Live! Live! Live! is a live album released by Bryan Adams through A&M Records in 1988. It was recorded live at the Rock Werchter festival on 3 July 1988 in Werchter, Belgium. One track, "Into the Fire", was recorded live in Tokyo. The album sold over 1 million copies.
The concert was taped while it "rained in torrents". At the end of It's Only Love, Adams comments to the audience, "I've got to tell you something. For you people to sit out in the rain, means you're one hell of an audience. I mean, to sit out in this..."
Salaam MMU, guyss naomba tushare chats huku tukificha contacts za warembo tunaochat nao kila siku, either iwe tunawatongoza, tunavoomba mbususu, wanavotupiga mizinga etc ili tujifunze na kuchekana pia .. Mi naanza kwa kushare screenshots zangu...nanyi tiririkeni
1. UKIMWI umeanzia kwenu Kagera
2. Ajali za Kuua kwa Jumla Jumla ( Watu wengi za Meli ) kama ile ya MV Bukoba imeanzia kwenu Kagera
3. Tetemeko Kubwa la Ardhi nchini Tanzania limeanzia kwenu Kagera
4. Ajali mbaya ya Ndege ( hii ya Majuzi ya Precision Air ) ni ya Pili Kihistoria bado imetokea...
Mchezo ni saa 16:00Vikosi vyote kwa timu mbili vimetolewa
Timu zinaingia uwanjani
Mchezo unaanza
1' Phiri anafika langoni mwa Mtibwa anashindwa kutumia nafasi vizuri
3'Goooooooooo
Jean Baleke anafunga goli kwa kwanza kwa Simba licha ya kubanwa na walinzi
7' Goooooooooo
Baleke anafunga goli la...
Wakili mzoefu, Fatma Karume almaarufu shangazi leo amemtuhumu mtangazaji wa kipindi cha michezo cha Clouds FM, Prisca Kishamba kuwa ni muongo na yeye hamna kitu hapendi kama watu wanaofanya 'Assumption'.
Fatma alitengeneza swali na kumtaka mtangazaji amuulize upya kama alivyosema baada ya...
Haipo tena haja ya kumung'unya maneno:
Ukweli ni mchungu lakini inabidi usemwe.
Wizi wao ni wapi usikoonekana?
Ni NHIF, LATRA, TRA, Polisi, Immigration?
Wapi penye unafuu?
Tarehe 19 Februari 2023 chama cha ACT Wazalendo walifanya mkutano wao wa Kwanza ambapo viongozi wake wa kitaifa walishiriki na kuongea na wananchi.
Cheche zilianza kuonekana pale aliposimama Makamu Mwenyekiti wa Zanzibar ambape pia ni makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar alipoelezea umma...
Wanabodi
Naangalia TBC mubashara uzinduzi wa Mama Samia Legal Aid Campaign,
Katika ufuatiliaji wa uzinduzi huu mubashara kupitia TBC, kukatokea jambo fulani,
Wanasheria hawa, ndio waliotufikisha hapa!, jee tuendelee kuvumilia hizi slips of a tongue kwa wanasheria wetu manguli wabobezi na...
Maandalizi yote ya tukio letu yamekamilika. Muda mfupi kutoka sasa tukio la wenye nchi tukiiweka nchi mbele litaanza.
Tunakwenda kuzindua jezi za Simba za michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na tumepata baraka zote kutoka kwa mdhamini mkuu M-Bet."- Semaji la CAF Ahmed Ally.
Muda wa mechi ni saa 16:00 na tayari vikosi vyote vimefika uwanjani
Upande wa Simba wale wachezaji waliokosekana mechi za nyuma kwasababu ya kukosa fitness iliyosababishwa na kuuguza majeraha ya muda mrefu, hatimaye leo wameanza.
Kasoro General Phiri ndio sijamuona hapo
Tukio hili limetokea huko nchini Kenya wakati waumini wakiendekea na ibada mara ghafla tu bikira maria akawatokea.
NB: Mpaka uwe na macho ya rohoni sana ndio unaweza kumuona 🤩🤩
Ndege ndogo ya abiria ilianguka kwenye bonde mkoani Pokhara, nchini Nepal, mapema jumapili. Ndege hii ilikuwa imebakiza sekunde 10 - 20 ili itue kwenye kiwanja kipya cha Pokhara kilichozinduliwa wiki 2 zilizopita.
Mpaka hivi sasa watu 68 kati ya 72 waliokuwa kwenye ndege hiyo wamefariki dunia...
15 December 2022
LIVE UCHAGUZI WA BUNGE LA WANANCHI CHADEMA
Wagombea waelezea jinsi wanavyoweza kulitumikia Bunge la Wananchi la CHADEMA
Source: ZAMAMPYA TV
https://www.jamiiforums.com/threads/nimependa-concept-ya-chadema-ya-bunge-la-wananchi.1981876/
Katika hotuba yake Mwenyekiti wa...
Massata Samb aliyekuwa akitoa hotuba Bungeni alisitisha na Kwenda kumshambulia Amy Ndiaye Gniby kwa kumpiga kichwani, Gniby akajibu mapigo kwa kumrushia kiti Samb.
Licha ya Wabunge wengine kuingilia kuwatuliza vurugu ziliendelea kwa wawili hao kuendelea kutupiana maneno na kutaka kushikana...
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli.
Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma...
Jamani wapi naweza kwenda penye band zinazopiga miziki ya zilipendwa hapa dar? Zamani sana nilikuwaga naenda Mawenzi garden tabata kulikuwa na band ya BANA MARQUIZ na sijui hata wao kwa sasa wanapiga wapi maana nilikuwa nawapenda sana.
Nakaa kinondoni anyway so kama kuna band maeneo ambayo si...
FULL TIME: Yanga inafanikiwa kufuzu Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika
90' Zinaongezwa dakika 4 za nyongeza
89' Bakari Mwamnyeto anaingia anatoka Morrison
88' Wenyeji wanaonekana kama wamkata tamaa, wanapata kona
80' Yanga wameanza kucheza vizuri zaidi, wanamiliki mpira
Azizi Ki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.