kujitokeza katika uchaguzi WA serikari za mtaa ili kuchagua viongozi watakao waongoza katika awamu ijayo. Kassim majaliwa amesema hayo mkoani Lindi katika uwanja WA Majaliwa stadium katika fainali za Jimbo cup ambapo fainali...
  2. The Watchman

    Pre GE2025 Professor Jay: 2025 Nakuja kuchukua ubunge wangu, Mapambano yanaendelea

    Joseph Haule (Prof Jay), akizungumza na baadhi ya wananchi kwenye moja ya mikutano ya kampeni Jimboni Mikumi mkoani Morogoro, kuelekea uchaguzi na Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 27 Novemba 2024 Soma pia: Joseph Haule (Professor Jay) arudi kwenye ulingo wa Siasa, azindua Kampeni Mikumi...
  3. Cute Wife

    LGE2024 Zitto: Vijana msiruhusu wasiokuwa wakazi kupiga kura Mwandiga

    Wakuu, Kiongozi mstaafu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewataka vijana wa Mwandiga, mkoani Kigoma kuhakikisha wanapiga doria katika eneo lao siku ya uchaguzi ili kuzuia mtu yeyote asiyekuwa mkazi wa eneo hilo kupiga kura. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za...
  4. Cute Wife

    LGE2024 Shangwe Ayo (ACT Wazalendo): Tunakwenda kumuondoa shetani Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Wakuu, Naibu Katibu wa Idara ya Habari, Uenezi, na Mahusiano ya Umma wa chama cha ACT Wazalendo taifa, Shangwe Ayo ametaka sheria za uchaguzi za serikali za mitaa zifuatwe ili wananchi wa watimize azma yao ya kupata viongozi bora watakaowatumikia kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Shangwe...
  5. Stephano Mgendanyi

    LGE2024 CCM Wilaya ya Hai Yazidi Kuvuna Wanachama wa CHADEMA

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Hai, mkoani Kilimanjaro kimeendelea kuvuna wanachama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaojiunga na CCM. Hayo yamefanyika wakati wa kampeni zinazoongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Mhe. Saashisha Elinikyo Mafuwe, ambapo wanachama wengi wa...
  6. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Gambo aonya wenyeviti wa Serikali za mitaa kutumia mihuri ya serikali kujinufaisha

    Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Mashaka Gambo, ameongoza wanachama na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo lake, akisisitiza umuhimu wa uwajibikaji na utumishi wa kweli kwa wananchi. Akizungumza wakati wa kampeni hizo...
  7. Cute Wife

    LGE2024 Njombe: Wananchi wawaasa wenzao kuhudhuria mikutano ya kampeni Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Twende kwenye kampeni ili mchague viongozi wanaostahili. ===== Wakati vyama mbalimbali vya siasa hapa nchini vikiendelea na kampeni zao, wananchi wilayani Makete mkoani Njombe wamewataka wananchi wenzao kuhudhuria mikutano ya kampeni ili kusikiliza sera za wagombea Kupata nyuzi za...
  8. T

    Pre GE2025 ACT-Wazalendo: Tutatumia mitaa tutakayopewa ridhaa kama mfano wa namna tutakavyoongoza serikali kuu iwapo tutachaguliwa 2025

    ACT-Wazalendo wamesema watakapopewa nafasi katika mitaa kwenye uchaguzi huu wa serikali za mitaa basi watatumia fursa hiyo kama mfano wa namna watakavyoiongoza serikali kuu mwaka 2025 iwapo watapewa ridhaa. Ambapo wameainisha mambo kumi watakayoyafanya itakaposhinda mitaa, vijiji, na miji midogo
  9. Mindyou

    Pre GE2025 Wilbroad Slaa awavaa Tundu Lissu na Mbowe. Asema kuna rushwa CHADEMA na viongozi wake wako kimya tu!

    Wakuu, Inaonekana mambo yanazidi kutokota ndani vya CHADEMA kadri siku zinavyozidi kwenda. Hivi karibuni, Dk. Slaa ameonyesha kukerwa na ukimya wa CHADEMA kuhusu tuhuma za rushwa zilizotolewa na Tundu Lissu, makamu mwenyekiti wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa miezi chache nyuma Tundu Lissu...
  10. Cute Wife

    LGE2024 Kindononi: Mbunge Abbas akabidhi feni kwaajili ya ukumbi wa mikutano, agharamia na ufungaji wa feni hizo

    Wakuu, Ukisikia vituko majimboni ndio hivi :BearLaugh: :BearLaugh: , mwenyewe yuko proud hapo kwenye picha hana hata haya:KEKLaugh::KEKLaugh::KEKLaugh: ==== Mbunge wa Kinondoni Mhe. Tarimba Abbas, akimkabidhi Mwenyekiti wa CCM Kata ya Magomeni Bw. Mohamed Mwinyi, Mafeni sita kwa ajili...
  11. Cute Wife

    LGE2024 Msimamizi wa Uchaguzi Mtwara: Wagombea 350 waenguliwa kutona na sababu mbalimbali licha ya elimu kutolewa kwa makundi yote juu ya ujazaji wa fomu

