mabeberu

  1. Mlaleo

    Meli ya Tanzania yangundulika kusambaza Silaha nchini Libya. Je, Nasi tutawekewa Vikwazo na Mabeberu?

    Get short URL FILE PHOTO: Annual NATO's Submarine Warfare Exercise DYNAMIC MANTA held with the naval forces of Turkey, Canada, France, Germany, Greece, Italy, Netherlands, Spain, United Kingdom and USA in Palermo, Italy on February 25, 2019 © Getty Images / Dursun Aydemir/Anadolu Agency When...
  2. J

    Kigamboni: Ndugulile tutakukumbuka kwa kuipigania ardhi yetu isiuzwe kwa mabeberu na akina Methew wa CHADEMA

    Wananchi wa Kigamboni wanasema hata kama mbunge wa sasa wa jimbo hilo Dkt. Ndugulile hatapitishwa na CCM kugombea bado atakumbukwa daima na wapiga kura. Wamesema Dkt. Ndugulile alisimama kidete kuwatetea barazani na bungeni ili manyang'au wasipole ardhi yao. Wamedai waziri mstaafu Prof...
  3. B

    Mgonjwa kwao, lawama Tanzania - Mabeberu hawa!

    Mabeberu kazi wanayo. Kila tukipiga chenga wao wanafuata nyayo. Inafikirisha kuwa hata huko Isingiro Uganda mgonjwa wao kwanza aliyepatikana jana, eti naye kapita 'kinyoka nyoka' mpakani akitokea Tanzania kinyume cha utaratibu: ---- The East African region Monday recorded a spike in...
  4. Cicero

    World Bank to officially declare Tanzania a Middle Income Country (MIC) on July 01, 2020

    The World Bank is to officially declare Tanzania a middle income country as of 1st July 2020. Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa inakuwa na mataifa mawili kwenye kundi la MICs. Swali: Itakuwaje kuhusu East African Community - European Union Economic Partnership Agreement? Maana Tanzania iligoma...
  5. P

    Sifa 5 za rais wa Mabeberu

    1. Anaishi karibu sana na Mabeberu. 2. Anaenda nchi za Mabeberu. 3. Anategemea uungwaji mkono wa kisiasa na Mabeberu. 4. Anahisi Mabeberu ndio watu wakuleta maendeleo. 5. Siasa zake sio za maendeleo.
  6. CARIFONIA

    Jinsi Wakenya walivyoiuza nchi yao kwa mabeberu

    Inasikitisha sana kuona taifa kama Kenya limekua mstari wa mbele kuwatukuza mabeberu, kiasi kwamba wameamua kuikabidhi nchi yao kwa mabeberu yanayoshirikiana na wakenya wachache kuila na kuitafuna nchi, huku majorty ya Wakenya wakihishi kama wapo jehanamu ndani ya nchi yao wenyewe. Sasa sahau...
  7. S

    Wagombea Urais Zanzibar wanapaswa kumlazimisha Bashiru awaambie nani kati yao ametumwa na "mabeberu" la sivyo akiri kauli yake ni potofu sana kisiasa

    Mara nyingi nimesema sana humu JF kwamba kuna wakati nazishangaa sana kauli za wanasiasa wetu zinazotolewa kama vile hawana uwezo wa kufikiri. Sasa hili la Bashiru, Katibu Mkuu wa CCM kupiga kelele mbele ya jumuiya kwamba haelewi kwa nini hadi wakati huo wanachama 12 wajitokeze kugombea uraisi...
  8. Mukulu wa Bakulu

    Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

    Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais. Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini. Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka...
  9. M

    Kenya itajinasuaje kwenye mtego wa mabeberu wanaojitajirisha kwa kutumia COVID-19?

    Kenya imenaswa kwenye mtego wa Corona. Wazungu wameamua kutumia COVID-19 Kama kitega uchumi. Wakikukopesha pesa wanakulazimisha uzitumie kupima COVID-19. Test kits ni za gharama Sana, Wana uhakika wataikamua Kenya kwa miaka mingi ijayo. Mpaka Sasa haijapima hata watu laki nne!. Je, itachukua...
  10. M

    BBC: Jinsi Rais Magufuli anavyopambana na corona na "mabeberu"

    Na Sammy Awami BBC News, Dar es Salaam 18 Juni 2020 Rais wa Tanzania John Magufuli amekuwa akikosolewa kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya "mabeberu" na tangazo lake la hivi karibuni kuwa maombi na sala vineondosha virusi vya corona katika taifa hilo. Lakini suala hilo la...
  11. Return Of Undertaker

    Lengo la CCM ni kuifuta CHADEMA. Jeshi la Polisi limeshindwa sasa wanatumia vyombo vingine wasijekosa misaada toka kwa mabeberu kwa kuua demokrasia

    CCM toka mwaka 2015 walitumika sana kuzuia kuenea kwa upinzani hasa kuzuia mikutano ya kisiasa ya upinzani na kuruhusu mikutano ya CCM pekee nchi nzima. Ilitarajiwa kufika mwaka 2019 upinzani wote uwe ushakufa either kwa hila au kwa pesa, ndio kulichachamaa ununuzi wa wabunge na madiwani na...
  12. S

    Watanzania ni watu wa kuchekesha sana - wakati wa bajeti hizi nchi tunaziita washiriki wetu wa maendeleo, wakitukosoa na kushauri tunawaita mabeberu!

