lissu vs mbowe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Godbless Lema: Wakati nakesha club house kuchangisha michango, Wenje alikuwa Canada akipiga picha kwenye madaraja

    Wakuu, Kumbe wakati Lema anachangisha pesa za Join The Chain, Wenje alikuwa bize na utalii? Siku ya leo Godbless Lema akizungumza na wanahabari kuhusu a tuhuma zilizotolewa na Ezekia Wenje, Mgombea wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Victoria...
  2. Mindyou

    Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

    Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa moto. Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo. Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na...
  3. F

    Kuelekea siku ya uchaguzi mkuu CHADEMA, tuanze sasa kuhitimisa hili jambo la Mbowe vs Lissu na mustakabali wa Taifa letu

    Ni ukweli usiopingika kuwa CHADEMA ndicho chama kinachovuta hisia za Watanzania walio wengi bila shaka kuliko CCM na chama kingine chochote cha siasa na kwamba katika mazingira huru CHADEMA kinauwezo wa kushinda uchaguzi mkuu na kuwa chama tawala. Kwanini CHADEMA pamoja na haya yote kinaishia...
  4. Rula ya Mafisadi

    Godbless Lema Godbless Lemma amjibu Ezekiah Wenje, asema ni muongo hastahili kuwa CHADEMA

    Mpaka kieleweke hapa ni Bampa to Bampa hatimaye Godbless Lemma kumjibu Ezekiah Wenje “Jana nilipoamka niliona tweet ya Mnyika na jana Waandishi mlikuwa na Wenje na nilimsikia, niliona alichokipata kule mitandaoni na Wananchi wote wa Tanzania, Wafuasi na Wadau mbalimbali wa sera za mabadiliko...
  5. M

    Pre GE2025 Mbowe: Hawa wanaongea uzushi uzushi kila siku kwenye vyombo vya habari baada ya Uchaguzi tutawashughulikia

    === Freeman Mbowe anasema baada ya Uchaguzi kumalizika watawarudia wale wote waliokuwa wanatoa upotoshaji kwenye vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii. Huenda mambo yakawa mabaya zaidi kwa Lemma, Lissu na Heche endapo hawatashinda Uchaguzi huu kwani watalazimika kujiondoa CHADEMA kabla ya...
  6. JOHNGERVAS

    Viongozi CHADEMA wameendelea Kutoa Elimu kwa waandishi wa Habari

    Baada ya Jana Tundu Lissu kutoa Elimu kwa Mtangazaji Kijakazi Yunus wa CLOUDS TV kupewa Elimu na Makam Mwenyekiti wa CHADEMA, Leo Freeman Mbowe ameendelea Kutoa Elimu ya aina Hiyo na hapa ni azam TV https://www.instagram.com/azamtvtz/reel/DE6vkQ3Bufu/
  7. J

    Prof Kitila: Hakuna Chama chenye Akili Duniani kitaruhusu Mwenyekiti na makamu wake wakaingia Kwenye Ushindani hata kama Kuna Demokrasia

    Waziri wa Uchumi na Uwekezaji Prof Kitila Mkumbo amesema Hakunaga chama chenye akili Duniani kitaruhusu Mwenyekiti na makamu wake wakaingia Kwenye Ushindani hata kama Kuna Demokrasia Waziri huyu Msomi mbobevu ameongea huko ukurasani X na wengi wametafsiri Chadema ni Chama kisicho na akili...
  8. Cannabis

    Wenje: Kati ya wenyeviti wa kanda (8) kati ya (9) wanamuunga mkono Mbowe, viongozi wa mikoa (3) tu nchi nzima ndio wanamuunga mkono Lissu

    Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti Ezekia Wenje amepiga mahesabu yanayoonyesha kuwa Freeman Mbowe ataibuka na ushindi mkubwa dhi ya Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kwa taifa unaotegemewa kufanyika hivi karibuni. Kwa kujiamini amesema katika wenyeviti wa kanda nane, tisa...
  9. Mindyou

    Ezekiel Wenje: Lema ndiye aliongoza kumshughulikia Zitto Kabwe mpaka kuondoka CHADEMA

    Wakuu, Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Victoria, Ezekia Wenje, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema, ndiye aliyeongoza mpango wa kumuondoa Zitto Kabwe katika chama hicho baada ya kupata laptop yenye baadhi ya taarifa...
  10. Mindyou

    Ezekiel Wenje: Kuhusu zilipoenda pesa za Join The Chain muulizeni Godbless Lema. Yeye ndo alikuwa Mwenyekiti!

    Wakuu, Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na maswali kuhusu wapi ilienda michango ya Wanachadema waliyoitoa kwenye kampeni ya Join The Chain. Leo Ezekiel Wenje, amesema kuwa asihusishwe tena na fedha hizo kwani Godbless Lema ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kampeni hiyo
  11. Mindyou

    Ezekiel Wenje: Peter Msigwa na Lissu walipanga kufanya mapinduzi kipindi Mbowe yuko gerezani. Mimi nilikataa kuwa muasi

    Wakuu, Mambo yamezidi kupamba moto CHADEMA. Kwenye Press conference ya leo amesema kuwa Lema na Lissu walikuwa wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA wakati Mbowe yuko gerezani na kwamba yeye ni team Mbowe kwa sababu alikataa kuwa muasi ya mapinduzi hayo. Yaani Wenje ameamua kwenda...
  12. Mr Dudumizi

    Kwanini Mbowe asingegombea Umakamu Mwenyekiti wa chama, ili likitokea la kutokea yeye abaki na chama?

