kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ojuolegbha

    Pre GE2025 Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa weledi wa

    Sisi Chama cha Mapinduzi tunasema hakuna kazi bila utu, kwani tunawahudumia Wananchi na kuhakikisha tunawapatia maendeleo wanayostahili kwa ueledi wa hali ya juu. CCM 2025 ✅, KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
  2. Pascal Mayalla

    Pre GE2025 Samia mitano tena sio kwasababu ni Mwanamke! Ni kielelezo cha Uwezo wa Mwanamke katika Uongozi

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo. Hapa naileta kama swali, hii dhana na kauli mbiu ya Samia Mitano.Tena, kufuatia ile the spirit ya 2025, "twende na mwanamke" , hatuendi na mwanamke kwa ya jinsia yake ya kike, tunakwenda na mwanamke kwasababu ya uwezo wa...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Joseph Kusaga: Mwaka 2025, Mama ndiye Rais wetu

    Wakuu Joseph Kusaga, Mkurugenzi Mtendaji Clouds Media Group akizungumza kwenye tukio la Uzinduzi wa Malkia wa Nguvu amesema "Huu ni mwaka tunakwenda kwenye uchaguzi na uchaguzi wetu tumeshasema mama ndiye Rais wetu. Mimi Sina Chama ndio maadili ya shughuli ninayofanya lakini mama amepewa...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

    Wakuu Msanii Profesa Jay amesema baadhi ya Watu wanaowashambulia Wasanii kama Ay na wengine kutokana na kupanda kwenye majukaa ya Vyama vya siasa, hawawatendei haki kwasababu Tanzania ni nchi ya Kidemokrasia. Kwenye mahojiano maalum na Mtangazaji Millard Ayo, Profesa Jay ameeleza yafuatayo...
  5. OKW BOBAN SUNZU

    Pre GE2025 Prof. Musa Assad(CAG) aibukia CHADEMA, atoa mafunzo

    Leo tarehe 12 Machi 2025 Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Prof. Mussa Assad ametoa mafunzo ya Uongozi kwa Viongozi wa Chama wakiwemo Wajumbe wa Kamati Kuu, Sekretarieti ya Kamati Kuu, Makatibu wa Kanda na Viongozi wengine Prof Musa Juma Assad CAG mstaafu...
  6. Mindyou

    Pre GE2025 Katibu Uenezi CCM Amos Makalla ameenda China ikiwa ni miezi 4 imebaki mpaka kampeni zianze? China kuna siri gani?

    Wakuu, Kama picha zinavyojionesha Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Amos Makalla ameongoza ujumbe wa NEC ya CCM katika ziara yake nchini China. Makala alikutana na Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Masuala ya Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara wa IDCPC Rao Huihua mjini Beijing...
  7. Mindyou

    Pre GE2025 Kamati yapitisha shauri la Jimbo la Missenyi kubadilishwa jina na kuwa Jimbo la Nkenge ili kuleta "muunganiko" wa kiutawala

    Wakuu, Kamati ya Ushauri ya Wilaya Missenyi mkoani Kagera (DCC), imepitisha azimio la kubadili jina la Jimbo la Uchaguzi la Nkenge na kuitwa Jimbo la Missenyi, ili kuleta muunganiko wa kiutawala. Kikao cha kamati hiyo kilichofanyika jana, Jumanne, Machi 11, 2025 kilichoongozwa na Mkuu wa...
  8. upupu255

    Pre GE2025 Katibu Mwenezi Arusha, Saipulani Ramsey: 'No Reform No Election' ni kachumbari tu inayochagizwa kuliwa kwa Pilau

    Wakuu Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo Mkoa wa Arusha, Saipulani Ramsey ameendelea kusisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu uko pale pale Tunafanya uchaguzi miaka yote sio kwasababu ya TAMKO au MATAMKO, bali kwasababu ni takwa la kikatiba lililotokana na VIKAO halali vilivyopewa nguvu ya Kisheria...
  9. upupu255

    Pre GE2025 Dkt. Tulia kuijengea nyumba familia yenye uhitaji Kyela, atoa msaada wa chakula na mavazi

    Taasisi ya Tulia Trust Chini ya Mkurugenzi wake ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mhe. Dkt. Tulia Ackson yapeleka Tabasamu kwa Familia ya Obed Ambonisye Mwalopale. Nyumba ya Familia ya Obed...
  10. upupu255

    Pre GE2025 Hiki ni kituko! Yaani gari wanunue wao CWT alafu RC Kilimanjaro kaenda kuzindu tu

    Wakuu Yaani gari wanunue wao CWT alafu RC Kilimanjaro kaenda kuzindu tu! == Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bwn. Nurdin Babu akizindua gari la chama cha walimu Moshi manispaa wakati wa Kliniki ya Samia katika mkoa wa Kilimanjaro iliyofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Weruweru...
  11. upupu255

