Idadi ya Watu waliofariki kutokana na mafuriko Nchini Pakistan sasa ni zidi ya 1,200 huku mvua zikiendelea kunyesha na kuathiri wengine Milioni 33.
Waziri Mkuu wa Pakistan, Shahbaz Sharif ametembelea maeneo yaliyoathirika kuona uokoaji na misaada inavyoendelea kutolewa, wakati ambapo hali ya...