Leo is one of the constellations of the zodiac, lying between Cancer the crab to the west and Virgo the maiden to the east. It is located in the Northern celestial hemisphere. Its name is Latin for lion, and to the ancient Greeks represented the Nemean Lion killed by the mythical Greek hero Heracles meaning 'Glory of Hera' (known to the ancient Romans as Hercules) as one of his twelve labors. Its symbol is (Unicode ♌). One of the 48 constellations described by the 2nd-century astronomer Ptolemy, Leo remains one of the 88 modern constellations today, and one of the most easily recognizable due to its many bright stars and a distinctive shape that is reminiscent of the crouching lion it depicts. The lion's mane and shoulders also form an asterism known as "The Sickle," which to modern observers may resemble a backwards "question mark."
Kwa Mkapa hatoki mtu!!
Hii ni kauli mbiu maarufu kwa mashabiki wa Simba Sports Club linapokuja suala la mechi za Kimataifa za CAF. Kwa kauli hiyo ashakufa Al Ahly, Orlando Pirates, As Vita, Kaizer Chiefs na wengineo na sasa ni zamu ya kufa Raja Casablanca. Nani anabisha?
Kikosi cha Simba...
aliyekuwa
baada
benjamin mkapa
bila
caf
caf champions league
champions league
corona
covid 19
dhidi
imeisha
kuanzia
kufungwa
kuisha
kushabikia
kwa mkapa
leo.
mechi
mkapa
mlevi
mlevi mmoja
mmoja
mpira
mshahara
mtu
mwaka
mwamposa
mzima
raja casablanca
simba
waarabu
DSTV waheshimiwe sana. Haka kamvua kidogo tu AZAM haioneshi. Yaani imekata matangazo kabisa.
Kwa manyunyu tu. Tuwaheshimu sana. Miaka yote natumia DSTV hawajawahi kuwa waduanzi hata kidogo.
Tarehe 31.12.1929 alizaliwa mke wa Rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
Kwa lugha ya kibantu tunasema 'sabukuu' ya Mama Maria Nyerere.
Wasomi wa lugha na mnaofahamu kizungu kuliko kiswahili neno sabukuu kwa kiswahili ni mazazi kizungu ni "birthday".
Mama yetu leo anatimiza...
Mpenzi wangu (mchumba mtarajiwa) amesafiri kwenda kwao lakini hajibu sms wala hapokei simu (japo iko hewani) tangu siku ya Xmas hadi leo. Hii maana yake nimetemwa au inamaanisha nini?
Maswali yako mengi yanayokosa majibu.
Kama anaumwa kwanini hasemi? Kama kapoteza simu mbona bado inaita hadi...
"Maneno mengi Yesu aliongea Juu ya Kanisa. Zaidi sana juu ya siku za mwisho. Na kulionya Kanisa juu ya wakati wake wa Mwisho. Ya kwamba utakuwa wakati wa Hatari. Kanisa lisije kujisahau. Liendelee kama lilivyopatana na Yesu. Lifanye vivyo hivyo mpaka atakaporudi.
Yesu alisema. " Kanisa...
Leo majira ya saa 12 jion kwa saa za Afrika Mashariki kutakua na tukio la kidunia pale Nchini Qatar. Mchezo wa leo utapigwa katika Dimba la Lusail.
Match itakua baina ya Miamba ya Ulaya France dhidi ya Miamba ya Amerika kusini Argentina.
Katika kuelekea Fainali hii yafuatayo ni mambo 5 Ya...
Wakuu habari zenu.
Leo chupi chupi nimeponea kudhalilika.
Kwa kweli kwa sasa napitia kipindi cha changamoto kidogo ukizingatia kwamba shemeji yenu yeye ana support Russia na mimi nipo upande wa Ukraine
Pia amegeuka feminist wa hatari kisa tu awamu ya sita ni ya mwenzao.
Basi kila nikiamka tu...
