kufuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mparee2

    Makampuni ya simu yaweke huduma ya kufuta meseji zilizokosewa

    Napendekeza makapuni ya simu yaweke huduma ya kufuta ujumbe wa meseji (text) zilizokosewa; mfano ndani ya sekunde 15 au pengine kabla haujasomwa. Nimependekeza hivi baada ya kuona watu wanavyo pata wakati mgumu pale wametuma meseji kwa makosa; mf: Mtu huweza kukosea na kumtumia bosi wake...
  2. R

    Msaada wa simu kufuta majina

    Simu inafuta majina (saved names). Je, hii inasababishwa na nini?
  3. Kinoamiguu

    Namshukuru sana prof. Kapuya kufuta mitihani ya Taifa mwaka 1998.

    Nakumbuka mwaka 1998 kulikuwa na sakata la kuvuja kwa mitihani ya NECTA. Mitihani ilianza Siku ya Jumatatu kwa kuanza na hesabu sikuwa nazijua kabisa na sikuzipenda.nilijiamini kupita kiasi kwakuwa nilikuwa na majibu toka nje na kila mwanafunzi alipata mitihani ile na ilikuwa yenyewe kweli...
  4. Webabu

    Wayahudi wanavyojipenyeza wizara za elimu duniani kufuta kutajwa vibaya

    Saudi Arabia imechapisha upya vitabu vyote vya shule za nchi hiyo na kuondoa vipengele vilivyokuwa vikiwataja kwa ubaya Wayahudi pamoja na Wakristo. Baadhi ya vipengele hivyo ni kama vile utabiri wa kuzuka vita hapo baadae ambapo waislamu watawapiga vibaya mayahudi na kuwashinda. Kipengele...
  5. M

    Serikali kufuta ushirika wa G32 ni njia sahihi ya kufufua KNCU Kilimanjaro?

    SERIKALI KUFUTA USHIRIKA WA G32 NI NJIA SAHIHI YA KUFUFUA USHIRIKA WA KNCU MKOANI KILIMANJARO? Wakuu hongereni na majukumu ya kila siku naomba niwaletee yanayojiri Mkoani kwangu kuhusu masuala ya Ushirika ambao ilikuwa na mchango mkubwa sana wa kiuchumi wa Mkoa wa Kilimanjaro. Hivi karibuni...
  6. MK254

    Haijatokea duniani, Watanzania wafaulu kufuta upinzani

    Nacheck hapa matokeo ya uchaguzi wa Tanzania, yaani upinzani umefutwa rasmi, mpaka sasa hawana mbunge hata mmoja aliyefaulu kwenye pembe zote za nchi aliyegombea kwa tiketi ya chama cha upinzani, ni mwendo wa CCM kote kote, kijani kwa kwenda mbele. Kwa kifupi bunge litafurika wabunge wa mlengo...
  7. dvj nasmiletz

    Msako/ukaguzi wa ghafla kufanyika kwenye simu yako. Cha kwanza kufuta ni nini

    Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi... Ili kulinda status yako/siri zako utafuta vitu gani kwa fasta fasta? Meseji? Xvideo? Picha? Namba za simu? Social networks? Betting apps? Au...
  8. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Kyela-Mbeya: Nitatumia elimu yangu kukuza uchumi na kufuta umasikini katika nyanja zote

    NITATUMIA ELIMU YANGU KUKUZA UCHUMI NA KUFUTA UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE"PROF. LIPUMBA" KYELA- MBEYA Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha umasikini (mtu mzima kutumia shilingi 50,000/...
  9. Nyendo

    Dodoma: Rais Magufuli apiga simu mubashara kwenye Kongamano la CWT na kukanusha kufutwa kwa Ualimu Ngazi ya Cheti

    Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti. Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo...
  10. jitombashisho

    Uchaguzi 2020 Ili kufuta kidomo domo cha kina Lissu, nashauri Tume ya Uchaguzi ihesabu kura zote kwa njia ya uwazi

    Hata ikiwa kama nilivyoshauri bado Magufuli atashinda tena asubuhi mapema. Tume ya uchaguzi amueni moja ili kuwakosesha hoja hao mamluki nalo ni kuhesabu kura hasa ngazi ya u Rais kwa uwazi. Ukweli ni kwamba Tundu hana uwezo wa kushinda uchaguzi mkuu na kuendelea kujiamini kwake kuhusu hilo ni...
  11. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba: Nitatumia elimu yangu kukuza uchumi na kufuta umasikini katika nyanja zote

    BUSEGA- SIMIYU Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha umasikini (mtu mzima kutumia shilingi 50,000/ au zaidi kwa mwezi) imeongezeka toka watu milioni 12.3 mwaka 2011 na kufikia watu milioni...
  12. mugah di matheo