    Wakuu, Kama vile imekuwa mashindano kuangalia wapi wataengua waombea wengi kuliko wenzao! ===== Jumla ya wagombea 350 wa nafasi mbali mbali za uogozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji wameenguliwa kati ya 4,282 ya waliochukua fomu katika Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Hayo yamebainishwa...
  12. Cute Wife

    Pre GE2025 Mkutano wa Tundu Lissu na Waandishi wa Habari Singida Novemba 12, 2024

    https://www.youtube.com/live/2CiAzcAM92M?si=ipoSlBpKzwhZhvkQ Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu anatarajiwa kuongea na waandishi wa habari muda wote kuanzia sasa. Fuatilia updates kadiri zitakavyojitokeza. Wakati anazungumza na waandishi wa habari Tundu Lissu amedokeza kuwa kutokana na...
  13. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Songwe: Katibu wa CCM avamiwa na watu wasiojulikana na kuvunjwa miguu yote miwili

    Wakuu! Hekaheka zinazidi kuendelea katika kipindi hichi cha uchaguzi. Naona watu wasiojulikana wamehamia CCM mbona kazi ipo =================== Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Itumba wilayani Ileje, Mkoa wa Songwe, Huruma Ally amevamiwa na watu wasiojulikana na kumvunja miguu yote...
  14. S

    CHADEMA ni Kama Sikio la Kufa

    CHADEMA ni Kama Sikio la Kufa Msemo maarufu wa wahenga usemao Mfamaji haachi kutapatapa, unaakisi hali halisi ya Chama Cha Maendeleo na Demokrasia kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa na hata uchaguzi mkuu wa 2025. Ninashangaa kauli za viongozi wa CHADEMA kulalamikia kuenguliwa kwa wagombea...
  15. Suley2019

    Pre GE2025 Ni wakati sasa wanawake waache kuwa wapambe wa wagombea na badala yake wawe washindani katika nafasi za uongozi

    Katika kampeni nyingi za kisiasa nchini Tanzania, imekuwa kawaida kuona wanawake wakichukuliwa kama wapambe wa wagombea badala ya kuwa wagombeaji wenyewe. Wanawake wamekuwa wakipewa majukumu ya kushangilia, kupiga vigelegele, na kutoa kauli kama “umepitaaa baba,” bila kuangalia sera au kubaini...
  16. B

    Pre GE2025 Tundu Lissu na ushindi wa urais 2025 kama ilivyokuwa kwa Donald Trump 2024

    Katika mazingira ambayo kila chombo cha serikali kikisapoti chama cha Mapinduzi katika Jamuhuri ya muungano wa Tanzania. 2025 itakuwa na mshangazo mkubwa sana katika taifa la Tanzania, kwani ndio mwaka ambao serikali chini ya CCM itaweza kuachia madaraka kwa kushindwa kwenye uchaguzi mkuu. Sio...
  17. J

    Pre GE2025 Mgombea Urais: Boni Yai wa CHADEMA asema " Mwaka 2025 kunaweza kutokea Surprise kubwa kuliko Mnavyotegemea"

    Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani Boniface Jacob aka Boni Yai amesema kuliko ilivyozoeleka mgombea Wao wa Urais wa JMT 2025 atawashangaza wengi Huenda ikawa ni Surprise kubwa, amesema Kiongozi huyo wa Chadema Taarifa hii itawachanganya Makamanda wengi wanaoamini Mgombea Urais atakuwa Tundu...
  18. chiembe

    Pre GE2025 Dkt. Slaa kuchuana na Lissu urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2025? Adai kadi yake ya uanachama wa CHADEMA bado iko hai!

    Sasa ni rasmi, Dk Slaa bado ni kada wa CHADEMA, kadi yake iko hai na kailipia kwa miaka 20. Dk akitia jina, Lissu atakumbana na upinzani mkubwa kupata tiketi ya chadema kugombea urais mwaka 2025 Soma Pia: Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania
  19. Mindyou

    Baada ya kuzamia shimoni tangu atenguliwe, Nape Nnauye atinga Bungeni

    Wakuu, Kama mnakumbuka Julai 21, 2024, Nape alivuliwa rasmi cheo cha Waziri wa Habari na tangu hapo ni kama alienda kujificha kwenye handaki. Alijiondoka X(Twitter) na hakufanya interview hata moja kutoka wakati ule. Kwa mtu kama Nape ambaye ilikuwa kawaida kuropoka na kujibizana na raia...
  20. Mindyou

    LGE2024 Njombe: Wananchi wataka wanasiasa kufanya kampeni za kistaarabu na zisizo na matusi kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa

    Wakati zoezi la uchukuaji fomu za kugombea uenyekiti na ujumbe wa serikali za mitaa likiendelea nchini, wakazi wa Mtaa wa Kambarage mjini Njombe wameomba kampeni za kistaarabu zisizo na lugha za matusi pindi zitakapoanza. Wananchi hao wamesisitiza umuhimu wa kampeni zenye kujenga umoja na...
Back
Top Bottom