Ninawasalimieni.
Ninatafuta nyumba ya kupanga Dodoma Mjini, sifa ni hizi zifuatazo:
1. Bajeti 250,000/= mpaka 300,000/=
2. Muda wa kulipa ni miezi mitatu au chini yake.
3. Mahali-:Area A, Area C, Area D, Makole, Meriwa.
Yuke yuko na access na hiyo kitu, karibu inbox!