mabeberu

  1. ibesa mau

    Leo Serikali kulilia fedha za mabeberu, imekwama wapi?

    Serikali kila siku inajidai ina fedha za kutosha, inakusanya mapato mengi kuliko serikali zote, Leo kimewakuta nini hadi kilio kila kona. Ni nashauri tokeni hadharani muwaambie wananchi kwamba Yale mliyokuwa mnajimbwambafai kwa wananchi ilikuwa ni uongo na hadaa. Wachumi walikuwa wanahoji kila...
  2. K

    Nani kawashtua mabeberu haraka kiasi hiki?

    Baada ya Tanzania kupitia waziri wake Kangi Lugola kuweka order ya kununua vifaa vya kulindia amani kuelekea 25 October mabeberu wamecharuka haraka na kupelekea Rais kumtumbua Lugola ili kunawa mikono kuwa yeye hakuwa na taarifa juu ya uagizwaji wa zana hizo Sasa swali ni je,hawa mabeberu wana...
  3. Mystery

    Wanapotukosoa tunawatukana na kuwaita mabeberu, jina linabadilika na kuwaita wafadhili wetu wa maendeleo mara tu wanapoanza kutugawia pesa!

    Ni tabia iliyozoeleka kwa watawala wetu wa serikali ya awamu ya tano kujihami na kuwaita wazungu wa nchi za nje, kuwa ni mabeberu, wanapokuwa wametukosoa katika uimarishaji wa demokrasia, uhuru wa wananchi kujieleza na tunashauriwa tuzingatie haki za binadamu. Lakini kitu cha ajabu ni pale...
  4. Papaa Mobimba

    Yoweri Museveni: Afrika ingeingilia kati na kuisaidia Libya dhidi ya Mataifa ya Magharibi

    Uganda's President Yoweri Museveni is in London this week to attend the UK-Africa Investment Summit 2020. The event was hosted by British Prime Minister Boris Johnson who told the attending 16 African heads of state that the continent is the future of trade and business and that the UK was keen...
  5. Chachu Ombara

    Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

    Awali: Erick Kabendera mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi inaendelea leo Mahakama ya Kisutu. Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi, Utakatishaji Fedha na kujihusisha na genge la uhalifu. UPDATES MAHAKAMA YAOMBWA KABENDERA KUMUAGA MAMAKE HOJA SITA ZA...
  6. B

    Mmiliki wa JamiiForums awajibu wanaosema anatumiwa na mabeberu, baada ya kuitwa ikulu Marekani

    December 16, 2019 Mwanzilishi wa JamiiForums akizungumzia kuhusu tuzo aliyopewa hivi karibuni na jinsi mtandao huu unavyokabiliana na hali ngumu ya kutenda kazi hasahasa tukiangazia mazingira ya sasa Tanzania. Hofu inajengwana na waandishi wenyewe lakini kama mitandao inafuata sheria na kanuni...
  7. MakinikiA

    Kazi kweli kweli na mabeberu

    Benki ya dunia yasema ukuaji wa uchumi wa Tanzania kuongezeka 2020 japo si kwa 7% Uchumi wa Tanzania utakuwa kwa asilimia 5.8 mwaka 2020 ikilinganishwa na makadirio ya asilimia 5.6 mwaka huu na ukuaji utaongezeka hadi asilimi 6.1 mwaka 2021 , kulingana na ripoti ya benki ya dunia siku ya...
  8. Beira Boy

    Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

    Aman iwe juu yenu wakuu, Rais Magufuli akiwa njiani Wilaya ya Nzega kuelekea Shinyanga amewahutubia wananchi wa Wilaya ya Nzega na kuwapongeza viongozi wote walioshinda katika Uchaguzi wa Serikari za Mitaa. Aidha, katika hotuba hiyo Raisi Magufuli akigusia kuhusu Uchaguzi wa Serikali za mitaa...
  9. N

    Repoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikizungumzia Tanzania

    Mabeberu meusi yameingia kwenye vita na Tanzania, vita ya kiuchumi imenoga tunaonewa wivu kila kona hadi na weusi wenzetu, hii inamanisha kwamba tupo pazuri mnooo,haijawahi kutokea tangu uhuru Hii ni ripoti ya Tume ya Haki za Binadamu Afrika ikiisuta awamu ya tano.
  10. Jaji Mfawidhi

    "Mabeberu" na "Sokwe" ni kitu kimoja, wote wanyama!

