Usiombe mabaya yatakukuta
porojo za bongo
15-02-2011 ilikuwa jumanne tulivu, tukiwa uwani tukipiga stori za hapa na pale, nawakumbuka baadhi ya watu wachache tulio kaa pale uwani, dada g,dada asha, mrs siliver michael, siliver michael , mama g au mrs benny na mzee dondola alikaa kwa mbali...