leo.

Leo is one of the constellations of the zodiac, lying between Cancer the crab to the west and Virgo the maiden to the east. It is located in the Northern celestial hemisphere. Its name is Latin for lion, and to the ancient Greeks represented the Nemean Lion killed by the mythical Greek hero Heracles meaning 'Glory of Hera' (known to the ancient Romans as Hercules) as one of his twelve labors. Its symbol is (Unicode ♌). One of the 48 constellations described by the 2nd-century astronomer Ptolemy, Leo remains one of the 88 modern constellations today, and one of the most easily recognizable due to its many bright stars and a distinctive shape that is reminiscent of the crouching lion it depicts. The lion's mane and shoulders also form an asterism known as "The Sickle," which to modern observers may resemble a backwards "question mark."

View More On Wikipedia.org
  1. Ushimen

    Ngoja niseme nanyi vijana wa leo

    Kwanza sio lazima niwasalimie maana nitapoteza muda tu...🤨 Ipo hivi. Jukumu la mzazi wako ni kuhakikisha unakua na afya njema, unapata malazi na mavazi mazuri na kisha unapata elimu na maarifa ili ukawe mtu mbele za watu duniani. Kazi ya mzazi wako sio kukutafutia mali na sio jukumu la mzazi...
  2. B

    Watanzania wapendekeza Gari la Tundu Lissu lipelekwe Makumbusho ya Taifa, Mwenyewe amshukuru Mungu kuwa hai hadi leo

    Akiongea na wananchi Mkoani Singida nyumbani hapo jana jioni Tundu Lissu ametoa wito kwa Watanzania wengi kuungana na wenzao waliopendekeza Gari lipelekwe Makumbusho ya Taifa. Akiwa anafafanua na kuonyesha namna gari lilivyoharibika kwa Risasi kwenye Mlango mkabara na kiti cha mbele alipokuwa...
  3. Baba Kisarii

    Naomba kukaribishwa rasmi leo

    Ni aje wakuu, hii ni post yangu ya kwanza kabisa, ndio kwanza nimeingia hapa. Like yako hapa ni ukaribisho rasmi kwangu. Ahsante
  4. Ziroseventytwo

    Mafuriko makubwa mjini Ifakara leo Mei 5

    Hali ni mbaya. Maji ni mengi mji wa Ifakara kwa 80% upo kwenye maji. Hasara ni kubwa haswa kwa wafanya biashara za hardware. Cement na gipsam zimeharibika kwa kiwango kikubwa. Kuna baadhi ya familia zinahitaji msaada. Mtuombee. Pia soma:Serikali: Watu 33 Wamefariki Kutokana na Mafuriko na...
  5. Kasiano Muyenzi

    Wana Yanga tuna cha kujivunia leo.

    Lazima tujipongeze bhana 😂😂
  6. R

    TANROADS Tanga rekebisha sehemu ya Mwakidila kwenda daraja la wachina Mwahako, hakupitiki na mvua za leo

    Mchina amemwaga tope na sasa leo na mvua hii ya tangu saa 9 usiku mpaka sasa hapapitiki. Tafadhali njooni mkwangue mtoe huo "uji" ambao umeweka madimbwi kwenye kipande hicho. Kutoka Chalinze kwenda daraja la wachina. Actually ni mpaka kwenda Kibaoni junction ya kwenda Mgwisha.
  7. I LOVE YOU DUCE

    Asanteni sana, japo replies zilikuwa chache lakini JF imenifungulia dunia Jana na Leo

    Wakuu, baada ya kuweka Uzi hapa Jana juu ya project proposal yangu, Jana usiku wakuu wa shule tatu walinitafuta(mmoja ni WA shule ya public , wengine wa wa wili wa private school)na directors mmoja wa shule ya private Kani pm Leo mida ya sanne. Japo Kwa uchache nimeshare ideas zangu na wao, na...
  8. Mhafidhina07

    Wastaafu wa Afrika ni wakoloni mambo leo?

    Alinukuliwa mstaafu mmoja akimwambia Mwenyekiti wa kijiji cha pili kuwa maamuzi yanafanywa na mke wake na ikapelekea sitonfahamu kubwa kwa wakati ule, kumbe yule mwamba mtoa hoja alikuwa kashazoea uongozi,ukatili na sifa akajiona kuwa hapati kusikilizwa akaamua kulipuka watu wakamsikia. Miaka...
  9. Zee la Mandandu

    Leo nimepewa ua jeusi 💝 💔 siku ya Valentine

    Dah, leo Mchepuko wangu Toto Moja la Mbeya Mwenye shepu ya haja japo Sura ni ya Mshua wake limenipa makavu na kunitukana kwenye siku ya Valentine. Huu ni mchepuko wangu sawa na Mama J mchepuko wa mdogo wangu @Deepond japo mi naishi Rungwe yeye anaishi Mbeya Mjini. Mara nyingi nikienda Mbeya...
  10. Slim5

    Malimwengu: Fanya Jaribio hili leo. Utakuja kunishukuru

    Fanya Jaribio hili leo. Utakuja kunishukuru baadae. 1. Lala Chali, horizontal. 2. Kunja Ngumi mikono yote miwili 3. Fumba Macho Hakika utastaajabu ya Dunia
  11. R

    Nabii Rolinga: Kenya inaongozwa na Mzimu wa Rais wa Kwanza ambaye hakuwahi kuzikwa Hadi Leo.

