laptop

  1. R

    Operesheni tokomezeza flash disk na mawaya, Nawezaje kutazama video za kwenye computer kwenye Tv kwa kutumia wifi ( wireless )

    Nahitaji kuifanya Tv yangu iwe kama youtube au Netflix lakini niweze kustream video kutoka kwenye laptop yangu bila bando. Laptop nitakuwa naiacha chumbani, niweze kuchagua video moja kwa moja kwenye TV bila kugusa laptop. Nimechoka kudownload videos kwenye pc kisha niiingieze kwenye flash...
  2. N

    Laptop inauzwa. Tupigie kupitia Whatsap

    OFFER OFFER 🌙 Hp 840 g3 core i7 Ram 8gb Ssd 256gb Super clean condition Battery 4 hours Windows 10 Basic programs installed 💎good for games 💎high speed in internet 💎for study and other task 💎engineers hii inawafaa 💎wanachuo hii ni Safi Price: 450,000/=tsh Call/whatsapp 0695472265
  3. Miss Natafuta

    Nauza laptop & phone accessories/solar /flat TV na majiko ya gesi kwa jumla na rejareja bei mserereko

    Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari Mikoani natuma kwa uaminifu Sana Whatsup 0764225747 Kwa Mungu yote yanawezekana
  4. Delacruzito

    Nauza Laptop yangu mwenyewe haina kipengele

    Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693 Price 380,000
  5. jT0078

    Nanunua Laptop mbovu kama spare

    Lete Laptop mbovu nikupe pesa, bei maelewano Ilala - Dsm 0767953873
  6. Nomadix

    Ubora na utendaji wa hii upoje?

    Habari wanajukwaa Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C# Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio...
  7. A

    KERO Changamoto ya laptops zinazotolewa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)

    Ningependa kuwasilisha malalamiko yangu kuhusu laptop ambazo zilitolewa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nne na cha sita. Ingawa mpango huu unalenga kusaidia wanafunzi katika kujifunza, ukweli ni kwamba laptop hizi zimekuwa na changamoto kubwa. Hadi sasa, laptop yangu imeharibika licha ya...
  8. Meneja CoLtd

    OFFICE HP LAPTOP FOR SALE (SLIM/NYEMBAMBAA)

    Brand: HP Model: HP EliteBook 840 G1 (SLIM) Charge: 3HRS+ Operating system: window 10 Hard disk: 320GB RAM: 4GB Coi 5 Button zinawaka taa Fingerprint na button ipo gudi etc... Mob & Wasap & Msg 0688777402 Price: 220k NB: UKIIPENDA NDO UNAILIPIA.
  9. luckWill

    Hp laptop iko mnadani. Kweli nmeamini shida haina Adabu

    Baada ya kuchapisha nyuzi kadhaa za kuomba ushauri na changamoto ninazo pitia kipindi hiki cha njaanuary, nmepokea maoni na sasa sina budi kuweka mnadani kifaa changu cha kazi niweze kutatua changamoto hizi naomba msaada wenu matajiri wa JF -Hp Elitebook -Ssd 256 -Ram 8 Graphics Processor: UHD...
  10. jT0078

    Tunanunua laptop mbovu

    TUNANUNUA LAPTOP MBOVU KAMA SPARE BEI MAELEWANO KUTOKANA NA MODEL, SPECS NA UBOVU TUPO DSM 0767953873
  11. Jay_255

    RAM YA LAPTOP DDR4 YA 8GB KWA 30,000 TU

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2 ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
  12. Jay_255

    Ongeza uwezo wa laptop yako kwa Kuongeza RAM ya 8gb kwa 30,000 Tu

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. NINAZO 2 ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
  13. Jay_255

    Ongeza uwezo wa laptop nauza RAM za DDR4 8gb kwa 30,000 Tu

    Ram za ddr4 ambazo kila moja ina 8gb bei ni 30,000 Tu. ukichukua zote 2 yaani 16gb nakufanyia kwa 50,000. Nipo kimara Dar es Salaam 0782780980
  14. O

    Nawezaje kuagiza laptop kwa ajili ya kuuza, ni masoko Gani ambayo ni Bora

    Ndio msaada wa jambo Hilo sihitaji kusafiri kwenda huko ikiwa Kuna mbadala tujuzane
  15. Mtukutu Mkuu

    TUPENI ABC Kwa sisi tunaotaka kuagiza laptop Zanzibar ushuru ukoje

    Kama Kichwa kinavyojieleza hapo nataka kuagiza laptop Zanzibar au naweza kwenda mwenyewe nikabeba kwenye begi Je Bei ya ushuru ipoje na kama mzigo nimeweka kwenye begi bado nitatozwa ushuru Nawasalisha Kama Upo Zanzibar/Pemba tafadhari karibu dm
  16. papag

    Ghafla laptop yangu inakataa kufungua website

    Habari wataalamu. Nina laptop yangu HP touch screen. Mwanzoni mpaka juzi nilikuwa naingia vizuri tu katika website mbalimbali. Cha kushangaza kuanzia juzi inakataa. Ila wifi inaunga vizuri tu. Je nini tatizo? na Suluhisho? Ahsante sana kwa msaada wenu.
  17. buyoya419

    INAUZWA Nauza Stand za laptop

    Nauza Stand ya laptop ya aluminium Zimebaki 9 Bei 15,000 Temeke Dar es salaam Namba 0710-599-055
  18. K

    Computer4Sale Laptop aina ya Lenovo inauzwa, imetumika miezi minne tu

    Wakuu, kimfaacho mtu chake. Nina hali mbaya kiuchumi aisee, nimeamua kuuza laptop yangu aina ya lenovo RAM 8 GB Storage 256 GB Bei ni 550,000/=maongezi kidogo yapo. Kwa mwenye kuihitaji anicheck inbox tu tuyajenge.
  19. G

    Wataalam, Nahitaji uhakika wa umeme kwa vifaa vidogo kama laptop, simu, router, n.k. ikiwa kuna mgao wa siku 2, Je itanigharimu kiasi gani ?

    Inatokea Tanesco wamekata umeme kwa siku 2 Nahitaji vitu gani mfano battery au power bank,n.k. niweze kukidhi mahitaji ya umeme kwa siku 2 kwa vifaa vidogo kama Smart phone 4 zinazochajiwa mara 2 kwa siku, hutumia lisaa kujaa Router 1 inayotakiwa iwe kwenye umeme muda wote Laptop 1 ya Dell
  20. F

    Computer4Sale Hp laptop 430 g6 naiuza

    HP laptop 430 g6 storage 512 GB Ram 8 GB processor Intel(R) Celeron(R) 3205U @ 1.50GHz 1.50 GHz bei 290,000, namba yangu 0685068828
Back
Top Bottom