Habari wana JF.
Leo nimeona nikusogezee huu uzi utakusaidia kwa namna moja ama nyingine.
Watu wengi hivi leo wamekuwa wakidharaulika sana, kuumizwa sana, wengine kupotezwa kabisa kwenye gemu (upambani au biashara) kwa kushindwa kutengeneza mfumo mzuri wa ulinzi wa taarifa zao au mambo ambayo...