mahindi

  1. Analogia Malenga

    Kenya yatangaza kutopokea mahindi Tanzania na Uganda

    Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya Kenya imesema uchunguzi umebaini kuwa mahindi yayoingia kutoka Tanzania na Uganda sio salama kwa matumizi ya wakenya Wamesema mahindi hayo yana kiwango kikubwa cha mycotoxins, hasa aflatoxins na fumonisins ambazo yanajulikana kusababisha saratani Sumu hizo...
  2. Sky Eclat

    Dunia inakwenda kwa kasi sana, unaweza kusaga mahindi nyumbani bila kwenda mashine

    Wale wanaowekeza kwenye mashine za kusaga nafaka. Matumizi yatakua ni kusaga unga mwingi labda kwaajili ya taasisi au mikusanyiko ya watu. Kwa matumizi ya kawaida ya nyumbani unaweza kusaga unga wako nyumbani.
  3. B

    Naomba kujua wilaya inayoongoza kwenye kilimo cha zao la mahindi katika mkoa wa Morogoro

    Wakuu naomba kujua wilaya gani ni nzuri zaidi kwenye kilimo cha zao la mahindi katika mkoa wa Morogoro?
  4. R

    Nahitaji maghala ya kuhifadhi mahindi Songea na Dodoma

    Habari zenu wadau wa kilimo biashara. Tafadhali rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni mdau wa kilimo cha mahindi na naomba kujua namna ya kupata maghala ya kuhifadhia mahindi kuanzia tani 1000 kwa wakati mmoja kwenye hiyo mikoa. Pia ninaomba kujua gharama na muda wa kukodisha kwa kila...
  5. The Boss

    Mahindi ya kuchemsha

    Why mahindi ya kuchemsha ya mikoani au vijijini au pembezoni mwa jiji Yana ladha tamu kuliko haya ya mjini? Shida iko wapi? Wa mjini wanakosea wapi? Kutumia gesi? Umeme? Au aina Tu za mahindi?
  6. Gwallo

    Bei ya mahindi kwa sasa

    Wanabodi habari za leo! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja, nimelima mahindi na nikayahifadhi store maguni si mengi kama 200 hivi. Je kuna mdau yeyote anayejua bei ya kilo ni Shilingi ngapi kwa sasa kwenye eneo lako ulipo? Kwa Mkoa wa Arusha na maeneo mengi ya Wilaya zake bei ina-range...
  7. Samedi Amba

    Natafuta mahindi ya kusafirisha nje ya nchi

    Hello wanajamvi, Mtu fulani ughaibuni anataka mahindi, tani 100 (kilo laki), ila kwa Tshs. 400 kwa kilo. Kama hili linawezekana kwako, njoo tuongee. Mda huo unatupa kisogo...
  8. Mtini

    Niulize chochote kuhusu biashara ya mahindi na milling kwa ujumla

    Niko kwenye hii biashara kwa zaidi ya miaka 7 sasa, kwa wale wanaopenda kujua ABC karibuni kwa maswali.
  9. A

    Mahindi kilo 100 inaweza kuzalisha sembe kilo ngapi?

    Mahindi kilo 100 inaweza kuzalisha sembe kilo ngapi?
  10. mwanamwana

    Chuma Magufuli akitafuna muhindi wa kuchoma

  11. Superbug

    Nini kinafanya meno kuumia kwa hisia pindi mtu anaponoa kisu au kufikicha majani makavu ya mahindi?

    Kuna huu ugonjwa ambao siujui jina iwe la kiswahili au kingereza ila uko hivi...; Ukichukua kisu ukakinoa chini au; Majani makavu kabisa ya mahindi uyafikiche au ; Usugue chuma kwa chuma. Meno hupata hisia ya maumivu Sana bila hata kuguswa. Naifananisha hii Hali na maumivu ya mluzi kwenye...
  12. kimbendengu

    Naomba kujua bei ya mahindi soko la Songea Mjini

    Wakuu nahitaji kufahamu bei ya mahindi pale Songea Mjini kuna mdau anafahamu basi anisaidie maana nahitaji mzigo mwingi.
  13. T

    Nimeshangaa mahindi ya kutengeneza popcorn yanatoka nje

    Leo nilijisikia kutengeneza popcorn ili weekend iende vizuri, nikajivuta sokoni hapa Dar. Kwenye maduka ya nafaka. Naulizia mahindi ya popcorn naambiwa kilo moja 3500. Wananiambia mahindi ya popcorm asilimia kubwa yanatoka USA. Nimeshindwa kuelewa. Watanzania tumeshindwa kuchangamkia hii...
  14. T

    Wapi napata ile mifuko maalumu ya kuhifadhia mahindi inayozuia yasibunguliwe na wadudu?

    Hello, Natafuta mifuko/magunia maalumu ya kuhifadhia mahindi. Hiyo mifuko imekuwa maarufu kwa madai kuwa ina uwezo wa kuhifadhi mahindi na kuyazuia kubanguliwa na wadudu. Kama unafahamu naipata wapi Dar, nipe taarifa. Nataka nishuke nayo kijijini mara moja. tf.
  15. L

    Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

    Napatikana( Simanjiro) mji mdogo wa Orkesumet natafuta mtu mwenye mtaji tufanye biashara ya mazao kipindi hiki cha mavuno, mazao ya Mahindi na Maharage. Mawasiliano zaidi ni 0688057418 na 0757057873
  16. Hata Sina kinyongo

    Kwetu mahindi debe ni elfu Tano tu! Huko kwenu hali ya bei ya mazao ikoje?

    Haijawahi kutokea! Huku kwetu wilaya ya Kishapu mkoa wa Shinyanga bei ya mazao hususan mahindi ni yakuridhisha kwa kweli. Bei ya debe moja kwa mfano la mahindi ni tsh 5000 ilhali kabla ilikuwa ni tsh elfu ishirini! Kilichobaki ni shukrani zetu kwa Mwenyezi Mungu kwa neema hiyo. Huko kwenu...
  17. Bajeti ya kunguru

    Mchango juu ya kilimo cha mahindi kwa uzoefu wangu

    Wakuu heri na amani na iwe kwenu ni matumaini yangu kuwa hamjambo kama mimi. Kabla sijaenda kwenye mada nikiri wazi kabisa kipaji cha kuandika sina ila ninauwezo wa juu wa kusikiliza na kuongea tena bila kipaza sauti,kwa kipaza sauti huwa nashindwa kuongea kwa kiwango nilicho nacho. Baada ya...
  18. Boniphace Kichonge

    Waziri wa Biashara, Innocent Bashungwa ahaha mahindi yafike DRC

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema endapo Zambia haitaondoa vikwazo visivyo vya kisheria vya kuzuia mahindi, yanayotoka nchini kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kupita katika nchi yao, nao watawawekea vikwazo hivyo wasipitishe mizigo yao kuelekea Rwanda...
  19. Alhaji24

    Nauza pumba za Mahindi nipo Arusha

    Nauza pumba ya Mahindi zipo gunia 40 kwa kila gunia ni sh 25,000 nipo Arusha kwa anaye hitaji tuwasiliane 0712244293 au 0620416881
  20. Heri lee

    Nauza mahindi mabichi, maalum kwa ajili ya kuchoma

    Ndugu wana jamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza mahindi mabichi mahususi kwa ajili ya kuchoma.. Ninayo heka tatu ni yale makubwa mbegu DK 8031, Napatikana Moshi, nahitaji dalali au mtu anayeweza kuchukua yote kwa jumla, AU at least kuanzia heka moja..Huku wananunua matatu sh 1000...
Back
Top Bottom