kusini

Countdown at Kusini (also known as Cool Red) is a 1976 American-Nigerian action/drama film written by Howard Friedlander and Ed Spielman, and directed by Ossie Davis.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Rais Sudan Kusini aunda jeshi linalojumuisha pande hasimu

    Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kuundwa kwa uongozi wa jeshi lililoungana, ikitekeleza kipengele muhimu cha makubaliano ya amani ya mwaka 2018 ambayo wafuatiliaji wanatumai yataisaidia nchi hiyo kupata afueni baada ya miaka kadhaa ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Taifa hilo changa duniani...
  2. Lady Whistledown

    Afrika Kusini: Kesi ya ufisadi ya Zuma yaahirishwa

    Kesi ya ufisadi nchini Afrika Kusini inayomkabili Rais wa zamani Jacob Zuma imeahirishwa tena kusubiri matokeo ya rufaa ya kiongozi huyo wa zamani ya kutaka mwendesha mashtaka wa serikali aondolewe kwenye kesi hiyo. Zuma hakuwepo katika Mahakama Kuu ya Pietermaritzburg kutokana na "dharura ya...
  3. Shark

    Barbara Gonzalez: Benard Morrison Haingii Afrika Kusini

    Mkurugenzi Mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez amethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji wa klabu hiyo Bernard Morrison hawezi kuingia ndani ya ardhi ya Afrika Kusini kutokana na kuwa na kizuizi cha kuingia nchini humo. Morrison kabla ya kujiunga na klabu za Yanga na Simba alishawahi kufanya kazi...
  4. Huihui2

    Ujumbe kwa Rais Samia: Tembelea Nyanda za Juu Kusini, Utakuja Kunishukuru

    T
  5. L

    Watu wa Sudan Kusini watarajia kikundi cha madaktari wa China kirudi tena

    kikundi cha tisa cha madaktari wa China nchini Sudan Kusini jana ilikamilisha majukumu yake ya kimatibabu katika jimbo la Lakes kwa siku tano, na kurudi katika mji mkuu Juba. Wakazi wa jimbo hilo wanatarajia kuwa madaktari wa China watarudi tena. Shughuli hiyo ya matibabu ilifanyika katika...
  6. init

    Rais Samia karibu Kusini mwa Tanzania

    Imekuwa muda mrefu sana, Watanzania waishio Kusini mwa Tanzania pia wanatamani uwatembelee hata kama utakwenda mikono mitupu. Hakuna makuu kule, 2025 si mbali.
  7. Kabende Msakila

    Askofu Niwemugizi ni kama Desmond Tutu wa Afrika ya Kusini

    Jfteam Taifa tuna hazina kubwa ya watu wanaofaa kuwa washauri wa viongozi wakuu. Katika taifa letu namlinganisha Askofu Niwemugizi wa Ngara - Tanzania na hayati Archbishop Desmond Tutu wa Africa ya Kusini. Ni watu wasiojua kula maneno, kujikomba wala kujipendekeza. Mara zote huongea hisia za...
  8. MK254

    Barabara zilizopewa majina ya miji ya Kenya kule Afrika Kusini

    Kenya and South Africa have, for the longest time enjoyed a cordial relationship, from the time before the latter attained independence to date. As such, South Africa has become the destination of choice for many Kenyans looking for greener pastures. From those searching for further education...
  9. Idugunde

    Mpasuko mkubwa CHADEMA Mbeya mjini, Msigwa avunja uongozi huku walioondolewa wakimpinga. Ni mparaganyiko mkuu

    Mpasuko mkubwa umeukumba uongozi wa Chadema Mbeya mjini na hii ni dalili kuwa hawako kwenye good terms. Sijui lini watafika mbali =========== Mchungaji Msigwa: Tumeuvunja uongozi wa jimbo la Mbeya mjini na tunawapa mkoa siku tatu kwa mujibu wa katiba kama nilivyosema kuunda timu(Task force)...
  10. beth

    #COVID19 Korea Kusini yarekodi maambukizi zaidi ya 13,000 kwa mara ya kwanza

    Korea Kusini imerekodi maambukizi zaidi ya 13,000 kwa mara ya kwanza, huku Mamlaka zikionya Kirusi cha Corona aina ya Omicron kinaweza kuchangia hadi 90% ya maambukizi mapya katika wiki zijazo. Visa 13,102 vimerekodiwa siku moja baada ya maambukizi mapya 8,000 kuripotiwa, na Serikali imesema...
  11. Suley2019

