kueleka 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Pre GE2025 No reforms, no elections’ yawaweka CHADEMA njiapanda

    No reforms, no elections’ yawaweka Chadema njiapanda. Kampeni inayoratibiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya ‘No reforms, no elections’ ikimaanisha “Bila mabadiliko, hakuna uchaguzi”, imewaweka njiapanda baadhi ya viongozi na makada wa chama hicho. Wanaobaki njiapanda, ni...
  2. The Watchman

    Pre GE2025 DAWASA inatekeleza ujenzi wa vituo nane (8) vya kisasa vya kuchakata majitaka kwa thamani ya Bilioni 16

    Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira DAWASA inatekeleza ujenzi wa vituo nane(8) vya kisasa vya kuchakata majitaka/takatope vyenye thamani ya Bilioni 16 katika jiji la Dar Es Salaam ambavyo itasaidia kupunguza gharama za kuzoa majitaka kutokana na ufinyu wa maeneo ya kuyahifadhi...
  3. The Watchman

    Pre GE2025 Serikali yatoa bilioni 2.5 kuendeleza ujenzi hospitali ya Dtk. Samia Muheza

    Serikali imeipatia hospital ya Dkt Samia Suluhu Hassan iliyopo wilayani Muheza kiasi cha sh. 2,570,164,000 fedha kuendeleza ujenzi wa hospitali hiyo pamoja na ununuzi wa vifaa tiba. Akikabidhi sehemu ya vifaa tiba vilivyotolewa na serikali Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo...
  4. The Watchman

    Pre GE2025 Shinyanga: Ujenzi wa zahanati ambayo haujakamilika tangu 2012, wananchi waililia serikali ikamilishe ujenzi huo

    Wakazi wa Kijiji cha Bushimani kata ya Chambo Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Boma la Zahanati walilolijenga kwa nguvu zao mwaka 2012 ili kuwaondolea adha ya kufuata huduma za Matibabu umbali wa kilomita 10. Veronica Michael na Elizabeth Mabula ni...
  5. T

    Pre GE2025 Hadi wazee sasa nao wamekuwa chawa, waunga mkono 'mitano tena' kwa Rais Samia

    Baraza la Wazee wa Jiji la Arusha limeunga mkono uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wa kumteua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kugombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ujao. Wazee hao walionyesha uungwaji mkono wao kwa kauli ya “Mitano tena” mbele...
  6. T

    Pre GE2025 CCM Ruvuma yahimiza demokrasia kwenye nafasi za wagombea udiwani na ubunge

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma kimewataka wanachama wake kuhakikisha wanazingatia taratibu, Sheria, na kanuni za Uchaguzi wakati wa mchakato wa uteuzi wa wagombea wa Ubunge na Udiwani. Lengo ni kuwarudisha madarakani wagombea wanaopendwa na wananchi, lakini kwa kufuata miongozo ya...
  7. The Watchman

    Pre GE2025 Mrisho Gambo: CCM tumekaa tumesema sisi 2025 mgombea wetu ni Dkt. Samia, wewe yasiyokuhusu unapiga porojo unapoteza muda

    Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mhe. Mrisho Gambo amesema Chama cha Mapinduzi na wanachama wake wameshafanya maamuzi ya kumteua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea wa Urais hivyo wanaopiga kelele wanapaswa kukaa kimya kwa sababu wao sio wanachama wa Chama hicho. Soma, Pia: Wajumbe...
  8. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Maoni ya mkazi wa Songea: Kwa mfumo wowote ule upinzani hawataweza kuing'oa CCM madarakani

    "Kwa mfumo wowote ule (upinzani) hawataweza kuing'oa @CCM madarakani, kwa sababu kila chama kinataka kupata ruzuku, ukitaka kuiondoa CCM madarakani inabidi uanze harakati za kufika hata maeneo ambayo hamjawahi kuyafikia, lazima muwe na ajenda," - Haya ni maoni binafsi ya Mohamed Kudeka Kupata...
  9. M

    Pre GE2025 Kimei amtaja Samia kinara wa mageuzi ya elimu nchini ikiwemo maarifa ujuzi, asema Vunjo yanufaika

    Jimbo la Vunjo ni kati ya majimbo 100 nchini ambayo yamenufaika na mradi wa ujenzi wa shule mpya za sekondari Mafunzo ya Amali Uhandisi, ili kuwawezesha Vijana kupata ujuzi na kuwa mahiri. Kwa Jimbo la Vunjo shule hii inaendelea na ujenzi katika kijiji cha Koresa kata ya Kirua Vunjo Kusini kwa...
  10. T

    Pre GE2025 NCCR Mageuzi wasema hawapo tayari kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani

    Wakuu NCCR nao nao wanadai hawapo kuunganisha nguvu na chama chochote cha upinzani, wanasahau kidole kimoja hakivunji chawa Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar...
  11. T

    Pre GE2025 Mbunge wa Rorya, Jafari Chege amewawetaka wananchi wa Kata hizo kutambua dira ya maendeleo tangu walipokuwa, walipo sasa na wanakoelekea