Moja kati ya habari inayosubiriwa kwa hamu na umma wa Tanzania ni yatakayojiri leo katika kikao cha dharura cha baraza la mawaziri aliloitisha leo Rais Samia ikiwa na ajenda mficho 4 unaoakisi kutoa majibu sahihi juu ya masuala yafuatayo:
1. Ajali ya ndege ya Precision Air kutokana na kile...
Siku ya leo Derby kati ya wababe wawili Simba dhidi ya Yanga itaweka rekodi ya kushuhudiwa na kufuatiliwa na makocha wa timu 16 za Afrika.
Mchezo huu muhimu utashihudiwa na Kocha wa Club Africain ya Tunisia kwani atapenda kuwajua wapinzani wake Yanga atakaokutana nao tarehe 2 November 2022...
Huwa napita hii barabara kila siku. Cha kushangaza leo ni siku ya tatu taa hazifanyi kazi tunaachiwa tujiongeze kwa kutumia akili zetu.
Tanroads kama hamjapata taarifa ninawapa taarifa sijui kuna shida gani taa hazifanyi kazi na kuachia watu wajiongoze kwa kutumia akili zao na week end hii...
Am very sorry, I was misled the information written were not true, tuzipuuze kwani hazina ukweli wowote and am sorry endapo kama thread hii imepelekea kuleta usumbufu wowote, infact all that written here are not truly.
N. B: TUJITAYARISHE KWA SENSA AMBAYO ITAFANYIKA TAREHE 23 MWEZI HUU WA...
Umeshawahi kukaa chini na kutafakari ni mara ngapi umejikosea kwa kujidanganya kwa kauli “Nitafanya kesho" ! Bila shaka unastahili kujipa adhabu kali ya kutega sikio kwa makini kabisa na kunisikiliza kwa utulivu uliopitiliza maji ya mtungini. “Nitafanya kesho" ni moja kati ya makosa makubwa sana...
Hayawi hayawi sasa yamekuwa ile kiu ya mashabiki wa simba juu ya uzi wao mpya watakao utumia msimu huu kitendawili sasa kimeteguliwa.
Leo saa tano asubuhi jezi zitazinduliwa kaa mkao wa kula.#we are unstoppable.
Kwenye maisha yetu ya kila siku usalama na haki ya kuishi ni jambo muhimu sana kuliko mahitaji yote lakin kwa dunia ya Leo swala la usalama wa maisha linazidi kuwa changamoto kila kukicha. Ni wazi utakubaliana na mimi kwamba dunia ya Leo kiujumla na kwa nchi moja moja zinakabiliana na matishio...
Leo ni July 15, Ni kumbukukizi ya siku ya kuzaliwa kwangu.
Naomba Nichukue sekunde zako chache Tuwatakie wote waliozaliwa terehe kama ya leo kheri na fanaka tele katika maisha yao!
Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi
Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi.
mfano:
1...
Niko somewhere in East africa, wife yuko kilometres kadhaa from me na tumezinguana toka jana,hakuna aliyemtafuta mwenzie leo for sex video,so nimeamua nitafute tu malaya hapa nilipo nijipigie siku iishe.
Muwe na usiku mwema nyote mlioko East africa.
Kwa wale wanafunzi na mtu yeyote binafsi ambae angependa kuweka windows 11 kwenye mashine yake. Tunaweka window 11 ki proffesional zaidi. Tunakuwekea ikiwa na keys na application zinginezo kama
Integrated / Pre-installed:
- Updates are integrated until 8 May, 2022
Chorme
Winrar
7Zip
Vlc
Winamp...
Refa kaikaba Yanga kwa kukataa lile bao halali la Ruvu shooting kwani kona au winga akikimbia na kumaliza uwanja na kutoa cross kwa vyovyote vile bao lile ni halali, vile vile ni kwenye kona, ikipigwa kona haiwezi kuwa offside mbona mpigaji yoko kwenye kibendela ? Refa iliikaba Yanga kwa sababu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.