Ni nchi yenye uajabu wake!
Ni nchi yenye rsilimali zake nyingi, ila huwa hazitoi faida kwa wananchi!
Utasikia kiongozi akisema, hiki na kile, kimetutia hasara ya mabilioni kadhaa, tuwape wageni wakiendeshe!
Cha ajabu... hata hao wageni wakipewa! Nao hawaingizi faida! Kama sio ujasiri wa mtu...