Kigaila kawanyima baadhi ya wajumbe
vitambulisho makao makuu, Mikocheni.
Amewaambia warudi kesho asubuhi.
Wengi ya walio nyimwa vitambulisho ni
kutoka maeneo yaliyo onyesha upande.
Kigaila anaendelea kufanya uhuni ule ule
alioufunya kwenye chaguzi za chini. John,
ACT, ASAP.
Toa vitambulisho...
Wakuu imani ya Bwana ikawe juu yenu , kila mmoja kwa imani.
Nimeota mchezo mchafu katika uchaguzi wa ndani wa CHADEMAwa uchaguzi wa Mwenyekiti.
Nimeona katika ndoto kundi moja kutoka upande wa giza ukishirikiana na upande mmoja wa nuru kufanya mchezo mchafu, nimeona shilingi na noti za zamani...
Waziri Mkuu wa Ufaransa Michel Barnier ambae yupo njiani kurejea Ufaransa kutoka katika ziara nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na Bunge la nchi hiyo na hivyo kuipundua serikali yake.
Vyama vya upinzani nchini Ufaransa vikiongozwa na Maria Le Pen muda huu...
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa tumeshuhudia utekaji, mauaji na mateso mbalimbali kwa wananchi.
Kama haya ni huu uchaguzi mdogo kabisa. Je nini kitatokea kwenye Uchaguzi Mkuu ambao mi wa Kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.
Mimi naapa Sitajiandikisha wala kupiga kura kwani hawa watu tayari...
Wakuu Nina Demu Mmoja Mwalimu ni mchepuko wangu wa miaka na miaka.
Demu huyu mwaka 2020, alikua msimamizi wa uchaguzi sehem Fulani Kituo Fulan.
Kwan so mnajua Mashine ikikolea? Mwanamke hutoa Siri?.
Sasa nawarudisha nyuma ya Mwaka 2020, na yaloendelea Serikali za mtaa, na yakayoendelea 2025...
Wakuu,
Huko Misungwi mkoani Mwanza Mawakala wa Uchaguzi wapongeza zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Soma pia: Matokeo ya Uchaguzi Mwanza yaanza kutangazwa, CCM yaongoza maeneo mengi ikifuatiwa na CHADEMA
Ina maana kuwa hawa mawakala hawakuona changamoto zilizojitokea...
ARUSHA: UMATI wa wananchi bado uko kwenye foleni ndefu katika kituo cha kupiga kura cha Polling Station kilichopo katika kijiji cha Manyire kata ya Mringarini wilayani Arumeru mkoani Arusha.
Mmoja wa wananchi wa kijiji hicho aliyejitambulisha kwa jina la Alex Kimaro amesema kwa hali ilivyo...
Nilifika asubuhi kituo nilichojiandikisha kupiga kura nikakuta orodha ya majina yamebandikwa nje kwenye kuta nikatafuta jina langu nikaliona
Baada ya hapo nikaingia kupiga kura msimamizi wa uchaguzi akaangalia jina langu kwenye orodha ya daftari lake akalitiki bila hata kupata uthibitisho kama...
Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, January Makamba ameshiriki kupiga kura ya kuchagua Viongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, Vitongoji na Vijiji katika kituo cha Kwevizelu Kata ya Mahezangulu Mkoani Tanga leo Novemba 27,2024.
PIA SOMA
- LGE2024 - January Makamba: CCM tunajivunia na sera...
Waziri wa Maji na Mbunge wa Jimbo la Pangani Mhe Jumaa Aweso akipiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa katika kijiji chake cha Sakura kwaKibuyu Kata ya Kipumbwi jimboni Pangani Mkoa wa Tanga.
Leo Novemba 27,2024 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas akiwa ameongozana Mkewe Bi.Riziki kwa pamoja wameungana na Watazania Wengine kushiriki katika zoezi la kupiga kura za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika kituo Ofisi ya Kata Namba Moja kilichopo Mtaa wa Mahenge Manispaa ya Songea ...
Makamu mwenyekiti wa Act Wazalendo Tanzania Bara Isihaka Mchinjia leo Novemba 27, 2024 ameshiriki katika zoezi la upigaji kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji, kwenye kituo cha Shule ya Msingi Likotwa, Manispaa ya lindi, Novemba 27, 2024.
Akizungumza baada ya kupiga...
HABARI: Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mkoani Lindi Mama Salma Rashid kikwete amewaongoza wananchi wa Jimbo hilo kushiriki zoezi la upigaji wa Kura kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa, vijiji na vitongoji.
Mama Salma ameshiriki zoezi hilo Katika kituo cha kupiga Kura cha Makasini kijiji cha Ruvu...
Mpiga kura Mtaa wa Mwatulole katika kituo cha kupigia kura Mwatulole Center ambaye awali alilalamika kutoona jina lake, hatimaye amekiri mbele ya msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Geita Mjini, Yefred Mnyenzi kuwa jina lake limeonekana na ametimiza haki yake.
baada
daftari la wapiga kura
geita
hatimaye
jina
kuelekea 2025
kupigakurakura
lge 2024
mkali
msimamizi
msimamizi wa uchaguzi
mtifuano
mvutano
tamisemi kusimamia uchaguzi
uchaguzi
uchaguzi serikali za mitaa 2024
uchaguzi wa serikali za mitaa
wapiga kura
Nakumbuka mwaka 2020 nilipoenda kupiga kura nilishangaa yafuatayo.
1. Mpinzani niliyempigia kura hakupata kura hata moja.
2. Baada ya siku kama nne hivi nilionana na rafiki yangu ambaye naye alikua wakala kwenye moja ya vituo (sio nilichopigiankura) alichoniambia ni kuwa kwanza walikula kiapo...
MWENYEKITI WA CCM SIMIYU AHAMASISHA WANANCHI KUPIGA KURA.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohamed, ameendelea kuhamasisha wananchi wa mkoa huo kujitokeza kwa wingi leo kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mara baada ya kupiga kura katika kituo cha...
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Jaffar Haniu amepiga kura leo Novemba 27, 2024 katika Kituo cha Shule ya Msingi Madaraka ikiwa ni haki yake Kikatiba Kumchagua Mwenyekiti wa Kitongoji katika Mamlaka ya Mji Mdogo Tukuyu.
Jumla ya Wakazi 147,118 wanatarajia kupiga kura katika Vituo 529 ndani ya Vijiji...
Maoni ya wakazi wa Kata ya Levolosi, Arusha kuhusu zoezi la kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa unaofanyika leo Novemba 27, 2024.
TBC imeshuhudia zoezi hilo la upigaji kura likiendelea katika mazingira ya amani na utulivu.
Baadhi ya wananchi waliopiga kura wameonyesha...
arusha
kuchagua
kuchagua viongozi
kuhusu
kupigakupigakurakura
maoni
maoni ya wananchi
mitaa
serikali
serikali za mitaa
viongozi
viongozi wa serikali
wananchi
zoezi
Wakuu,
Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary anawahamasisha wananchi kujitokeza kwenda kupiga kura kuchagua viongozi wanaowahitaji.
Bi Zuwena ametoa wito huo leo Novemba 27, 2024 mara baada ya kupiga kura kuchagua viongozi wa serikali za mitaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.