kura za maoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Mrisho Mashaka Gambo atachaguliwa na wanachama wa CCM kwenye kura za maoni na sio madiwani wapiga dili

    Mimi nafuatilia sana Siasa za Jimbo la Arusha Mjini, Jana nimemsikiliza sana diwani mmoja akimuomba radhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha akijifanya analilia kama mtoto wa kike aliyenyimwa Kodi ya pango na bwana wake akidai kuwa Gambo amekuwa mtu wa mizozo na migogoro na madiwani wenzake. Eti amemuomba...
  2. Kabende Msakila

    Kufanya kura za maoni mtandaoni kwa kulinganisha wanaosemwa kugombea URAIS nchini Tanzania ni makosa?

    Team; Salaam! Sheria ya mitandao ya kijamii na Sheria zingine zinasemaje kuhusu kura za maoni kwa wamaotajwa kugombea URAIS mwaka 2025? Kama itakuwa kitu kinachoruhusiwa kufanyika basi ningeomba Hashim Rungwe Spunda; Zitto Zuberi Kabwe Tundu Antipas Lissu Dkt Samia Suluhu Hassan Ibrahim...
  3. W

    Pre GE2025 Wabunge hawa wa CCM wajipange kisaikolojia, hata washinde kura za maoni watakatwa kupisha wengine

    1. LUHAGA MPINA - huyu hata ashinde kura za maoni, ATAENGULIWA 2. NDUNGAI - Mzee hatoboi kura za maoni, ishu inamalizika chini kwa chini 3. GAMBO - apambane sana Soma Pia: Ushindani utakuwa ni mkali ndani ya CCM katika kumtafuta wa kupeperusha bendera ya Chama. Wengine hawatarejea Bungeni
  4. Bezecky

    KURA: Je, ni nani kati ya Freeman Mbowe na Tundu Lissu anayefaa zaidi kuiongoza CHADEMA kwa Sasa?

    FREEMAN MBOWE-MTIA NIA •••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• TUNDU AM LISSU-MTIA NIA •••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••• Tanzania ni yetu sote!! Habari kuu ndani ya CHADEMA ni mchuano mkali wa kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA baina ya Mwenyekiti anayemaliza muda...
  5. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Kwa uhasama uliopo ndani ya CHADEMA, ni wazi kura za maoni na uteuzi wa mgombea Urais wao 2025 zitawasambaratisha kabisa

    Uadui na uhasama unaoendelea ndani ya CHADEMA hasa miongoni mwa viongozi waandamizi wa chama hicho, ni hatari kwa afya na uhai wa wanaopigana vita ya maneno na chama chenyewe kwa ujumla. Ukiwafuatilia vizuri, utangundua ni kama wanaviziana na kutegeana tu kwamba who is to break the line first...
  6. Cute Wife

    LGE2024 Mbeya: TAMISEMI yapongezwa kusimamia vizuri kura za maoni Uchaguzi Serikali za Mitaa, wasema wana imani na sheria na kanuni zilizowekwa

    Wakuu, Kazi kweliweli, huku Nchimbi anawaambia TAMISEMI walegeze kamba Demokrasia yetu bado changa, huku wanasema kila kitu kipo byeeee! Tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini :BearLaugh: :BearLaugh: :BearLaugh: ===== Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za...
  7. MENEMENE TEKERI NA PERESI

    Rafiki yangu kaninunia kisa jina lake limekatwa kwenye kura za maoni

    Salamu sio Sasa labda badae. Ndugu nasikitika Sana na Sasa nahitaji ushauri maana nipo katika mtanziko wa huzuni na kutia huruma baada ya kunununiwa na rafiki yangu wa hapa kijijini. Ifahamike kuwa ili wananchi wakuchague kuwa mwenyekiti hasa huku vijijini basi uwe na vihela hela vya hapa na...
  8. The Sheriff

    LGE2024 Abbas Mtemvu: Wana-CCM ambao hawajateuliwa kura za maoni watulie na kuongeza nguvu kazi kwenye uchaguzi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam Abas Mtemvu amewataka wanachama wa CCM wasioteuliwa katika kura za maoni kutulia na kuongeza nguvu kazi kwenye uchaguzi. Mwenyekiti Mtemvu ameyasema hayo katika ziara ya Mlezi wa Chama Cha Mapinduzi na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo...
  9. Chachu Ombara

    Pre GE2025 Amos Makalla: WanaCCM watakaokatwa licha ya kushinda kura za maoni wakae kimya, wakati wao utafika

    KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, amewataka wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi kuwa na subira. Amesema watakaokatwa licha ya kushinda kura za maoni, wasiseme neno, badala yake wawe na uvumilivu kwa kuwa muda wao utafika, huku akiwatakia heri...
  10. Chachu Ombara

    LGE2024 Amos Makalla: CHADEMA hawakuwa na kura za maoni kupata wagombea uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Ndugu Amos Makalla amesema stori zote mtandaoni wakati wa kura za maoni zilikuwa zinahusu CCM kuendesha mchakato huo katika kuwapata wawakilishi wa chama hicho katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ameongeza kuwa kuna vyama vinajiita vya Demokrasia lakini vimeshindwa kuwapata wagombea wao kwa...
  11. JanguKamaJangu

