Nahitaji kuifanya Tv yangu iwe kama youtube au Netflix lakini niweze kustream video kutoka kwenye laptop yangu bila bando. Laptop nitakuwa naiacha chumbani, niweze kuchagua video moja kwa moja kwenye TV bila kugusa laptop.
Nimechoka kudownload videos kwenye pc kisha niiingieze kwenye flash...
OFFER OFFER 🌙
Hp 840 g3 core i7
Ram 8gb
Ssd 256gb
Super clean condition
Battery 4 hours
Windows 10
Basic programs installed
💎good for games
💎high speed in internet
💎for study and other task
💎engineers hii inawafaa
💎wanachuo hii ni Safi
Price: 450,000/=tsh
Call/whatsapp
0695472265
Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki
Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari
Mikoani natuma kwa uaminifu Sana
Whatsup 0764225747
Kwa Mungu yote yanawezekana
Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000
Habari wanajukwaa
Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo
Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C#
Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop
Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office
HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio...
Ningependa kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu laptop ambazo zilitolewa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne na cha sita. Ingawa mpango huu unalenga kusaidia wanafunzi katika kujifunza, ukweli ni kwamba laptop hizi zimekuwa na changamoto kubwa.
Hadi sasa, laptop yangu imeharibika licha ya...
Anonymous
Thread
changamoto
laptop
mapinduzi
mapinduzi ya zanzibar
serikali
serikali ya mapinduzi
zanzibar
Baada ya kuchapisha nyuzi kadhaa za kuomba ushauri na changamoto ninazo pitia kipindi hiki cha njaanuary, nmepokea maoni na sasa sina budi kuweka mnadani kifaa changu cha kazi niweze kutatua changamoto hizi naomba msaada wenu matajiri wa JF
-Hp Elitebook
-Ssd 256
-Ram 8
Graphics Processor: UHD...
Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb
bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2
ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000.
Nipo kimara Dar es Salaam
0782780980
Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb
bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2
ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000.
Nipo kimara Dar es Salaam
0782780980
Kama Kichwa kinavyojieleza hapo nataka kuagiza laptop Zanzibar au naweza kwenda mwenyewe nikabeba kwenye begi
Je Bei ya ushuru ipoje na kama mzigo nimeweka kwenye begi bado nitatozwa ushuru
Nawasalisha
Kama Upo Zanzibar/Pemba tafadhari karibu dm
Habari wataalamu.
Nina laptop yangu HP touch screen. Mwanzoni mpaka juzi nilikuwa naingia vizuri tu katika website mbalimbali. Cha kushangaza kuanzia juzi inakataa. Ila wifi inaunga vizuri tu.
Je nini tatizo? na Suluhisho?
Ahsante sana kwa msaada wenu.
Wakuu, kimfaacho mtu chake. Nina hali mbaya kiuchumi aisee, nimeamua kuuza laptop yangu aina ya lenovo
RAM 8 GB
Storage 256 GB
Bei ni 550,000/=maongezi kidogo yapo.
Kwa mwenye kuihitaji anicheck inbox tu tuyajenge.
Inatokea Tanesco wamekata umeme kwa siku 2
Nahitaji vitu gani mfano battery au power bank,n.k. niweze kukidhi mahitaji ya umeme kwa siku 2 kwa vifaa vidogo kama
Smart phone 4 zinazochajiwa mara 2 kwa siku, hutumia lisaa kujaa
Router 1 inayotakiwa iwe kwenye umeme muda wote
Laptop 1 ya Dell
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.