    Pre GE2025 Mwenyekiti UVCCM Mara awataka vijana kusaidia kuzuia wizi wa mifugo Rorya

    Kufuatia matukio ya mara kwa mara ya Wizi wa Mifugo katika Wilaya ya Rorya, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi Mkoani Mara, Mary Daniel amewataka Vijana wilayani Rorya kuacha kuvinyoshea vidole vyombo vya Dola kukomesha Vitendo hivyo badala yake na wao kuwa mstari wa mbele...
  12. T

    Pre GE2025 Mwanyemba: Wanaoisaliti CCM ni wanachama wake

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoani Dodoma , Abdulhabib Mwanyemba amesema wanaokisaliti Chama cha Mapinduzi ni wanachama wake kwa sababu wanafanya makosa wakati wa uteuzi wa wagombea wa ngazi mbalimbali ikiwemo ubunge na udiwani. Mwanyemba ametoa kauli...
  13. Mindyou

    Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

    Wakuu, Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM? Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki? Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka...
  14. T

    Pre GE2025 Vijana tuchague viongozi ambao wapo 'real', tusiangalie mionekano na fedha

    "Sisi majority abao ni vijana tunaweza tukakata huo mrija tukapata viongozi ambao ni real simu anapokea akikuta missed call yako anakupigia. Tunaacha viongozi wengi kwa sababu hawana fedha , tunawaacha viongozi wengi kwa sababu ya mionekano yao, tunawwacha viongozi wengi tunawanyima nafasi za...
  15. upupu255

    Pre GE2025 Prof. Mkenda kusaidia vikundi vidogo kufikiwa na TBS

    Kutokana na kuwepo kwa vikundi vingi vidogovidogo vya wajasiriamali vinavyozalisha bidhaa mbalimbali ikiwemo za vyakula wilayani Rombo Mkoani Kilimanjaro, vikundi hivyo vimeahidiwa kutafutiwa wakala wa Vipimo hapa nchini TBS ili waweze kuwafikia wajasiriamali hao na kupima bidhaa zao ikiwa kama...
  16. upupu255

    Pre GE2025 Manjale: Vyama vingine vilikuwa vinasema bodaboda ni kazi ya laana

    Katika ziara ya Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Geita, imeeleza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inathamini kazi za Vijana wa Bodaboda kama chanzo cha kipato na maendeleo ya uchumi wa nchi. Soma: UVCCM Geita: Hakuna atakayezuia Uchaguzi Mkuu Oktoba...
  17. milele amina

    Pre GE2025 Viti Maalum CCM: Sera na Utaratibu wa vipindi viwili miaka 10 ni danganya toto kwa Watanganyika na wanachama wa CCM!

    Utangulizi Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, masuala ya viti maalum vya ubunge na udiwani yanazungumziwa kwa nguvu, lakini kuna maswali mengi yanayoibuka kuhusu uhalisia wa sera hii. Mimi nikiwa kiongozi na mwanachama wa CCM, Ninatoa mawazo yangu kwa sababu zifuatazo: 1. Muda wa...
  18. K

    Pre GE2025 Mama Samia amegundua kosa kubwa chaguzi za 2024

    Uchaguzi wa 2024 wa serikali za mitaa ungekuwa wa huru na haki leo hii swahiba wa Mama Samia Mbowe angekuwa Mwenyekiti wa Chadema na kusingekuwepo leo No reform no election ambayo ni agenda kubwa ya nchi kwa sasa. Kitendo cha Mama Samia kuanza kumkasirikia mkwe wake Mchengerwa tena baada ya...
  19. UHURUWANGU

    Pre GE2025 No reform No election: sasa ni wakati wa kusimama imara

    Kwa miaka mingi, Watanzania tumeendelea kushuhudia mfumo wa uchaguzi usio wa haki, usio na usawa, na usioakisi matakwa halisi ya wananchi. Tumeshuhudia jinsi mchakato wa uchaguzi unavyotawaliwa na sheria kandamizi, tume zisizo huru, na matumizi mabaya ya vyombo vya dola. Matokeo yake ni kupungua...
  20. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbeya yaanza mchakato wa kuligawa jimbo la Mbeya Mjini alipo Tulia Ackson na kupata jimbo lingine la Uyole

    Wakuu, Wameona wamtengee kabisa Tulia jimbo asipate tabu ya kusumbuana na Sugu, maana wanajua ataibika! ==== Halmashauri ya Jiji la Mbeya imependekeza kuanza mchakato wa kuchunguza na kuligawa Jimbo la Mbeya Mjini kupata jimbo jipya la Uyole, katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25, 2025. Jimbo...
Back
Top Bottom