kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. upupu255

    Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Geita, Manjale Magambo: Ukipigwa kwenye Kura za maoni usikimbie, baki ujenge Chama chetu

    Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Geita, Manjale Magambo, amewataka wanachama wa chama hicho kutokata tamaa au kununa pale wanaposhindwa kwenye kura za maoni. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread...
  2. M

    Pre GE2025 Huko CCM mwenye uwezo wa kuiamsha serikali ifanye kazi ni Kassim Majaliwa pekee

    Mpaka sasa nchi nzima tunakubaliana kwamba utendaji wa serikali unazorota kila kukicha, wafanyakazi wa serikali wanafanyakazi wanavyojisikia, kama hauamini hili subiri utakapopata shida ya kukutana na watendaji wa serikali ndiyo utaelewa. Kwa tathimini ya haraka kiongozi anayejielewa...
  3. upupu255

    Pre GE2025 Kuruthumu Issa ashinda uenyekiti UWT Mkoa wa Lindi kwa kura 323

    Leo, tarehe 15 Machi 2025, Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Lindi umefanya uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti wa mkoa, ambapo wagombea watatu walijitokeza kugombea nafasi hiyo. Wagombea hao walikuwa Bi. Asha Abdallah, Bi. Fauzia Chiangu, na Bi. Kuruthumu Issa Lunje. Kupata taarifa na...
  4. Waufukweni

    Pre GE2025 Alex Msama atangaza Tamasha la kuombea Uchaguzi Mkuu, litafanyika Aprili 20, 2025

    Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Kuombea uchaguzi mkuu 2025, Alex Msama leo ameongea na wandishi wa habari kuwa Maandalizi ya Tamasha la kuombea uchaguzi yanaendelea vizuri na kuwa Tamasha hilo lipo na litafanyika Tarehe 20, Aprili 2025 katika jiji la Dar es Salaam na baadae...
  5. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Zainab Katimba: Serikali imetoa bilioni 1.8 kuendeleza Ujenzi wa Hospitali ya Muleba

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba, amesema tayari Serikali imetoa Sh.Bilioni 1.8 kwa ajili kuendelea na ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Muleba, mkoani Kagera baada ya kukamilisha hatua za kimkataba. Mhe. Katimba ameeleza kuwa ujenzi wa hospitali hiyo ni...
  6. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Ndugai atoa hoja utaratibu kumwona daktari kwa Tsh. 10,000 ufutwe

    SPIKA Mstaafu na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai ameishauri serikali kuangalia upya utaratibu uliopo sasa, katika hospitali nyingi za umma kuwa ni lazima mgonjwa kutoa Sh. 10,000 kwa ajili ya kumuona daktari. Ndugai, alisema hayo juzi jijini hapa, wakati akichangia hoja kwenye kikao cha Kamati ya...
  7. Waufukweni

    Pre GE2025 VIDEO: Innocent Bashungwa alivyomsaidia mtoto huyu kumtwisha dumu kichwani baada ya kuwakuta wakichota maji

    Wakuu Mbunge wa Karagwe, Innocent Bashungwa, ameonyesha moyo wa huruma kwa kusaidia mtoto mdogo kumtwisha dumu la maji kichwani baada ya kumkuta akichota maji. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi...
  8. Carlos The Jackal

    Pre GE2025 Mzee Wassira, Amani ni matokeo ya Haki, unatangazaje Amani wakati Watu wanatekwa, wanauwawa? Mzee jaribu kua na Busara!!

    Hii Amani yako unayoishupalia shingo ni pale tu UHAI WA CCM unapotishiwa na UPINZANI?. Miaka nenda miaka Rudi ,Hoja kuu ya CCM Huwa ni Amani ,Amani hii ni katika muktadha wa CCM au Taifa?? Kwani Upinzani wakishika NCHI wao ndio wataanzisha vita au nini??. , Mzee Wassira danganya watoto ...
  9. Gabeji

    Pre GE2025 Makonda awatafutia vijana nafasi 1000 za kusoma nchini lndia. Huyu kijana ni kiongozi mbunifu sana, Rais Samia mtumie vizuri Makonda

    Tanzania ina viongozi vijana wachache sana wenye moyo wa kujituma, na kubuni fursa mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya taifa. Binafsi mh Makonda nikiaangalia kwa jicho la tatu, ni kiongozi bora kwa Tanzania. Huyu kila nafasi anafaaaa, kwa sababu huwa anafanya ubunifu wa hali ya juuu sana...
  10. T

    Pre GE2025 Sheikh Ponda: Watawala wamekaa sana madarakani kiasi kwamba wanaona wao ndiyo wamiliki wa nchi

    Sheikh Ponda ameeleza kuwa watawala nchi hii wamekaa madarakani zaidi ya miaka 60 wamefikia hatua wanaona kuwa hii nchi ni mali yao. Ameeleza kuwa ni muhimu kufanya mabadiliko kama mataifa mengine yafanyavyo ili kuleta maendeleo.
  11. Mindyou

    Pre GE2025 Waziri Lukuvi aitaka Ofisi ya Waziri Mkuu kuanzisha Daftari la "Faida Za Samia" kila eneo nchini

    Wakuu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi ameitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuandaa Daftari la Faida litakaloonesha kazi na shughuli za Serikali zilizofanyika katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan kabla ya Oktoba 2025...
  12. Waufukweni