    Akizungumza na wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM katika Kata 3 za Nyamagaro kyang'asaro na Nyamtinga, Mbunge wa Jimbo la Rorya, Jafari Chege amewawetaka wananchi wa Kata hizo kutambua dira ya maendeleo tangu walipokuwa, walipo sasa na wanakoelekea. Chege ameendelea kuwapa...
  12. T

    Pre GE2025 Lissu awashangaa wanaohoji ushiriki wa viongozi wa dini kwenye siasa, ameeleza kuwa sekta ya dini ina mchango mkubwa kwenye siasa

    "Utawakumbuka kina mch. Peter Msigwa, mch. Getrude Rwakatare, Askofu Josephat Gwajima, Mch. Israel Nakse mbunge wa karatu baada ya Dkt. Slaa wote hawa ni viongozi wa kidini ambao wametoa mchango mkubwa katika maendeleo ya kisiasa ya nchi hii. Kwa hiyo hii fikra kwamba viongozi wa kidini...
  13. T

    Pre GE2025 Lissu ahoji Rais anapata wapi pesa za kugawa kwa viongozi wa dini? kwa mshahara gani?

    Wakati akifanya mahojiano na ITV, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu amehoji ni wapi Rais anatoa fedha za kuwapa viongozi wa dini? kwa mshahara upi? Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  14. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Musoma: DC Juma Chikoka aendelea na ziara ya "Mguu kwa Mguu" kusikiliza kero za wananchi

    Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Juma Chikoka, ameendelea na ziara zake za "Mguu kwa Mguu", akiahidi kufika kila kijiji na mtaa wilayani humo ili kusikiliza na kutatua changamoto za wananchi. Ziara hizi zinajumuisha ukaguzi wa miradi ya maendeleo, ambapo Chikoka ameeleza dhamira yake ya kutembelea...
  15. L

    Pre GE2025 Rais Samia Afanyiwa Maombi Mazito Mkoani Simiyu

    Ndugu zangu Watanzania, Kinachopatikana kwa Maombi hulindwa kwa Maombi. Rais wetu mpendwa Amefika hapo alipo kiuongozi kwa Neema tu ya Mwenyezi Mungu. Amepanda na kukwea ngazi za kiuongozi kwa Msaada Wa Mungu Mwenyewe,ameruka viunzi na kuvushwa katika mitihani ya kila aina kwa Neema ya Mungu...
  16. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mavunde: Kiwanda cha kuchenjua shaba Nala, mkombozi kwa wachimbaji wadogo wa madini

    Ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua madini (Shaba) Nala Mkoani Dodoma ni mkombozi wa wachimbaji wadogo na unakwenda kutibu changamoto katika eneo la kimadini Waziri wa Madini Anthony Mavunde ameyabainisha hayo leo jijini Dodoma wakati wa ziara ya kukagua Kiwanda hicho cha Uchenjuaji madini aina ya...
  17. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo lapendekeza Kuvunjwa kwa Mkataba wa Mkandarasi wa Mradi wa Umwagiliaji Mgongola

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imependekeza Wizara ya Kilimo kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ivunje mkataba na Mkandarasi Badr East Africa Enterpries Limited ambaye anatakeleza ujenzi wa mradi wa Skimu ya Umwagiliaji Mgongola Wilayani Mvomero mkoani...
  18. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kalambo kwa kushirikina na TRA yatoa vitenge 200 kwa wajawazito

    Kamati ya Usalama ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa kwa kushirikina na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi msaada wa vitenge 200 kwa wanawake wajawazito katika Hosptali ya Wilaya ya Kalambo na vituo vya kutolea huduma za afya kama sehemu ya kurejesha faida kwa wananchi. Mkuu wa Wilaya...
  19. B

    Pre GE2025 Moshi hatuna deni na mbunge wetu Bali sisi ndio tuna deni la kulipa kwake kwa kumpa kura za kishindo

    Mnamo 2020 tuliletewa baraka na Mungu ya kuwa na mgombea kutoka CCM NDG.PRISCUS TARIMO na tukampa kura za ndio tukiamini Atafanya maendeleo japo kidogo ambapo chadema walishindwa kabisa kutuletea.. Maajabu yakaongezeka kwa Mbunge huyu kuwa kinara wa maendeleo makubwa na yasiyo na kifani kwenye...
  20. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Mbunge Silanga: Nitatangaza kujiuzulu wakulima wakifikia uzalishaji wa kilo 1,500 kwa Hekari

    Mbunge wa Jimbo la Itilima, Mkoani Simiyu, Njalu Silanga amesema kuwa serikali imefanya kazi kubwa ya kuboresha sekta ya kilimo, ambapo Wilaya hiyo imepokea matrekta 35 kwa ajili ya kulima mashamba ya wakulima wa pamba kwa bei nafuu. Mbunge huyo aliongeza kuwa dhamira yake ni kuona kila mkulima...
Back
Top Bottom