kumbukumbu

The Kumbukumbu Room, or Kumbukumbu Room: Africa, Memory and Heritage, or Kumbukumbu Exhibition, was one of the spaces of the National Museum of Brazil, destroyed by the fire of 2018. The name of the room refers to a word in Swahili, used for "objects, people or events that make us think about the past."
In the room, objects from the African and Afro-Brazilian collections were on display. In particular, the collections Police of the Court and Heloísa Alberto Torres were featured. Also in the room were the set of gifts from Africa sent to John, the Clement, in 1810, including the Throne of the King of Dahomey. Most of the objects on display were from the 19th century.
The room was organized from nine showcases, six side and three central, and a map from which one could establish the origin of the exposed pieces. According to the official book of presentation of the exhibition:

View More On Wikipedia.org
  1. Prosper Fidelis

    kumbukumbu namba ya barua rasmi

    jamani walimu humu ndani naombeni mnieleweshe, unapoandika kumbukumbu namba, katika barua rasmi, kumbukumbu namba hiyo inahusiha mambo gani?
  2. J

    Nyerere: Serikali corrupt duniani kote hazikusanyi kodi hubaki kukimbizana na Wamachinga barabarani

    Nyerere: Serikali corrupt duniani kote hazikusanyi kodi hubaki kufukuzana na wamachinga barabarani hata Italy pale wana mzigo wa madeni. Kumbukumbu ya miaka 22 baada ya kifo cha Nyerere Chanzo: ITV
  3. K

    Kituko gani unakumbuka siku ya kwanza kusex?

    Naamin mpo good wadau, Leo nlikua kijiwen na wajuba tunapiga piga story ya mambo za Hamza, mara story zikahama mpaka kwenye minyaduano maana kuna dada bonge bonge alipita kijiweni akaharibu kilinge baada ya jamaa mmoja kusema unaeza muona na minyama hivo halafu ukafika 6x6 ukakuta hakuna kitu...
  4. Mohamed Said

    Namkumbuka Rashid Kheri Baghdelleh, rafiki wa Baba yangu

    NAMKUMBUKA RASHID KHERI BAGHDELLEH RAFIKI WA BABA YANGU Anza kwa kuangalia picha hapo chini. Baba Said Salum, Babu Salum Abdallah na juu ni Kheri Rashid Baghdelleh. Baba na Baghdelleh wakifahamiana toka udogo wao Dar es Salaam ile ya 1950s. Baghdelleh baada ya uhuru akawa Regional...
  5. Mohamed Said

    Kumbukumbu ya kifo cha Rais Benjamin William Mkapa

    TAAZIA YA DR. DAU KWA BENJAMIN WILLIAM MKAPA NA YALE MAKUBWA NA MAZITO AMBAYO HAKUYASEMA Hakuna kitu kinagusa fikra na linabaki akilini na kuhifadhika kwengineko kama neno lililoandikwa. Aliyesoma taazia ya Dr. Dau kwa rafiki yake Benjamin William Mkapa atakuwa ameona kanitaja kuwa mimi ndiye...
  6. spidernyoka

    Nakumbuka mwezi July nilimpoteza baba yangu

    Mwishoni mwa mwezi wa July nilifikwa na jambo kubwa katika maisha yangu. Ilikua ni kumpoteza mtu ambaye nilikuwa na kila sababu ya kuamka na kupambana ili aone matunda yangu siku moja. Mungu alimchukua mpendwa babangu na kuniacha nisijue thamani ya maisha kwa muda ule baada ya kukubali na kuona...
  7. minded tips

    Punguza misaada, watu hawana kumbukumbu

    Habari za majukumu wana mizengo bila shaka muwazima wa afya naomba kwenda kwenye mada moja kwa moja PUNGUZA MISAADA WATU HAWANA KUMBUKUMBU [emoji117]Watu wanapost sana huo msemo hapo bila kujua wanakosea san ipo hivi unapomsaidia mtu tarajia malipo kutoka kwa Mungu na sio kwa binadamu yeyote...
  8. J

    Hii ni Tanzania ya waswahili. Unaandaaje kumbukumbu ya Hayati Mkapa na kuiendesha kwa lugha ya Kiingereza?

    Nimesikiliza tangu mwanzo kumbukumbu ya Hayati Benjamin William Mkapa. Hii ni Tanzania ya waswahili. Unaandaaje kumbukumbu kama hii na kuiendesha kwa lugha ya kingereza? HAPANA. Waandaaji wa matukio kama haya kama wa leo UONGOZI INSTITUTE ni vema wakajua kila waandaacho ni kwa ajili ya...
  9. Komeo Lachuma

    Kumbukumbu: Waliomvamia Mbowe kumpiga na kilichotokea Kiuhalisia

    Sijui. Mimi huwa napenda kuyaangalia mambo kwa upeo wa tofauti kidogo. Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu...
  10. N

    Nani anastahili kujengewa sanamu ya kumbukumbu kati ya Mzee Nyerere na Magufuli?

