Mungu hakika jabali
Muumba, Allah, Jalali
Kamuumbia mja akili
Yake pekee si ya wawili
Uko na wako mwandani
Mwanyegezana kitandani
Watazama ute ute kidoleni
Naye mwali aupepea ukuni
Wote mwatazamana usoni
Kwa mahaba wakisi kinywani
Wajua huyo wako maishani
Umemjaza mwilini na rohoni
Kumbe hapo...