kupiga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha kuimba, kupiga piano, au kupiga gitaa? Ikiwa ndiyo, tuna furaha kukualika ujiunge nasi katika kuendeleza kipaji

    Habari rafiki! Je, wewe ni kijana mwenye kipaji cha kuimba, kupiga piano, au kupiga gitaa? Ikiwa ndiyo, tuna furaha kukualika ujiunge nasi katika safari ya kuendeleza kipaji chako! Tunayo akaunti ya TikTok inayoitwa B&G Entertainment ambayo inakusudia kuwawezesha vijana wenye vipaji mbalimbali...
  2. Msitari wa pambizo

    Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

    Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo. Hivi mama...
  3. LA7

    Wanajeshi kupiga watu mtaani inakuwaje?

    Haya matukio ya raia kupigwa na wanajeshi mtaani hutokea pale ambapo mwanajeshi mwenzao kafanyiwa kitendo kibaya na watu wasiojulikana hasa labda imetakea mwenzao kaibiwa, kaumizwa, kauliwa, nk. Nimewahi shuhudia matukio haya ambayo yaliwafanya watu kuishi kama wakimbizi maeneo ya Dar Kigamboni...
  4. G

    Nitakufundisha kupiga na kuedit picha

    Habari, Watu kadhaa wanapenda kuanza kazi ya kupiga picha, au wengine ndio wanaanza. Kuwa na ujuzi ni jambo zuri linaloweza kukusaidia iwe unataka picha za binafsi au mpiga picha kibiashara. Basi kama unahitaji kujifunza skills kadhaa unaweza wasiliana na mimi tusaidiane. Na tunaweza...
  5. Agrey998

    Ma dj wanazingua kupiga nyimbo za dini kwenye disco na night clubs

    Nimekuwa Muhudhuriaji wa Night clubs mbalimbali hapa kwenye jiji la makala Na Jiji moja kule kaskazini mwa Tanzania. Imeibuka Tabia ya Madj wetu wanaoburudisha mioyo yetu kupiga nyimbo za Dini katika night clubs hizo na zinagusa imani za wengi mule na zikipigwa huwa narudi kukaa naendelea...
  6. Pang Fung Mi

    Wanaume wenzangu msitafute laana acheni mchezo wa kutumia ulimi kuupiga deki uke

    Asalaam alaikum? Nitoe hadhari ya kipekee kwa wanaume, kumekuwa na hamasa za vibwagizo vya kupiga deki uke wakati wa game za minyanduano, hata kutoka kwa baadhi ya watu wenye heshima kama mashekhe, na wachungaji. Imani yangu hawa watu hasa viongozi wa dini nahisi ni feki kabisa. Nitoe rai...
  7. Unknown philosopher

    Kwanini wapenzi hurekodi video au kupiga picha za utupu kisha wakiachana huzivujisha?

    Habari wana jamii. Huwa nashindwa kuelewa kwanini unakubali kupigwa picha za utupu na mpenzi wako wakati wa kufanya ngono. Je, hufikirii kuwa mkiachana yaweza kuwa kama ndo fimbo ya kukuchapia pindi akizivujisha? Tubadlikeni jamani tusiige ulimbukeni
  8. BARD AI

    Kocha asimamishwa kazi baada ya kulazimisha wanafunzi kupiga Push-ups 400

    Kocha wa shule ya upili ya Texas amepewa likizo ya utawala baada ya kuwataka wanafunzi wa riadha kupiga Push Ups 400 ambapo baadhi yao walitakiwa kupata matibabu na kulazwa Hospitali. Kocha wa Rockwall-Heath, John Harrell. anashutumiwa kwa kuongoza darasa la riadha Januari 6 ambapo...
  9. BARD AI

    Kupiga Honi ovyo au maeneo ya Shule, Mahakamani na Hospitali ni kosa kisheria

    Dereva anatakiwa kutumia honi tu iwapo ni lazima katika kuwaonya watumiaji wengine wa barabara au kuwajulisha kuwa kuna gari nyingie ipo karibu nao. Sheria ya Usalama Barabarani ya mwaka 1973 Kifungu cha 39 (3) Sura ya 168 inawakataza Madereva kutumia Honi katika #Kusalimia, Kuonesha hisia...
  10. Tajiri wa kusini

    Maisha ya kukopa kopa na kupiga mizinga watu ni ushamba!