    LGE2024 Wanachama wa CCM Dar waandamana Ofisi ya Mkoa wakidai kuna Rushwa na wizi wa Kura katika Kura za Maoni

    Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dar es Salaam wamendamana wakiwa na mabango katika ofisi za makao makuu ya chama kwa kile wanachodai kuwepo kwa wizi wa kura na rushwa katika uchaguzi wa kura za maoni. Wanachama hao kutoka Chanika, Buguruni, Tandika, na...
  12. JanguKamaJangu

    LGE2024 Makada wa CCM wajitupa chini watoa shutuma kwa wanaokata majina katika kura za maoni Arusha

    Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Longdon kata ya Sokoni One Jijini Arusha, wamedai kuwa hawatashiriki uchaguzi wa kumchagua mwenyekiti wa eneo hilo kutokana na aliyeongoza kupata kura za maoni 189 jina lake limekatwa na aliyepata kura 36 jina kurejeshwa kama...
  13. Torra Siabba

    LGE2024 Wakazi Isawima Tabora wataka kura za Maoni Zirudiwe

    EBigambo Byaba Bingi Muno hahaaaa Masenior wenzangu, Nilikua kwenye pita pita zangu hapa Kaliua Eneo maarufu kama Isawima nikakutana na Malalamiko ya wananchi ambao wanalalamikia wanafunzi kuchukuliwa na kisha kupigishwa kura kwenye kura za maoni zilizofanyika Octoba 24 Mwaka huu. Hali...
  14. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Tandale; Wanachama wa CCM wanadai waliomchagua kwa kura nyingi ajashinda lakini mwenye kura 17 ameshinda

    Jamani Moto unazidi kuwaka kutoka kwenye mitaa katika kura za maoni ndani ya CCM. Balaa nyingine wanachama wanadai walimpigia kura za ndiyo ety amekosa nafasi lakini mwenye kura zake 17 ameshinda. Mbona hapa bado tutayaona mengi jamani. Wakazi wa Tandale jijini Dar es Salaam 'wamechachuka'...
  15. JanguKamaJangu

    LGE2024 Kura za maoni zazua 'mtiti' Unga Limited – Arusha, wengine watishia kutompa kura kada wao wa CCM

    Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Viwandani kata ya Unga Limited Jijini Arusha, wametishia kutompa kura za ndio mgombea wa uenyekiti wa mtaa huo kupitia chama hicho endapo aliyeshinda kura za maoni hatawekwa kama mgombea katika nafasi hiyo. Wanachamama hao...
  16. mdukuzi

    Kura za maoni CCM,mgombea aambulia kura moja,ana mke na watoto waliopiga kura kijijini kwake

    Huko Babati kuna mgombea wa nafasi ya mwenyekiti wa kijiji,ameambulia kura moja kijijini kwake. Cha ajabu ana mke na watoto kadhaa hapo kijijini Kaibiwa kura? Familia imemtosa? Mimi na wewe hatujui Soma Pia: Dar: Vurugu wakati wa kupiga kura maoni kata ya Yombo Vituka
  17. The Watchman

    LGE2024 Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea

    Vurugu zimezuka kura za maoni Uchaguzi wa kumpata mgombea atakaekwenda kupeperusha bendera Serikali za mitaa Chama cha Mapinduzi mtaa wa Mwanga mkoani Kigoma mara baada ya wananchi kutoridhika na mchakato wa uchaguzi huo.Wajumbe hao wamalalamikia wizi wa kura uliofanywa na baadhi ya viongozi...
  18. Mkalukungone mwamba

    LGE2024 Yaliojiri upigaji wa kura za maoni ndani ya CCM Mitaa ya kata ya Msigani Ockoba 23, 2024

    Kata ya Msigani inapatikana Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam, Kata hii inajumla ya Mitaa mitano ambayo ni Mtaa wa Msigani, Mtaa wa Temboni, Mtaa wa Malamba Mawili, Mtaa wa Msingwa na Mtaa wa Kwa Yusufu. Aidha kwa mwaka huu kumekuwa na muhamko mkubwa sana kwa wanachama wa CCM katika Kata...
  19. The Watchman

    LGE2024 Tanga: CCM waanza kupiga kura za maoni kwa wagombea kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa

    Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mary Chatanda ni mmoja kati ya washiriki katika zoezi la kupiga kura za maoni kuchagua wawakilishi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Wanachama wa CCM nchi nzima wanaendelea kutumia haki yao ya kupiga...
  20. JanguKamaJangu

    LGE2024 Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani

    Hali ya sintofahamu imeibuka katika kitongoji cha kwa Kibosha, kata ya Mapinga wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, baada ya zoezi la kupiga kura za maoni, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuahirishwa kutokana na baadhi ya wanachama kudai uwepo wa mapungufu katika uchaguzi huo na kusababisha vurugu...
Back
Top Bottom