    Sixty Nyahoza: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa haina mamlaka ya kufuta chama chochote cha siasa

    Msajili Msaidizi wa Vyama Vya Siasa nchini, Sixty Nyahoza, amevitaka vyama hivyo amesema kuwa Ofisi yake haina mamlaka ya kufuta chama chochote cha siasa ila ana uwezo wa kukisimamisha usajili hivyo kuzuia kampeni zake. Chanzo: Radio one stereo
  13. Analogia Malenga

    Uchaguzi 2020 Mgombea Urais wa JMT kwa tiketi ya ADC, Queen Sendiga aahidi kufuta tozo na kodi zisizo na mashiko

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ADC, Queen Cuthbert Sendiga ameendeleza Kampeni jijini Dar ambapo Septemba 27 alitembelea soko la Stereo Temeke na kuongea na wafanyabiashara Amewaahidi wafanyabiashara hao kufuta tozo na kodi zisizo na mashiko kwa wafanyabiashara...
  14. Analogia Malenga

    Uchaguzi 2020 UMD yaahidi kufuta Kodi ya Majengo na Vitambulisho vya Taifa

    Mgombea UMD kufuta vitambulisho vya taifa MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Union for Multiparty Democracy (UMD), Mohamed Mazrui, amesema iwapo atapata ridhaa ya kuongoza Tanzania, Serikali yake itafuta utaratibu wa wananchi kupewa Vitambulisho vya Taifa. Alisema hayo juzi wakati wa...
  15. K

    Uchaguzi 2020 Hoja ya kufuta sheria zinazonyima watu dhamana Ni turufu kwa CHADEMA

    Hii hoja ya kufuta sheria kandamizi zinazonyima watu dhamana Ni yakuungwa mkono na kila MTANZANIA, wapo Wana CCM inawaumiza na kuwanyamazisha, wapo wapinzani na wapo wafanyabiashara ambao leo CCM ikitaka ikufilisi inakupeleka mahakaman kwa makosa yakusadikika na hatma yake unaozea jela bila kesi...
  16. J

    Tundu Lissu, kabla ya kufuta Idara ya Maelezo, futa Idara ya Habari na Uenezi ya CHADEMA

    Kichwa cha habari chahusika. Idara ya habari ya CHADEMA ina matatizo mengi, nikianza kuyataja yote tutajaza ukurasa huu. Kuna tatizo la kutotoa habari kwa wakati. Pia wanatoa habari zikiwa zimekatwa-katwa. Zaidi hawamuandai mgombea kwa maswali anayoulizwa na waandishi wa habari. In short...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    Je, wakati umefika wa Misikiti kugeuzwa Sunday-school na Gwajima?

    JE, WAKATI UMEFIKA WA MISIKITI KUGEUZWA SUNDAY-SCHOOL NA GWAJIMA? Na, Robert Heriel Miaka mitano nyuma, naam mwaka 2015 Gwajima alionyesha dhamira yake na ndoto yake kubwa ambayo alitanabaisha kuwa anatamani Misikiti kuwa Sunday- School za watoto wa Kikristo, pamoja na masheikh na maimamu...
  18. J

    Mzee Sumaye aliona mbali, siyo rahisi kufuta rushwa CCM ni heri ibatizwe kuwa Takrima!

    Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Waziri mkuu mstaafu mzee Sumaye baada ya kuona siyo rahisi kuondoa rushwa kwenye uchaguzi ndani ya CCM aliipa jina jipya na zuri la Takrima. Watu wakapiga sana kelele lakini ndio hivyo hadi leo huwezi kushinda uchaguzi CCM bila kutoa takrima. Mgombea...
  19. WilsonKaisary

    Kuvunja kwa sanamu za waliotenda ukatili zidi ya watu weusi kuna saidia kufuta machungu au kujifunza?

    Baada ya kifo cha George Foyd nchini Marekani kumezua maandamo katika majimbo mbali nchini Marekani. Huku maelfu kwa maelfu wakiandamana kupinga vitendo hivyo nchini Marekani. Mwitikio kufuatia tukio Hilo nchi mbali za ulaya zikiwa zimeguswa na hatimae kuanza maandamo na zenyewe. Maandamo...
  20. LONDON IS BLUE

    Mchakato wa kufuta mfumo wa vyama vingi unagharimu kiasi gani?

    Tanzania ukiwa mwanasiasa wa chama cha upinzani unajeuka kuwa adui wa chama tawala na dola. Wapinzani wananyanyasika, wanatekwa, wanafunguliwa kesi nzito nzito, wanafungwa jela na wengine kupoteza maisha. Ni budget ya shilingi ngapi/au ni utaratibu gani unahitajika kufuta mfumo wa vyama vingi...
Back
Top Bottom