Rafiki yangu mpendwa,
Ukiwaangalia watu wanaojenga utajiri na wale wanaobaki kwenye umasikini, hawatofautiani sana kwa nje.
Unakuta wengi wanatokea eneo moja, wanafanya kazi au biashara zinazofanana, lakini matokeo yao ni tofauti kabisa.
Hilo limekuwa linawashangaza wengi, kwa kushindwa...