    Lazima kuna kitu hakiko sawa akilini mwa viongozi wetu na mashabiki wengi wa siasa wasio na uwezo mkubwa wa kufikiri kwa makini. Leo nasoma bajeti ya serikali, nakutana na maneno kwamba bajeti yetu pia itategemea msaada kutoka kwa washiriki wetu wa maendeleo (development partners). Sasa mimi...
  13. Wakulonga

    Takwimu za Corona zinatia shaka, si kwa Afrika hata kwa mabeberu

    Habari wana JF Ndugu zangu hizi takwimu zitolewazo na nchi husika mimi naona bado zina ukakasi sio tu kwa Africa hata kwa mabeberu inawezakana vip nchi kama Uingereza na Spain toka ugonjwa uingie huko hakuna aliyepona hata mmoja hii inaingia akilini kweli. Hivi kwenye ugonjwa huu mbona mabeberu...
  14. Z

    Mabeberu ni kina nani ,toa maana ya mabeberu

    Anayejua maana ya mabeberu atufundishe nchi,taifa au watu gani?toa maoni yako hapa
  15. Mtini

    Mabeberu wanaendelea kutuhujumu: Kwanini hawataki kubadilisha data za COVID19 zinazohusu nchi yetu?

    Baada ya usingizi kukata nikaamua kuingia kwenye mtandao maarufu wa Coronavirus Update (Live): 6,844,705 Cases and 398,141 Deaths from COVID-19 Virus Pandemic - Worldometer unaotoa taarifa za corona kwa kila nchi. Nimestaajabu kuona wanasema Tanzania bado tuna wagonjwa 305. Nachojua ni kuwa...
  16. Return Of Undertaker

    Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

    Rais Magufuli amenukuliwa akisema haya.. Wakati tunaingia madarakani tuliambiwa Tanzania kuna ugonjwa wa Zika, aliyetangaza na aliyetumiwa kutangaza nikamfukuza kazi (bahati mbaya ni Mgogo); Baada ya kumfukuza yule Mgogo aliyesema Tanzania kuna Zika na waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi...
  17. Chizi Maarifa

    Wivu tunaoonewa na Mabeberu hauelezeki. Wamefura mashavu kwa hasira. Tutawanyoosha tu

    Nadhani kuna somo watakuwa wamelipata...hawatutishi tishi,hawatubabaishi. Hatuhitaji misaada yao nasi hatuwapi ya kwetu. Huu ni wakati wa kuacha kushirikiana na WHO,IFM,WB,USA na West Countries ambazo zinadhani zina uwezo wa kulingana nasi. Walitegemea tungekufa kwa Corona kumbe ndo kwanza...
  18. Petro E. Mselewa

    Kuuliza si ujinga: Katika ugo wa kisiasa hapa Tanzania, 'Mabeberu' ni akina nani hasa?

    Inasemwa kuwa nchi yetu iko kwenye vita ya kiuchumi na maadui wakuu vitani humo ni 'mabeberu'. Wapo watanzania na wasio watanzania wanaotajwa kutumiwa na 'Mabeberu' kutukwamisha kwenye vita ya kiuchumi tuipiganayo Kama taifa. Inasemwa kuwa 'Mabeberu' hawafurahii kuiona Tanzania ikipiga hatua za...
  19. Cannabis

    Magazeti ya Mabeberu yameanza chokochoko El País wamuita John Magufuli, the African Bolsonaro. Nini kipo nyuma ya tuhuma hizi ?

    Gazeti la pili kwa uuzaji nchini Hispania El País limechapisha habari isemayo "John Magufuli the African Bolsonaro" kutokana na njia anayotumia kupambana na janga la virusi vya corona. Gazeti hilo limetaja viongozi kama Donald Trump (Rais wa Marekani) na Jair Bolsonaro (Rais wa Brazil) kama...
  20. N

    Ukweli hadharani: bado dakika chache tugundue vibaraka wa mabeberu kwenye TV stations

    Nasema hivi kuanzia saa moja usiku TV stations mbalimbali hurusha taarifa zao za habari na naomba muangalia vizuri sana tena kwa makini. - Wapo watakaotangaza habari ya kupigwa pini mipaka ya Kenya kwa huzuni sana - wapo watakaotangaza wakijifanya wana huzuni lakini facial expressions zao...
Back
Top Bottom