Ewe Mtanzania mwenzangu, nchi hii ni yetu tumepewa na Mungu aliyeziumba Mbingu na nchi. Tumepewa iwe urithi wetu. Ni jukumu na wajibu wetu kuiombea mema na kuikinga na mabaya dhidi ya maadui wote wa nnje na ndani hivyo njoo tumuombe Mungu ailinde nchi yetu dhidi ya maadui na wabaya.
DUA
Ee...