Kazi unazofanya ni miongoni mwa vitu ambavyo vinakuchagulia mahala pa kuishi. Nimeishi sehemu nyingi za mjini na kijijini, nilichokiona mimi maisha ya mjini ni mazuri ukiwa na pesa nyingi na maisha ya kuishi kwenye kijiji kilichochangamka ni mazuri zaidi hata ukiwa na pesa kiasi.
Nimechukua...
Hii ni kwa wote uwe Kiongozi kwa ngazi ya kitaifa au chini yake.
Kuna wimbo wa Orchestra Safari Sound unaitwa Dunia Msongamano, kuna sehemu wanaimba¶¶kufa kwa binadamu hupangwa na Mungu nakuomba mwenyezi anipe maisha¶¶
Pamoja na hayo kuna other factors contributed by the bearer. Usiwe mzalendo...
Ukiona imeingia msg mojawapo katika hizi kipindi hiki.
" Mambo my ! Nimekumiss sana"
" Babe umenisusa upo kweli"
" Mambo vipi? Unaendeleaje?"
" Nina hamu na wewe babe?"
" Siku hizi umenitenga sana"
" Upo handsome?"
" Hey love"
" Hujambo?"
Akikutumia msichana ambaye week mbi au zaidi...
Habari za Jumapili?
Naomba niende moja kwa mona kwenye mada, hiko hivi, kuna kijana ambaye ametokea mkoa mmoja huko Kanda ya Kaskazini, huyu hakuwa na wazazi wote wawili kwani walifariki kipindi alipokuwa mdogo sana. Kwa kipindi kirefu cha Elimu yake alikuwa akiishi na bibi upande wa mama...
Wasalaaaam wazee wa kazi....
Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati...
Kuna kabinti nilikapa mimba sasa ni miezi minne imepita tuko mkoa mmoja ila maeneo tofauti tena kwa umbali wa kupanda gari kwa .asaa kama mawili hivi.
Huyu binti anang'ang'ania aje tuishi wote maana huko aliko anaishi na...
Nimestaafu mwezi uliopita
Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa.
Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu.
Natamani nikaishi England nifie huko
Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemuhukumu raia wa Botswana, Theo Leborang kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa la kuishi nchini kinyume cha sheria na kutoa taarifa za uongo kwa Maofisa wa Uhamiaji.
Hukumu hiyo imetolewa jana Jumanne...
Heri ya Mwaka mpya wakuuu,
Nimeishi maeneo mengi hapa Dsm ila nina mwezi wa saba sasa since nihamie mbezi mwisho, mimi ni wale domo zege, yaaani kutongoza Mitihani, mimi ndo wale tunapata mbususu kwa wadau (dada zetu hawa watoa huduma).
Nimekuja kugundua hii sehemu ina uhaba wa mbususu...
Imekuwa ni ndoto ya wengi kumiliki nyumba ya kuishi hasa kwetu sisi watanzania. Ndoto hii inaweza kutokana na sababu mbalimbali.
Kwenye kipengele hiki cha kumiliki nyumba ya kuishi nimekuandalia somo ambalo nimeona litakusaidia sana sana kuhusu nyumba ya kuishi.
Ninafahamu kuwa ushauri huu sio...
Huwa nawaza sana kuuawa kwa huyu mwamba halafu mbaya zaidi huzuni hii hunijia wakati unapigwa wimbo wa taifa kwamba Mungu ibariki Tanzania, wabariki viongozi wote. Yaani Mungu abariki wauwaji? Hakika baadhi ya vesi za kinafiki kwenye wimbo wa taifa ziondolewe.
Yote kwa yote mimi nafsi yangu...
Kwa mila na tamaduni zilizokuwa zimezoeleka huko nyuma ilikuwa kwamba mtoto wa kike ataondoka kwa wazazi wake kwa kuolewa.
Kwa miaka ya karibuni mifumo na taratibu za maisha zimegeuka kabisa. Idadi kubwa ya watoto wa kike hawaolewi kwasababu mbalimbali.
Kufuatia mabadiliko haya ndiyo sababu...
Miaka ya nyuma, hata urudi katika vitabu vitakatifu, watu matajiri waliishi na watu wengi nyumbani na wote walinyooshwa na kutii sheria za nyumbani.
Mfano Nabii Ibrahim alikuwa Bilionea aliyeishi na mamia ya watu kwenye familia yake. Alikuwa hadi anajeshi la watu 300 ambao ni sehemu ya familia...
Usiniwaze Sana Mimi nawaza Maisha yangu.
Ili nifikie Goals na nisiweke- pause
Lazima niishi ki-padri (Priest life)
Nahitaji chukua Chuma ya Pili ili nimpatie My Mama that All na siwezi mchukulia Chuma ya Chini ya Mil 20
Unakuta dada anafunga ,anaomba apewe mume ,Mungu anampa mume baada ya ndoa anarudi kwa ex wake ,hapo ndipo unajua shida yake ilukuwa ni SHEREHE/HARUSI nae wamwone kaolewa na si MUME wala NDOA.
Hapo utajua kuna wanawake wanaopenda SHEREHE/HARUSI ila hawapendi maisha ya NDOA wala mume,kwani anaye...
Wana jukwaa Salaam
Kwa wazoefu wa maeneo haya ninaomba msaada.
Mpango wangu ni kuishi mpakani mwa Zambia na Tanzania (karibu na hapo Tunduma) lakini eneo la mpakani kiasi kwamba nikitaka kuvuka kupata mahitaji upande wa pili wa Tanzania ninavuka bila shida.
Pia ni biashara gani hapo inayoweza...
Shikamooni wakubwa zangu mdogo wenu naomba ushauri kidogo kutoka kwenu...
Mimi ni kijana mwenye miaka 24 naishi hapa dsm ila mpaka muda huu bado naishi nyumbani kwa wazazi, kwa umri wangu nshaona kuwa najiendekeza sana mana mpaka sasa ningekuwa najitegemea na mimi niwapunguzie mzigo wazee.
Ila...
Hakika nikijiangalia kipindi changu cha Majira ya upofu ambapo nilikuwa sijaamua kuishi katika Maisha ya utakatifu. Naona mabadiliko makubwa sana.
Nchi ya ahadi ni nzuri, imejawa na asali. Nauona mwisho wangu ukitamatika katika haki na kweli.
Vijana mtafuteni Mungu wa kweli acheni kuishi...
Kwa Mara ya kwanza nilipofika hapa Dsm nilifikia kwa Uncle wangu ni Askari yeye na mke wake.
Nakumbuka nilikaa pale wiki tatu tu lakini niliziona Kama Mwaka mzima .
Asikuambie Mtu yule uncle wangu ndo alinifundisha kumjua Mungu na kunipeleka Shule Hadi kufika Chuo
Mungu Ampe Maisha marefu...
Kiwango cha umasikini na sera ya nchi ya kumiliki ardhi na viwanja ni changamoto kubwa sana! Ukiacha watoto inaonyesha kuwa watu MILLION 40 MPAKA 45 hawana makazi, tatizo ni nini?
Sera ya nchi ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na makazi salama inaharibiwa na utaratibu mbovu wa watu kumiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.