    Serikali ya awamu ya tano, imerudisha neno beberu lililotumiwa na mwalimu wakati wa harakati za ukombozi wa Afrika. Baada ya kupata uhuru tukawaita "wakoloni" haijalishi mtu huyo alitutawala ama la. Wakoloni ni " waingereza, reno, Belgiji, Jerumani, Waarabu" MAGUFULI ameanza kuita WAZUNGU...
  11. M

    Swali la kizalendo: Mabeberu ni kina nani?

    Dunia inaenda kwa kasi sana, ukizubaa unaachwa! Wakati wa vita baridi neno Mabeberu lilitumika sana hapa Tanzania. Enzi zile beberu alikuwa ni mtu yoyote asiye mjamaa, mpinga mapinduzi, anayeamini katika soko huria na uliberali. Polepole neno mabeberu lilianza kufifia baada ya kuanguka kwa...
  12. The Mongolian Savage

    Nimeamua kuwa mzalendo liwalo na liwe mabeberu wanatuonea sana nakinukisha

    Mzuka! Yatosha nasema yatosha. Nimeweka tofauti zangu za kiitikadi nakumuunga Jemedari anayetuboreshea maisha yetu na kutupeleka uchumi wa kati. Lakini mabeberu wanataka kumkwamisha. Sitakubali Rais wangu adhalilishwe nitakuwa mzalendodaima. Nakinukisha muda si mrefu na hadi jumatatu ndege yetu...
  13. Wakulonga

    Hivi ugonjwa wa Ebola tulioambiwa na Mabeberu upo Tanzania umeishia wapi?

    Mimi nilikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanafuatilia kwa makini sana sakata la Ebola tanzania. Hawa mabeberu waliuaminisha ulimwengu kuwa tz kuna Ebola na kushindana katika kutoa matamko kwa raia wao. Mimi nijuavyo Ebola kama pembe la ng’ombe halifichiki cha kushangaza mpaka leo sijackia...
  14. Sky Eclat

    Tulivyojengwa kuwachukia mabeberu enzi za chama kushika hatamu

    Enzi zile mitumba iliitwa kafa Ulaya, sehemu pekee uliyoweza kupata kama Ulaya ilikuwa kanisani au kwenye kambi za wakimbizi. Waliokwenda Ulaya na kuloea waliitwa walibezwa. Vijana wachache walioondoka Tanzania ilikuwa ni kwa scholarship au ku store away na meli. Siku hizi majina ya kafa Ulaya...
  15. Jaji Mfawidhi

    Sababu za Majaliwa Kuwekwa bench Mkutano wa Mabeberu

    Uwanja wa Diplomasia tumefuatilia baadhi ya mijadala mitandaoni na kuona watu wakiuliza kwa nini Waziri Mkuu alikaa nyuma ikiwa yeye alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Mkutano wa Russia-Africa pale Sochi? *JIBU NI HILI.* Kwa...
  16. Jaji Mfawidhi

    Sammata anyimwa goli UEFA, mabeberu wahusishwa

    Katika hali isiyo ya kawaida Mbwana John Sammata alikuwa anaweka historia nyingine lakini mabeberu wakamnyima kwa kutumia VAR. lile ni goli kabisa la wazi na baada ya hapo Genk walikata tamaa na kujutia kucheza UEFA. WAMELALA KWA GOLI 4-1 , LAKINI NA BADO NI USHINDI MKUBWA KWA SAMATTA NA SIMBA...
  17. N

    Rais Magufuli, usikubali huu mtego wa huyu waziri; atakuwa anatumiwa na mabeberu

    Inaonekana anatumiwa na mabeberu kukushushia credibillity kwa wanyonge. Wewe ushafanya utafiti kabla ya maamuzi kwamba tunaweza KULIPA, KUSAFIRISHA AU KUBANGUA KOROSHO WENYEWE Ulisema, hela tayari zipo benki ya wakulima, zishaingizwa. Ulisema ikibidi wanjeshi hata kwa meno watabangua. Nchi...
Back
Top Bottom