    Salaam, Shalom!! Kumekucha 2024, Anayejulikana Kwa Jina la Nabii Rolinga, amesema kuwa chanzo Cha Nchi ya Kenya kumwaga Damu Kila Uchaguzi ni sababu ya Mzimu wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya kwanza Jommo Kenyata. Amedai kuwa Hadi sasa anayetawala Nchi hiyo katika Ulimwengu wa Roho ni Mizimu ya...
  12. Koffi Annan

    JamiiForums website inapendeza sana na fire bubbles za leo.

    Happy New year family, Japo nimechelewa kuingia kwenye website yangu pendwa ya JamiiForums leo nilivokutana nazo zilinivutia sana na zimenifanya niingie kila muda, Kudos kwa team nzima na technicians kwa ujumla, kazi yenu ni nzuri na inapendeza, Ningeomba kama mlipanga zikae siku moja basi iwe...
  13. Hance Mtanashati

    Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

    Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi" Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu. Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini...
  14. CONTRARIAN

    Mtengenezee Mwanao kesho yake. Asije kuwa chawa wa hawa chipukizi wa leo

    Mtengnezee Mwanao kesho yenye furaha, mafanikio, malengo n.k. Asitarajie kuishi kwa kuamini Serikali yake itamfanyia Jambo zuri kwa ajiri yake, Mfanye awe wa kujiamini awe wa kujitegemea, ajue furaha yake mtengenezaji ni yeye, ajuae kuna disappointments nyingi sana huletwa na uliowategemea...
  15. Chizi Maarifa

    Njooni Wanayanga tufurahie Ushindi hii Leo. Tunampiga mtu kipigo kibaya. Tukikosa points tatu Nipigwe Ban

    Team ya taifa ya Dar Young Africans leo inaenda kushusha kipigo cha mbwa mwizi kwa hawa Medeama hapa Uwanja wa Mkapa. Tayari kisu kimepata makali ya kutosha na ustaadhi anasema bao ni 3. Haina kuremba. Soka la kufa mtu na mabao makali ya ulaya yataonekana. Hakuna papatu papatu. Mpira...
  16. N

    Maoni: Mechi ya Simba na Yanga huenda ikaghairishwa kwa sababu ya mvua

    Sababu kubwa. Mvua itanyesha kubwa sana jumamosi na itasababisha maafa makubwa. Uwanja hautaweza kuchezeka mechi. Tujiandae kwa hilo
  17. Sky Eclat

    Kila kitabu na zama zake, corner sofa ndiyo habari ya mjini leo.

    Corner sofa ndiyo habari ya town, ukiongeza na flat screen ukutani na TV table ya mstatiri. Uzuri wa corner sofa mgeni anaweza kulala mpaka asubuhi omba tu asiwe kikojozi. Kwa kweli ni mfuko tu lakini corner sofa ya ngozi inapendeza na inadumu kwa muda mrefu. Ukiwa na ukuta mweupe blue...
  18. Pascal Mayalla

    Live Bunge TV: Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Leo

    Wanabodi Leo ni Alhamisi, nakuletea Live kutoka Bunge TV kupitia TBC, Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu Leo, ambaye jana amefanywa ni Bwana mdogo, kwa kupewa amri na Bwana mkubwa mmoja. Spika ametangaza Waziri Mkuu hatapokea maswali, atatangaza jambo mahsusi Waziri Mkuu...
  19. S

    Kosa kubwa la kiufundi alilofanya Paul Makonda leo

    Kitendo cha Makonda kutoa hotuba yeye vitisho dhidi ya mawaziri maRC, maDC na maDED leo hii ktk mapokezi yake ni sawa na kuifunga milago ya ufanisi ktk kazi ya uenezi. Vitisho hivi vimetafsiriwa na wengi kana kwamba Makonda bado anasumbulowa na kiburi yes ueuri na ulevi wa madraka...
  20. Mama Edina

    Kwa wale msiojua Europe Champions league, mechi za leo. What's next??

    Anglia Hiking ndio kinachofata
Back
Top Bottom