Dunia inaenda kwa kasi sana, ukizubaa unaachwa!
Wakati wa vita baridi neno Mabeberu lilitumika sana hapa Tanzania. Enzi zile beberu alikuwa ni mtu yoyote asiye mjamaa, mpinga mapinduzi, anayeamini katika soko huria na uliberali.
Polepole neno mabeberu lilianza kufifia baada ya kuanguka kwa...