mahindi

  1. The Mongolian Savage

    Kwanini bongo kusikuwe na Black Friday tuchangamkie mahindi

    Mzuka! Ingependeza tungeiga hii makitu Black Friday kutoka kwa mabeberu ambayo ni kesho kuna punguzo la bei kwa kila bidhaa. Bongo ingekuwepo watu kesho tungechangamkia kununua magunia ya mahindi. Sasa hivi mahindi imeteka soko.
  2. M

    Soko huria hili? Wakulima wakizalisha mahindi mengi hakuna soko. Kukiwa na uhaba wa mahindi wanakumbukwa

    Kwa wale mliowahi kulima mahindi mnalijua hili utapata faida nzuri,pale tu ambapo wewe umepata wenzio hawajapata. Kwa lugha rahisi kabisa, mahindi hupanda bei kukiwa na uhaba na kwa muktadha waTanzania, ni lazima kuwe na uhaba wa mvua. Kama hali ya hewa ni nzuri nchi nzima,kutakuwa na mavuno...
  3. Suley2019

    Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  4. MwanawaMUNGU41

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Habari wadau, Baada ya kuwa kwenye ajira kwa miaka 10 na kuona msoto uko pale pale,nimeamua kuingia kwenye kilimo kama njia ya kuongeza kipato cha ziada. Nimeanza kwa kukodi shamba Ruvu kwani mimi niko Dar na niko kamili kwa kuanza na heka 2. GHARAMA Nimekodi shamba laki 3(@150,000),nikafyeka...
  5. M

    Msaada: Nitumie mbolea gani?

    Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga?
Back
Top Bottom