    Habari zenu wanaJF wenzangu Ndugu Mbowe na baadhi ya vijana wake (wengi mnawaita chawa), wamekuwa hawaamini kama ndugu Lisu akishinda uenyekiti wa Chadema ataweza kuendesha chama na badala yake atakiua. Wengine wameenda mbali zaidi kwa kudai kwamba kuna uwezekano Lisu akishinda uenyekiti wa...
  13. Carlos The Jackal

    Lissu anafanya mahojiano Clouds Media muda huu

    Huyu MTU yuko Gifted sana na Uwanda mkubwa wa Maarifa na akili nyingi . Ninashauri, Waandishi wawe wanaandaa maswali yao kwanza, wasingoje majibizano na LISSU ndio yawape maswali. Pia LISSU awe anaitwa Kutoa Hotuba, yaan ahutubie akimaliza waulize maswali yao. Narudia kusema, kuhojiana na...
  14. Replica

    Lissu: Mbowe aliitisha kikao nisitie nia ya kugombea uenyekiti, asema CHADEMA kimepoteza watu wa maana sababu ya 'kuatamia madaraka'

    Mgombea uenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema baada ya 'mastori ya town' kusambaa anataka kugombea uenyekiti aliitwa kwenye kikao na watu watatu wanaoheshimika kwenye jamii, anasema kwenye kikao hicho Mbowe alisema hatagombea uenyekiti lakini pia alimkatalia Lissu asigombee nafasi hiyo kitu...
  15. Mindyou

    Pre GE2025 Afande Sele: Ushindi wa Mbowe ndio utakuwa mwisho wa CHADEMA

    Wakuu, Uchaguzi wa CHADEMA nafasi ya Uenyekiti umezidi kupamba moto. Haya ni maneno ya Afande Sele ambaye ni mfuatiliaji mkubwa wa siasa za Bongo. Mbowe ajitafakari. Hiki ndicho alichoandika Afande Sele kupitia ukurasa wake wa Instagram: Baraza lote la vijana limeshikiliwa na watu...
  16. D

    Mtazamo wangu wa CHADEMA baada ya uchaguzi

    Kwa mtazamo wangu upepo ulivyo Mbowe ana nafasi ndogo ya kushinda na kama kweli anatembeza pesa na kukafanyika janja janja akashinda basi chama kitapasuka vipande vipande. Pia haijalishi nani atashinda, kwa jinsi mambo yalivyo bado kutakuwa na mpasuko maana watu watabaki na vinyongo na wengine...
  17. MamaSamia2025

    Ni bidhaa gani inaweza kuuza sana ukitumia jina la Tundu Lissu?

    Wakuu kwa jicho la kibiashara jina la Lissu ni brand inayoweza kuuza kwa hapa bongo. Unadhani ni bidhaa gani inaweza ku-fit hilo jina na kufanya vyema sokoni? Binafsi nimefikiria pombe kali na energy drinks. Pia mashine, mabati, nondo na bidhaa zingine jamii ya chuma
  18. Mtu Asiyejulikana

    Mpaka sasa Takwimu za Lissu Vs Mbowe katika Kura

    Hizi ni Takwimu ambazo tumezipata huku kwetu Lumumba. Zikionesha Mbowe bado anakubalika vizuri tu. Mikoa ambayo inamuunga Mkono Tundu Lissu. 1. Ruvuma 2. Rukwa 3. Katavi 4. Simiyu 5. Shinyanga 7. Geita 8. Mbeya 9. Mwanza 10. Mara 11. Kagera 12. Iringa 13. Singida Mikoa ambayo inamuunga mkono...
  19. Rula ya Mafisadi

    Tetesi: Kwa rushwa iliyopo ndani ya CHADEMAnashauri twendeni Democratic Party DP ya Mtikila

    Hali ya rushwa ndani ya CHADEMA inatisha watu waadilifu hiki chama hakiwafai tena tafuteni chama kingine, Hii CHADEMA sio ile mnayoijua. Habari za rushwa CHADEMA ni za kiwango Cha Juu sana, Lissu, Lemma, Heche find your ways CHADEMA si chama tena.
  20. Mindyou

    Pre GE2025 Godlisten Malissa wa CHADEMA: Hatuwezi kuwa na chama cha watu wanaotukana na wadhalilishaji

    Wakuu, Mwanaharakati wa haki za kijamii na kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Godlisten Malisa siku ya leo Jumapili Januari 12, 2025.amezungumza katika mkutano wa wanahabari uliofanyika mkoani Dar es Salaam Malissa amezungumza mambo mengi kuhusu CHADEMA ikiwemo na uwepo wa...
Back
Top Bottom