    Ajificha kwenye tairi la ndege kutoka Afrika Kusini mpaka Uholanzi

    Polisi wa kijeshi nchini Uholanzi leo wameshangazwa kumkuta mtu aliyekuwa amejificha chini ya ndege kwenye eneo la tairi la mbele kuwa yuko salama. Ndege hiyo ilisafiri kwa saa 11 kutokea Afrika mpaka Ulaya. Ndege hiyo ya mizigo ilitokea Afrika Kusini na kutua Kenya kwa muda mfupi kabla ya...
  12. The Sunk Cost Fallacy

    Awamu ya Sita inaendeleza tabia ya kuitenga mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Kusini

    Salamu kwenu. Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu. Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar. Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna...
  13. Suley2019

    #COVID19 Afrika Kusini: Simba wadaiwa kuambukizwa covid-19

    Simba na Puma katika mbuga ya kuhifadhia wanyamaporinchini Afrika Kusini huenda wameambukizwa virusi vya corona kutoka kwa wamiliki wao, kulingana na utafiti uliofanywa na wanasayansi katika chuo Kikuu cha Pretoria. Wanasayansi hao wameonya kuhusu hatari ya kirusi kipya kutokea iwapo virusi...
  14. MK254

    China yaanza kujadali mikakati ya reli ya SGR kuunga hadi Rwanda, DRC, Uganda na Sudan Kusini

    Mataifa yote hayo kuunga kwenye reli moja kutokea Mombasa, mazungumzo yameanza na mikakati kupangwa...... Nairobi. China is proposing a grand infrastructure plan for the Horn of Africa that would involve expanding the two major railroads and developing ports on the Red Sea and the Indian Ocean...
  15. MK254

    Eneo la Gulu tayari, kitovu cha biashara na usafiri kinachounganisha Kenya, Sudan Kusini, Uganda na DRC

    Miundo mbinu imeboreshwa, hamna haja ya kupitia Kampala tena, kipande cha reli cha Tororo kitaharakisha usafiri kutokea mpakani mwa Kenya.... More than a decade ago, Gulu was a no-go area, thanks to the Joseph Kony-led Lord’s Resistance Army rebels, who were fighting the government then. Fast...
  16. Kibosho1

    Sababu zinazochangia mikoa ya kusini kudumaa kimaendeleo ni hizi

    Hapa nazungumzia mikoa ya Lindi Mtwara na Ruvuma Kwanza kabisa watu hawa wana utamaduni tofauti na wa mikoa mingine. Ni mikoa yenye wakosoaji wachache sana nchini,ni mikoa yenye maendeleo duni sana,ni mikoa ya mwisho mwisho kabisa. Huwezi kusikia mbunge fulani au mwanaharakati hata wa...
  17. A

    Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

    Tokea Uhuru hakuma mradi wowote wa maendeleo ulioanzia mikoa ya kusini mwa tz . Kusini imekuwa nyuma na ya mwisho kufikirika ktk kila mradi. Miaka 25 - 30 iliyopita serikali ilijinadi kuwa hauna uwezo was kupoleka maendeleo kwa kila mkoa kwa wakati Mmoja. Na kwakua ilikuwa ndio miaka 30 tokea...
  18. MK254

    Kenya yazindua eneo la kupaki meli, ambalo ndio eneo kubwa kuzidi yote Kusini mwa jangwa la Sahara, tumewazidi hata SA

    Inawezekana isiwe rahisi kumeza, ila ndio ukwel wenyewe................. Kenya has unveiled a modern shipyard at the Mtongwe Navy base in Mombasa, making her the first country in sub-Saharan Africa with such a facility. Kenya Shipyards Ltd (KSL) has the capacity to handle vessels of more than...
  19. beth

    #COVID19 Hospitali Nchini Afrika Kusini zaandaliwa kupokea wagonjwa zaidi

    Rais Cyril Ramaphosa anasema Hospitali Nchini humo zinaandaliwa kulaza wagonjwa zaidi hospitalini, wakati Kirusi cha Omicron kikiendelea kuenea na kupelekea Wimbi la Nne Rais Ramaphosa anasema idadi ya maambukizi ya siku imeongezeka mara tano zaidi ya wiki iliyopita. Amewataka Wananchi kupata...
  20. Mr Dudumizi

    Opportunity ya kazi kwa wabongo wanaoishi Afrika Kusini

    Habari zenu ndugu zangu, ama baada ya salam ningependa kujielekeza kwenye mada husika. Mimi ni mbongo ninaeishi hapa Afrika Kusini, kuna salon nimefungua, so nahitaji vinyozi watatu wenye sifa tatu. 1) sifa ya kwanza kinyozi awe na uzoefu wa kutosha wa kazi hii, na awe anajua kunyoa style...
Back
Top Bottom