kujitolea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. nashukuru mzima

    Kujitolea (Volunteer) imekuwa tabia kandamizi katika mfumo wa ajira nchini

    Habari, Kujitolea katika Serikalini au kwenye private kwa sasa imekuwa ni ugonjwa mkubwa sana nchini. Baada ya Uhaba mkubwa wa ajira nchini, kumekuwa na wimbi la Hali ya mashirika,taasisi za umma na binafsi kuhitaji watu wa kujitolea kwenye sehemu za kazi. Kiuhalisia kujitolea sio jambo baya...
  2. VMWare-Oracle

    Kujitolea kufanya kazi katika kampuni mbalimbali za umeme, Dar es Salaam

    Habari wakuu. Mimi ni mwanachuo wa DIT mwaka wa kwanza,ngazi ya Ordinary Diploma in Electrical engineering. Katika kipindi hiki cha likizo ya wiki mbili,nilikuwa naomba connection kama nitaweza kupata sehemu nikajiegeza kwa ajili ya kupata ujuzi nje ya workshops. Sehemu iwe yoyote...
  3. C

    Mwalimu wa kujitolea kufundisha mathematics

    Habari za leo? Kama kuna mwalimu wa hesabu mwenye uwezo wa kufundisha vizuri o-level na A-level na angependa kujitolea naomba ani-pm. Tutamlipa posho isiyozidi laki mbili na nusu kwa mwezi. Akihitaji kulipwa hiyo posho kwa wiki ni sawa pia(250,000/4). Utapata kifungua kinywa, chakula cha mchana...
  4. Hismastersvoice

    Sakata la video ya madawati Sinde Mbeya mwalimu wa kujitolea alikuwa sahihi

    Hili sakata kwa tuliowasikiliza viongozi wa mkoa ni wazi walikiri kuwa kulikuwa na uhaba wa madeski shuleni Sinde, viongozi hao walisema siku husika walikuwa wakigawa madeski japo haohao wanasema shule haikuwa na uhaba wa madeski! Hayo madeski walikuwa wakigawa ni ya ziada? Viongozi wa mkoa...
  5. westandtogether

    Nafasi ya kujitolea

    Habari wakuu! Nimesomea electrical engineering Naomba msaada Ni kampuni zipi naweza pata nafasi ya kujitolea kwa technician au engineer?
  6. Stephano Mgendanyi

    Harambee ya ujenzi wa miundombinu ya elimu na upatikanaji wa walimu wa kujitolea kwenye sekondari mpya - Jimbo la Musoma Vijijini

    Kata ya Kiriba ya Jimbo la Musoma Vijijini imepata Sekondari ya pili ili kutatua matatizo ya umbali mrefu unaotembewa na mwanafunzi wa Kata hiyo kwenda masomoni Kiriba Sekondari. Vilevile, Shule hiyo mpya, iitwayo Bwai Sekondari, itapunguza mirundikano ya wanafunzi kwenye madarasa ya Kiriba...
  7. TOUCHBOY TERMINATOR

    Natafuta watu wa kujitolea kwenye Taasisi isiyo ya Kiserikali (NGO)

    Habari Wananzonde jukwaani Nimesajili shirika NGO mwaka 2020 ina usajili wa kufanya kazi mikoa yote Tanzania bara (Usajili wa kitaifa) lakini Hadi leo sijafanikiwa kupata fund Mahali popote . Nimejifanyia tathmini nimegundua kwamba Sina watu wenye weledi kwenye hii NGO. Kwani 99% ya wanachama...
  8. BARD AI

    Katambi ataka vijana wakubali kujitolea wakati wakitafuta kuajiriwa

    Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amewataka vijana kujenga tabia ya kujitolea katika masuala ya kijamii kwa lengo la kusaidia wengine badala ya kusubiri kuajiriwa. Amesema kilio cha ukosefu wa ajira kwa vijana kitaondoka endapo kundi...
  9. Lady Whistledown

    Mawaziri wa Kenya kujitolea Mishahara yao ya Mwezi 1 kwa waathiriwa wa Njaa

    Taarifa kutoka Ofisi ya Rais imesema, Baraza la Mawaziri limekubali kuwa fedha zao za malipo ya mwezi mmoja, zitachangia katika hatua za serikali kusaidia Wakenya wanaokabiliwa na njaa kutokana na ukame Pia ilibainisha kutokubaliana na bei za juu za mahindi hivyo kuahidi msaada wa soko kwa...
  10. FRANCIS DA DON

