lissu vs mbowe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rozela

    Sauti za wapiga kura Uchaguzi wa CHADEMA zavuja. Wajumbe wamkataa Mbowe, wanamtaka Lissu

    Kupitia ukurasa wa Youtube wa Jambo TV, kumevuja sauti ambazo zinaonesha baadhi ya viongozi wa CHADEMA wakiwa wanapigia simu wajumbe watakaoenda kupiga kwenye uchaguzi mkuu wa CHADEMA. ========================= My take: Mimi kama mjomba ake nimehuzunika sana, nilitamani uncle aendelee...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Mchakato wa uchaguzi hautakuwa na tija kama hautamuondoa Mbowe madarakani

    Katika kutimiza malengo ya taasisi, taasisi huwa na mifumo ya uendeshaji wa mambo mbalimbali ya taasisi. Mifumo hiyo huwa na procedures ambazo wahusika ni lazima wapitie katika kutekeleza jambo fulani. Procedures hizo huwekwa katika namna ambayo huzuia vihatarishi (risks) ambayo vinaweza kuzuia...
  3. Peter Mwaihola

    Hisia Zangu; Hoja hizi zinambeba Lissu Chadema

    HISIA ZANGU, MAMBO HAYA KUMBEBA LISSU CHA Baada ya chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA kutangaza mchakato wa uchaguzi wa viongozi wakuu wa chama umeibuka mjadala juu ya nani ataweza kushinda uenyekiti katika uchaguzi huo. Mjadala unaendelea wakati ambapo Mwenyekiti wa chama hicho...
  4. Mindyou

    Pre GE2025 Emmanuel Ntobi: Nimeonewa kwa sababu namuunga mkono Mbowe kwenye Uchaguzi wa chama chetu

    Aliyekuwa mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mkoani Shinyanga Emmanuel Ntobi amesema uamuzi uliofikiwa na kamati si sahihi kutokana na kushindwa kufuata taratibu, kanuni na katiba iliyowekwa na chama hicho. Ntobi ameeleza hayo wakati akizungumza kwa njia ya simu na...
  5. Tlaatlaah

    Katibu Mkuu wa TEC ajitafakari kwa sababu anatajwa kuligawa Kanisa kisiasa kwa kushindwa kuzuia mahaba yake

    Katibu mkuu wa Baraza la maaskofu katoliki Tanzania anafaa kujitafakari, kwasababu anatajwa kuacha majukumu yake ya kuhubiri neno la Mungu na kuhusika kuligawanya kanisa hilo kisiasa na kushindwa kuzuia mahaba yake ya kikabila dhidi ya mgombea uenyekiti wa chadema Taifa ambae ni wa kabila lake...
  6. Egnecious

    Team Mbowe na wana CHADEMA sikilizeni ujumbe huu

    Kwa hali hii kweli Mbowe ni bora aachie tu aondoke kwa heshima ambayo kaijenga miaka mingi
  7. S

    Kama ameshakula hela za watu kwa sharti la kugombea, asipogombea atazirudishaje? Hili bila shaka ndio chanzo cha tatizo

    Kwa mtazamo wangu, hili ndio tatizo la msingi la huyu bwana kutaka kuendelea kukakilia hicho kiti. Nina wasiwasi kuwa alishakula hela za watu kwa shariti hilo na sasa asipogombea atakuwa ameenda kinyume na makubaliano. Kwahiyo, huyu bwana hafai hata kidogo na akirudi madarakani, basi chama sio...
  8. B

    Lissu: Wanaharakati wanastahili maua yao. Wanasiasa ni watu waongo waongo, waswahili waswahili, rushwa rushwa - wanakula!

    Long live TAL: Huu ni mwendelezo wa mada zikiongelewa humu kwa muda mrefu: Pia soma: Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati Pia soma: Ukombozi dhidi ya CCM utapatikana na wanaharakati sio na wanasiasa
  9. Suleiman Mfua

    Pre GE2025 Nani anastahili kushinda nafasi ya Uenyekiti CHADEMA kati ya Tundu Lissu na Freeman Mbowe?

    Na Suleiman Mfua Katika siku za hivi karibuni ndani ya Siasa za Tanzania kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusu nani anayestahili kupewa ridhaa ya kua mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mjadala huo umetokana na Vigogo wawili wa Chama hicho Wakili Tundu A. Lissu (Makamo...
  10. El Roi

    Ufahamu wa juu wa mambo ya kimataifa ( worldly view) sifa nyingine ambayo Lissu anamzidi Mbowe

    Kuwa kiongozi mkuu wa chama Cha siasa ambacho ni active kama ilivyo Chadema, ni muhimu sana. Ukiacha kufanya tu siasa za ndani, kujua upana wa mambo ya yanayoendelea kwenye ulimwengu mwingine ni mileage kwa chama hicho na nchi kwa ujumla. Siasa ni universal pia, hivyo kama huna upana wa kuona...
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Pre GE2025 Team Mbowe hadi leo hii hawajawaambia Wanachadema wanaenda kufanya nini wakipewa nafasi

