laptop

  1. tajiri wa fikra

    Computer4Sale Laptop brand new

    chuma hiki hapa,mpya📌 DELL LATITUDE 3380 14inch Display, 7th Generation Intel Core i5, 2.7GHz RAM 8Gb DDR4 Storage 500Gb HDD Battery Health: 100% 6 Month Warranty *Price 520,000/- Phone:0712793505
  2. Mr. Purpose

    Computer4Sale Laptop aina ya Samsung inauzwa

    Laptop Inauzwa Ni SAMSUNG LAPTOP RAM 4 GB Processor 2.4GHz HDD 360GB Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4 Bei ni 260,000 Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho. Mawasiliano 0752026992
  3. B

    Nauza Laptop aina ya Dell Latitude E5470

    Nauza laptop yangu ambayo nimekuwa nikitumia kwenye mambo yangu ya maswala ya IT. Ipo vizuri, japo kuna marekebihso kidogo utakachofanya, ni marekebisho ambayo hayaathiri utendaji wake, ni kubadilisha mkanda kwa gharama isiyozidi tsh elfu 20. SPECIFICATION Model: Dell Latitude E5470 Processor...
  4. Kang

    Tetesi: Google inaachana na Chromebook na laptop zao zitaanza kutumia Android

    Hii ni kushindana vizuri zaidi na iPad za Apple ambazo inatawala soko la tablet na kuongeza ufanisi kwa kuwa na OS moja ambayo inafanya kazi kote simu, tablet, laptop, tv, magari etc. Kazi hii itachukia miaka kadhaa na Chrome itabadilika pole pole kuwa Android...
  5. S

    Hivi speed ya 1.6GHZ ni nzuri au siyo nzuri kwa laptop?

    Hivi jamani speed ya 1.6GHZ kwenye pc ni nzuri au sio nzuri mana nimeambiwa speed ndo iyo na Ina GB 16 SSD na ram 4 vp iyo PC Iko poa au majanga tu?
  6. tajiri wa fikra

    Computer4Sale Unatafuta laptop bora kwa bei nafuu? Usihangaike tena!

    Jipatie Laptop original zenye ubora kwa bei rafiki. Tunapatikana Dar es Salaam Kariakoo. Kwa mawasiliano: 0712793505
  7. cacutee

    Computer4Sale HP laptop inauzwa Dar es salaaam

    Laptop used lakini bado iko kwenye hali ya upya inauzwa bei nafuu Sana. Bei 850000/= maongezi yapo. Mawasiliano 0744220051 Iko Dar es Salaam
  8. jT0078

    Tunanunua Laptop mbovu kama spare

    Lete Laptop mbovu nikupe pesa bei maelewano. Ilala Dsm 0767953873
  9. G

    Mnaoichukia Israel msitumie Smartphone, Laptop, Googlr, n.k. makampuni giant ya kompyuta na Internet huitegemea Israel kwenye kubuni

    Nimeona kuna movements za ku boycott / kugomea bidhaa zenye uhusiano na Israel, nimepata wazo nije kuwasapoti wadau kwenye huu mgomo kwa kuwashauri muweke mkazo zaidi kukaa mbali kwenye simu na computer kwasababu bidhaa na huduma hizi nyingi wanaozibuni ni wayahudi wa Israel. China ndipo vilipo...
  10. H

    Natafuta Laptop

    Natafuta Laptop 1. Apple MacBook Pro (16-inch,M1 Pro/M1 Max) 2. Dell XPS 17(9710) aliyeko na mzigo wa uhakika siyo Hizi refurbished tuwasiliane PM
  11. Calyx24

    Computer4Sale Nauza Laptop yangu mpya Lenovo ideal pad 3

    Kipi ni bora kati ya SSD na HDD
  12. The_vision

    Nauza laptop yangu hii bado nzuri kabisa

    Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 250,000 (njoo tuongee) 0687900668 namba yangu Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU) mwenge
  13. The_vision

    Nauza laptop yangu bado mpya mpya

    Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 280,000 (njoo tuongee) 0687900668 namba yangu Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU)...
  14. Abuu95Kiago

    Computer4Sale MICROSOFT SURFACE LAPTOP 7

    AVAILABLE BRAND NEW 🔥 MICROSOFT SURFACE LAPTOP 7 •Display Size 13.8 Inches PixelSense Flow Display •Resolution: 2304 x 1536p •Refresh rate: 120Hz •Processor; Snapdragon X Elite (12-Cores, 12 Threads, 3.8GHz, 12MB Caches) •Integrated Graphics; Adreno GPU 3.8 TFLOPS •Memory; 16GB LPDDR5 RAM...
  15. B

    Laptop inauzwa dar es salaam

    Habari Laptop kali sana hii ni mpya kabisa,inakaa na charger siku 2 kutegemeana na matumizi yako, hii inafaa kwa wale wa video production,graphic,music production na ma engineer woe wa mijengo Specification zake hizi hapa Processor:- 12th gen intel (R)core (TM) i7-1255u 1.70 ghz Ram:- 8.00 GB...
  16. M

    Natafuta Laptop, bei isizidi 600,000

    Natafuta Laptop Bei isizidi 600,000 Iwe Toshiba, dell, hp au mackbook. Iwe na angalau sifa zifuatazo Ram 8GB STORAGE - SSD angalau 200 gb Generation 8+ Bluetooth, webcam, HDMI port LAZIMA Ukubwa wa Kioo uwe 20+ kubwa na kuendelea Chaji angalau masaa 3 ISIWE YA WIZI isiwe na kipengele...
  17. Mtoto wa nzi

    Black Screen kwenye Laptop

    Kwema viongozi. Kama inavyojieleza, Nikiwasha laptop inawaka lakini inaishia hapo kwenye BlacKScreen, wakati nilikuwa naitumia vizuri tu nikaizima. Kuwasha ndio kila nikijaribu inaishia kwenye BlacKScreen. Msaada tafadhali.
  18. Al-akhdally

    Computer4Sale Nauza Laptop Acer mini

    Ni laptop nzuri sana na ngumu mno. Sifa Touch screen, HDD 500GB, RAM 4GB, SCREEN 11.4INCH VERY SLIM AND CLEAN IPO KISUTU DSM. BEI 230,000/= Maongezi: Yes Charge : 2hrs Namba ya sim: 0783973428
  19. Last_Joker

    Kutoka Kubeba Laptop Hadi Kuvaa Kifaa: AR na VR Zinafungua Dunia Mpya

    Ebu fikiria kidogo, unafungua macho yako na kujikuta kwenye ulimwengu mwingine kabisa, lakini bado uko nyumbani kwako! Hii sio ndoto wala movie za sci-fi; ni hali halisi inayokuja kupitia teknolojia za Augmented Reality (AR) na Virtual Reality (VR). Kama bado hujaingia kwenye huu ulimwengu...
Back
Top Bottom