    Nyerere aliongoza mapambano ya kudai Uhuru toka kwa wakoloni. Kama ingelikuwa ni ujenzi wa ghorofa nasi Uhuru ni sawa msingi (foundation) Alijenga umoja wa kitaifa. "Reli ya Tazara" "Mabwawa ya Kidatu na Mtera, nk." Marais wote waliofuata baada ya Hayati Nyerere walijenga nchi juu ya msingi...
  11. A

    Picha wanazipenda kuchukua Watalii kama kumbukumbu ya utalii wao Afrika

  12. Tango73

    Leo ni kumbukumbu ya Entebe raid july 4th 1976 jumamosi usiklu!

    Jumamosi ya leo siku kama ya leo mwaka 1976 Makomandoo wa kiisrael walishuka paple Uganda Entebe air port kuokoa ndugu zao. Makomandoo hao waliongozwa na kija a Jonathan Netanyahu akiwa na miaka 28 tu ( umri wa kwenda Disco), alijitoa mhanga kufa ili ndugu zake 126 waokolewe. Magaidi ya...
  13. chiembe

    Kwakuwa alituvusha salama kutoka Awamu ya Tano, nashauri daraja la Tanzanite liitwe Samia

    Ni shauri wangu Kwanza linavuka bahari, ni ishara ya kuvuka awamu moja kwenda nyingine, pili in ishara ya upatanisho kati ya upande mmoja na mwingine, kisiasa, kiuchumi, kijamii, anapatanisha nchi, anaunganisha kama daraja linavyounga pande mbili. Tanzanite ina asili ya huko ilikotoka, iwepo...
  14. Mwamuzi wa Tanzania

    Rais Samia Suluhu ajengewe mnara wa kumbukumbu

    Habarini, Kama katiba yetu inavyosema kuwa 'kila mtu anayo haki ya kutoa maoni yake kwa uhuru', Mimi pia nina maoni yangu. Pale posta kwenye mnara maarufu wa Askari ninashauri mnara wa Askari utolewe na uwekwe mnara wa Samia Suluhu (Rais wa Jamhuri ya Muungano). Maana wengi hatujui maana...
  15. comte

    Utunzaji wa kumbukumbu za viongozi ni utamaduni wa dunia nzima

  16. boniuso

    Nyakati ngumu huwa kwajiili ya kutufunza na nyakati za furaha ni kwaajili ya kumbukumbu nzuri za maana ya kuishi

    UKIBADILI NAMNA UNAVYO TAZAMA VITU NA VITU UNAVYOTAZAMA HUBADILIKA Kinachotokea sio tatizo ila tafsiri unayoweka juu yake ndio inaweza kuuwa tatizo Kikwazo chochote kinachotokea huwa kinakuja kuboresha sehemu ya maisha yetu Usitazame vikwazo kwa ubaya wake tazama vikwazo kwa mazuri yake...
  17. Ethan Cruz

    Kutunza memories mlizoshare

    Leo naja na huu uzi kwa gender zote but especialy wadada Kuna watu wanatunza meseji nyie,balaa..Hata Makumbusho ya taifa pale Posta haiko deep kama wao.....Anatunza meseji za tangu unamtongoza mpaka mmeachana...khaa!nimewavulia kofia..Especially wanawake,ur best at this...nooomaaa! Sasa...
  18. REJESHO HURU

    Tuweke kumbukumbu sawa kilichomtuliza Lulu ndio kitakachomtuliza Paula wa Kajala

    Watalamu wa mambo wanasema historian ni mwalimu mzuri sana, wahenga mlikuwa mnafuatilia masuala ya burudani mnakumbuka mtindo wa maisha wa Elizabeth Michael jina Lulu, kabla ajapata tatizo la tuhuma za kumuua mwigizaji Kanumba. Lulu alikuwa ashikiki binti scandal hazimuishi bata club yeye...
  19. M

    Napendekeza siku ya kumbukumbu ya Hayati Jemedari Dkt. Magufuli iadhimishwe sambamba na mashujaa hawa wa kizalendo nchini

    Kama kuna Maamuzi ambayo Generalist Mimi nitayafurahia na nitazidi Kumpenda (Kumkubali) Rais wangu Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan, Serikali yake na Chama chake (changu) cha CCM ni kama akiliamua hili lifuatalo. Kwamba tarehe ya Kumbukumbu (Kumbukizi) ya Kifo cha Rais Hayati Dkt. Magufuli...
  20. Naanto Mushi

    Tuweke kumbukumbu zetu sawa, huu ndo uchumi wa Magufuli aliouacha, all facts! - Sehemu ya kwanza

    Habarini wakuu… Wakati bado tukiwa kwenye maombolezo, nimeona ni vema nifanye utafiti kidogo wa kumulika uchumi wa Hayati Magufuli, ili tuweke record zetu sawa, maana huku mtaani na kwenye vyombo vya habari kumekuwa na upotoshaji mkubwa sana. Japo mimi sijawahi kuwa mshabiki wa Hayati...
Back
Top Bottom