    Yaani kuna watu wanakera sana yaani kuna watu maisha yao kutwa ni kukopa kopa ndiyo kukopa sikatai kuna vitu kukopa si ishu ila kuna kuna vitu vidogo vidogo navyo mnakopa? Eti pesa ya pombe unanikopa huo ni upumbavu na ujinga! Kumpeleka demu wako picnic nayo unakopa! Kwenda kupigwa miti nayo eti...
  11. MK254

    Romania kujihami na madubwana ya Marekani yenye uwezo wa kupiga meli za Urusi

    Mrusi keshasogelewa vya kutosha, tena anashikwa hadi kidevu, kwa sasa hawezi akajifanya kama ambaye anajikuna, haya mavitu yanawekezwa Romania yenye uwezo wa kusambaratisha meli zake huko huko katikati mwa bahari. Kwa sasa hana jeuri ya kusema chochote maana amedhihirisha alivyo dhaifu baada ya...
  12. LIKUD

    Suala la Q Chila na madhara ya kupiga ramli

    Alitoka kimuziki mwaka 2002 na wimbo wake " Ulinikataa". He was very big in the industry and he made a lot of money ( KWA viwango vya wakati huo) Then baada ya miaka kadhaa akapotea hewani. SABABU HALISI ILIYO FANYA Q CHILA AFE KISANII. 1. Alikuwa anatumia pesa zake vibaya bila mipango...
  13. Mama Edina

    Wanaume wengi wakifikia 40+ huanza Kupiga Moko tu

    Ndio maumbile Yao story na mashost saloon utasikia akipiz tu kule. Analala. Utasikia yaani ana 48 akifikisha 50 basi tena nitakuwa Sina mume mwenzenu
  14. BARD AI

    Serikali yasema imeanza kutathmini kuhusu Mahabusu, Wafungwa Kupiga Kura

    Siku chache baada ya Mahakama Kuu kutoa hukumu kuwa mahabusu na wafungwa wa vifungo vya kawaida wana haki ya kupiga kura kuwachagua viongozi, Serikali imesema inaifanya tathmini kuona kama kuna hatua zaidi inazoweza kuzichukua kuhusiana na hukumu hiyo. Kauli hiyo ya Serikali imetolewa na...
  15. Roga Roga

    Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba

    Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning...
  16. Sildenafil Citrate

    Wafungwa wa Tanzania sasa ruksa kupiga kura

    Mahakama Kuu nchini imesema kuwa wafungwa wa makosa ya kawaida ya jinai wana haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu. Mahakama hiyo imetamka haki hiyo baada ya kubatilisha kifungu cha 11(1) (c) cha Sheria ya Taifa Uchaguzi kinachoweka zuio kwa wafungwa wanaotumikia adhabu ya kunyongwa na...
  17. C

    Nilipokosa kupiga nae Picha mlinicheka Mitandaoni, mbona Jana nimepiga nae White House na hamnipongezi?

    Mkijua Kudhihaki mjue pia na Kupongeza. Na hakuishia tu Kupiga Picha nami bali hata ile Dola Milioni 55 tuliyohaidiwa Ngozi Ngumu (Bara la Afrika) kwa anavyoipenda Tanzania Nusu yake tutapewa Sisi na Mimi kwakuwa nimeshawajua mlivyo Wanafiki wala sizileti Kwenu (siwapi) na naziweka Kibindoni ili...
  18. Suley2019

    Nani anatakiwa kupiga goti hapa?

    Salaam Wakuu, Nimekutana na hii clip hapa chini. Je nani anapaswa kupiga goti kati ya mwanaume na mwanamke wanapovalishana pete? Binafsi naona ni tamaduni za watu tu hizi vyoyote ni sawa. Tazama clip hizi hapa chini.
  19. Gorgeous96

    Kupiga magoti harusini!

    Ni sahihi mwanamke kutambaa kwa magoti wakati wa kupeleka keki kwa wakwe? Kwa mlio wahi kupiga magoti ukumbini au kushuhudia mna maoni gani kwenye swala hili?
  20. NetMaster

    2025 nimekataza mtu yeyote nyumbani kwangu kwenda kupiga kura, Ni kupoteza muda tu, Pongezi kwenu CCM mmejua kutukatisha matumaini ya kupiga kura.

    Yes, 2025 mimi mkuu wa kaya, mke wangu na house girl ambao ndio watu wazima kwenye nyumba hii nimepiga marufuku kwenda kupiga kura, kama ataongezeka mwengine awe tayari kuyakubali haya masharti. Kipindi pekee ambacho nilipiga kura walau kwa matumaini hasa katika nafasi za wabunge na madiwani ni...
Back
Top Bottom