    Pre GE2025 Mchekeshaji Said Said atumia Milioni 7 kutengeneza bango na kuweka picha akiwa na Rais Samia barabarani, kusambaza majiji yoye

    Mchekeshaji Said Said, aliyepiga picha na Rais Samia wakati wa usiku wa Tuzo za Wachekeshaji (Tanzania Comedy Awards), ameweka mabango ya picha hiyo katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma. Akiweka wazi gharama alizotumia, Said amesema ametumia zaidi ya TSh milioni 7 kutengeneza na...
  13. Cute Wife

    Pre GE2025 Joseph Selasini: Hatususii uchaguzi, muda uliobaki hautoshi kufanya mabadiliko

    Wakuu, Panazidi kuchangamka huko, Baadhi ya vyama vya siasa nchini vimesema haviko tayari kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu kwa kigezo cha marekebisho ya katiba mpya. Haya yamebainishwa mkoani Morogoro na Makamu Mwenyekiti Taifa Chama cha NCCR Mageuzi Joseph...
  14. Cute Wife

    Pre GE2025 Msafara wa ACT, Lissu wazuiliwa airport nchini Angola, kurudishwa nchini, ACT watoa tamko

    Wakuu, Mambo yametokea huko, ngoja waseto waje watueleze kunani! Au CCM ndio imepiga pini 'No Reforms No Election' isipate nguvu wakaanza kushawishiwa kupokea mabadiliko?! ===== Msafara wa viongozi wa Chama cha ACT Wazalendo ukiongozwa na Kiongozi wa chama hicho Dorothy Semu uliosafiri...
  15. upupu255

    Pre GE2025 Vijana wahamasishwa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Kupiga Kura

    Wakati Tume ya Huru ya Uchaguzi nchini (INEC) ikiendelea na uandikishaji wa daftari la kudumu la wapigakura katika mikoa mbalimbali, vijana wametakiwa kuwa mstari wa mbele kujiandikisha ili wapate haki hiyo ya msingi. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Machi 13, 2025 na Mjumbe wa Baraza kuu la UVCCM...
  16. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Simbachawene akutana na Walimu Wasio na Ajira, aelekekeza Kamati iundwe

    SIMBACHAWENE NA MKENDA WAKUTANA NA VIONGOZI WA NETO Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amesema Serikali itaunda timu ya wataalam itakayojuisha Wizara tano (5) ili kuchambua Makala ya “Non-Employed Teachers Organisation-NETO)”...
  17. The Watchman

    Pre GE2025 Video: Barabara mbovu kiasi DC kutembea kwa mguu kwenda kukagua miradi ya maendeleo

    Mkuu wa wilaya ya Geita Hashimu Komba akiwa ziarani katika Jimbo la Busanda Wilayani Geita Mkoani humo, amejikuta akishindwa kufikia miradi kwa wakati baada ya Msafara wake kukwama njiani kutokana na ubovu wa barabara hali iliyopelekea kutembea kwa mguu ili kwenda kukagua miradi hiyo iliyopo...
  18. T

    Pre GE2025 Mbeya: Dkt. Tulia amjengea nyumba mwananchi aliyeomba kujengewa na Rais

    Obeid Mwalopale Mkazi wa kijiji cha Matema kata ya Matema wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya aliyemuomba Rais Samia Suluhu Hassan amsaidie kumjengea nyumba ya kuishi yeye pamoja na familia yake hatimaye amefikiwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson baada ya taasisi...
  19. T

    Pre GE2025 Waziri Mkenda akabidhi shilingi Milioni 5 kwa kikundi cha ujasiriamali Rombo

    Mlezi wa Kikundi cha Marsho Manufacturing Company kinachojishughulisha na shughuli za ujasiriamali kupitia zao la ndizi ambae pia ni Mbunge wa Rombo Prof. Adolf Mkenda, Jumanne ya March 11,2025 amekikabidhi hundi ya Shilingi Milioni 5 ikiwa kama sehemu ya ahadi yake yakukisaidia kikundi hicho...
  20. Ojuolegbha

    Pre GE2025 Uchambuzi wa Kauli Mbiu ya CCM ya Uchaguzi Mkuu 2025: Kazi na Utu, Tunasonga mbele

    𝗨𝗰𝗵𝗮𝗺𝗯𝘂𝘇𝗶 𝘄𝗮 𝗞𝗮𝘂𝗹𝗶 𝗠𝗯𝗶𝘂 𝘆𝗮 𝗖𝗖𝗠 𝘆𝗮 𝗨𝗰𝗵𝗮𝗴𝘂𝘇𝗶 𝗠𝗸𝘂𝘂 𝟮𝟬𝟮𝟱: "𝗞𝗮𝘇𝗶 𝗻𝗮 𝗨𝘁𝘂, 𝗧𝘂𝗻𝗮𝘀𝗼𝗻𝗴𝗮 𝗠𝗯𝗲𝗹𝗲" 𝗡𝗮. 𝗝𝘂𝗺𝗮 𝗦𝗮𝗶𝗱, 𝗧𝘂𝗺𝗯𝗮𝘁𝘂 - 𝗨𝗻𝗴𝘂𝗷𝗮 Kauli mbiu hii ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 inabeba dhana kuu tatu: Kazi, Utu, na Maendeleo (Tunasonga Mbele). Hizi ni misingi muhimu inayolenga...
Back
Top Bottom