    Nipo tayari kujitolea gharama za matibabu ya akili kwa mkurugenzi wa Tanesco Kariakoo CBD

    Kwa kweli, kwa kweli, jamani, kwa hili la kukata umeme Kariakoo tangu asubuhi hadi muda huu umeme haujarudi kwa maeneo mengi ya Kariakoo, binafsi nipo tayari kutoa usafiri hadi Milembe, na nitalipa gharama zote za matibabu, this is Insanity!!!!!!!
  11. Hassan Enzi

    Nahitaji Shule ya kufundisha kwa kujitolea

    Natafuta shule ya KUJITOLEA nafundisha masomo yote ya shule za msingi. Pawepo na angalau ya maji. Mana kitaa kinachosha
  12. D

    Nafasi ya kujitolea katika taasisi binafsi au NGO Dar es Salaam

    Habari zenu wanajamii, Mimi ni kijana wa kitanzania, nina miaka 24, mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam. Nimesomea shahada ya sanaa katika isimu na fasihi (Bachelor of Arts in linguistics and literature). Mbali na elimu niliyosomea nina ujuzi na computer applications. Natafuta nafasi ya...
  13. P

    SoC02 Kujitolea kunalipa maradufu

    Kama Wahenga wetu walivyosema'Ndege anayetaka kutua kwenye bua la mtama ale sharti Kwanza atue kwenye mti wa pembeni ili aone vizuri bua lenye mtama mzuri'. Kujitolea ni Hali ya kufanya shughuli Fulani bila kutanguliza malipo au maslahi binafsi. Mwalimu mmoja wa shule moja ya Msingi...
  14. Adejohn

    Natafuta internship au kujitolea popote

    Habari za saizi jamani samahanini mimi ni mwanamke miaka 24, nimemaliza chuo Bachelor of Business Adminstration mwaka huu. Natafuta internship au kujitoleapopote kampuni au kiwandani nipo tayari kuanza muda wowote ata sasa napatikana Dar es Salaam
  15. MakinikiA

    Anna Makinda: Maafisa wa sensa watakiwa kujitolea kuonyesha uzalendo

    Salama wandugu, Hii nchi mbona double standard sana. Waliwafanyia interview watu ili kuwapa kazi sasa kama walikuwa hawana hela za kuwalipa hao maafisa wangetangaza ajira za kujitolea kuonyesha uzalendo. Ingefaa zaidi uzalendo waanze wabunge na mawaziri wasilipwe posho ili haki itendeke...
  16. cold water

    Nimepata sehemu ya kujitolea, naombeni ushauri

    Naombeni ushauri, nina mwaka sasa tangu nimalize chuo, sina kazi, sijapata hata mtaji tu wa kuanzisha biashara. Nimepata sehemu ya kujitolea lakini ni mbali na ninapoishi lazima upande gari kwenda na kurudi na ukifika stand kuelekea kazini unapanda boda tena, sijala na nimeambiwa No malipo...
  17. Kelvaskamwela

    Natafuta sehemu ya kujitolea ni mhitimu 2022 , shahada ya kwanza ya utawala na rasilimali watu ......napatikana Mbeya

    Natafuta sehemu ya kujitolea ni mhitimu 2022 , shahada ya kwanza ya utawala na rasilimali watu Tumaini university ......napatikana Mbeya
  18. Vladivostok

    Mtaani hali ngumu hata kazi za kujitolea hakuna wap tunaekea?

    Nimetoka ofisi moja asubuh kutafuta kazi ya kujitolea wameniambia hakuna imagine kazi ya kufanya bure hakuna vitu bei juu wap tunaelekea hali ni ngumu mno hela haina thaman kabisa soon tutaelewana .
  19. B

    Natafuta kazi ya kujitolea GIS and Land Surveying

    Habar zenu ndugu!! Mimi ni kijana wa miaka 23 Nina Diploma ya land survey nilikuwa naomba kama kuna kampuni yoyote inayojihusisha na shughuli za land survey nahitaji kupata mahali hata pa kujitolea. Namba yangu 0699239068
  20. I

    Changamoto ya kazi katika mashirika ya kujitolea ya jamii

    Miaka kadhaa iliyopita nilipata kazi kwenye shirika moja la maendeleo ya jamii. Katika shirika ilo nilipelekwa kijijini sana uko mkoani Tabora ambapo niliyekua nalipwa mshahara ni mimi pekeangu huku wanachama wengine wa shirika wakifanya kazi ya kujitolea na kupokea tu posho ndogondogo. Asee...
Back
Top Bottom