Nimeuvaa uhalisia nikiwa kama mwanaume, siwezi kuwaongelea wanawake na ni kosa kubwa sana wanaume huwa tunaji mwanbafai tunapokadiria mwanamke anachotaka, anachofikiria, anachopenda, hisia zake, n.k. huwezi kuuvaa uhalisia wa mwanamke wakati wewe ni mwanaume.
Kwangu mimi nikikijua kwamba...
Elimu ya Tanzania haichangii chochote kwenye global science and technology kwasababu inahabiribiwa na mwingiliano wa lugha baada ya miaka 7 kuanzia kidato cha kwanza.
Hapo juu ni mada:
Karibuni tujadili kiundani:
Mimi nitatoa highlights zangu chache hapa:
Kuanzia kidato cha kwanza wanafunzi...
Niliondolewa Ofisini kinyume na taratibu kwa sababu nilikuwa nasimamia na kufanya kazi kwa kufuata taratibu na miongozo ya kazi na sio maelekezo ya mtu,kuna mahali viongozi wetu wanashindwa kusimamia wanachokiamini kwa hofu ya kuporwa V8, wanahofu kukosa riziki.
Hili suala la kuniita CAG...
Huwa nawambiaga watu mimi nikitaka kuanzisha biashara hiyo unayoifanya wewe (unaesoma hii post) hiyo biashara ambayo unaona hailipi haina faida eneo hilo hilo nina uwezo wakupata faida,si kwasababu nina uhakika wa wateja ila nimeshajua kwanini wateja hupati.
Unajua biashara inapoelekea kufa au...
Pesa ni muhimu aisee, pesa hainunui Kila kitu ila inakamilisha mambo mengi sana, ikose ujue namaanisha nini.
Nakumbuka kuna kipindi nlikuwa sina pesa nlikuwa nashindia kiazi utamu kilichochomwa, nashushia maji ya bombani, hicho kiazi ndio msosi wa siku nzima.
Nimewahi kukaa na chaja ya...
People being plunged into poverty during the COVID-19 pandemic has led to an increase in the killing of people with albinism, the outgoing UN appointed independent expert, Ms Ikponwosa Ero, said on Thursday.
Ero stated that people had been turning to witchcraft “because of the mistaken belief...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.