Kuna watu wakienda sokoni wanajikuta wananunua bidhaa nyingine (nyingi) ambazo hawakupanga kununua, hayo ni matumizi mabaya ya pesa. Zifuatazo ni kanuni kuu mbili za kwenda kununua bidhaa sokoni.
(1). IFAHAMU VIZURI BIDHAA UNAYOKWENDA KUNUNUA SOKONI:
Usiende sokoni kichwa kichwa, utapigwa...