    Aiseeh! Team ya Mbowe Mpaka dakika hii wametepeta. Sijui kama wanajua kama wapo kwenye Kampeni za uchaguzi. Fikiria Mpaka Muda huu hawajaeleza Mbowe Akiwa Mwenyekiti atafanya Jambo gani. Pengine nao hawajui wakipewa nafasi nini watafanya. Watu wengi waliposikia Mwenyekiti Mbowe anahojiwa...
  12. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais

    "Mwenyekiti aliyeenda gerezani sio aliyetoka gerezani miezi nane baadaye, alikuwa tofauti, anaimba maridhiano" Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema na Mgombea wa Uenyekiti Tundu Lissu amedai chama hicho kimepoteza imani na mvuto kwa wanachama wake na wananchi...
  13. Mindyou

    Pre GE2025 Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA

    Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA @chadematzofficial Freeman Mbowe amesema kuna makundi yanayoratibu kufanyika mapinduzi ndani ya chama hicho na makundi hayo ndiyo yanayomsukuma Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bara, Tundu Lissu kugombea nafasi ya Uenyekiti. “Kuna kundi...
  14. Abraham Lincolnn

    Kama uchaguzi unaoendelea CHADEMA sio drama huu ni mtazamo wangu kwenye Lissu vs Mbowe

    Kuna kila dalili na ishara kwamba minyukano inayoendelea ndani ya CHADEMA imeratibiwa na kupenyezwa kwa mbinu za siri ili kukivuruga chama hiki ambacho kimsingi ndicho chama kikuu cha upinzani. Baada ya hali ya chama tawala kuonekana tete kuelekea uchaguzi mkuu 2025 hususan baada ya dalili zote...
  15. J

    Mbowe ni kama Hayati Membe alivyoitwa Joka la Mdimu na Mudhihir yaani hataki Lissu awe Mwenyekiti wala mgombea Urais na yeye hataki kugombea Urais

    Mudhihir alisema majoka Yana Tabia za ajabu sana Akatoa mfano wa Joka la Mdimu ambalo linazuia Watu wasichume ndimu wakati lenyewe halili ndimu Mbowe mbele ya Viongozi wa dini alikataa kugombea Uenyekiti wa chadema wala Urais wa JMT lakini hataki Tundu Lisu agombee hizo nafasi RIP Mudhihir...
  16. R

    Mbowe usimwachie Lissu chama kwa utovu huu wa nidhamu, afadhali kifie mikononi mwako maana kilitokana na mikono yako na wananchi wenye nidhamu

    Kwa mwendo huu wa Lisu, atakiuza chama kwa Msigwa. Usiachie chama , lilwalo na liwe. Aanzishe chake na Heche wake! Na kwa kuropoka kwake, kutokuwa na kaba ya ulimi dola itakifuta. Samia atakifuta kwa sababu ambazo kila mmoja atazikubali na si kukionea. TULIPOFIKIA SASA YOU ARE THE LAST LINE OF...
  17. Waufukweni

    Pre GE2025 Lissu: Mbowe ni muongo, tulifanya kikao cha siri kwa siku 3. Alikataa nisigombee Urais na Uenyekiti huku yeye akisema hajaamua

    Wakuu Kimeumana CHADEMA, Tundu Lissu amvaa Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe baada ya kurejea Tanzania kutoka nchini Ubeligiji. Akizungumza na Waandishi wa Habari baada ya kuulizwa kuhusu alichokisema Mbowe kuwa walishauriana asigombee Uenyekiti CHADEMA, pengine baadae angegombea...
  18. Mindyou

    Wakili Mwabukusi: Tundu Lissu sio malaika lakini yeye ndio chaguo sahihi kwa CHADEMA

    Wakuu, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Wakili Boniface Mwabukusi akieleza matamanio yake ya kuona Wakili Tundu Lissu akiibuka kidedea dhidi ya mshindani wake wa karibu Freeman Mbowe kwenye mchakato wa ndani wa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) unaoendelea
  19. Mindyou

    Pre GE2025 Dkt. Slaa: Mbowe ajitafakari sana. Ataaibika kwenye sanduku la kura

    Katibu Mkuu wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Willibrod Slaa, ametoa rai ya wazi kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, kujitafakari na kuachia nafasi ya uongozi ili kutoa nafasi kwa kizazi kipya cha viongozi kama Tundu Lissu. Dkt. Slaa ametoa maoni hayo...
  20. J

    Pre GE2025 Akishinda Mbowe Chadema itakuwa na fedha bila Wapiga Kura na akishinda Tundu Lissu Chadema itakuwa na Wapiga Kura bila fedha, chaguo ni lako!

    Huo ndio Ukweli' Bila Freeman Mbowe Chadema lazima ianze kutembeza Kikapu cha Sadaka kama enzi za Padre Slaa Na bila Tundu Lissu Chadema hainaga Wapiga Kura Kabisa yaani October itabidi wamtafute Lowassa mwingine CCM aje na Watu wa kuwapigia kura Wagombea Ubunge kama enzi za Dr Mollel na Cecil...
Back
Top Bottom