maisha

  1. Manyanza

    Vigezo vinavyopelekea kuwa na filosofia fulani ya maisha

    Filosofia ya maisha ni mkusanyiko wa imani, maadili, na mitazamo ambayo mtu anayo kuhusu maisha, ulimwengu, na nafasi yake ndani yake. 1.Malezi na Mazingira: Familia, tamaduni, na jamii anayokulia mtu vinaweza kumshinikiza kuwa na mtazamo fulani wa maisha. 2.Elimu: Mafunzo rasmi na yasiyo...
  2. G

    Video ya shambulizi makini: Israel ina target magaidi kwa kujali hata maisha ya wanyama, maafa ya raia wengi ni kutumiwa kama ngao za magaidi.

    Ni mfano wa shambulio la kupunguza casualities, wameyapa thamani maisha ya farasi kisha kuwatungua magaidi watatu kwa mpigo Wiki kadhaa zilizopita kiongozi wa Hamas alitunguliwa, casuality ya ziada ilikuwaa ni ya mlinzi wake labda walikuwa wamelala kitanda kimoja. Rais wa Iran alitunguliwa...
  3. BigTall

    Wanachimba Michanga wanahatarisha Maisha yetu Kisarawe Two (Kigamboni), hawataki kusitisha mchakato huo

    Uchimbaji huo wa mchanga umekuwa ukifanyika kwa zaidi ya miaka minne sasa, tumeripoti kwenye Mamlaka mbalimbali lakini bado wahusika wamekuwa wakiendelea na hivyo kuweka nyumba zetu kwenye hatari ya kubomoka hasa kipindi cha mvua. Uchumbaji wa michanga maeneo ya Mwaninga, Chekeni, Kisarawe II...
  4. Morning_star

    Kama hutaki kupigana vita vya kutumia nguvu za kiroho Mungu/giza kamwe sahau maisha safi! Utaishia kuwa masikini!

    Kuna wazazi hawataki watoto wao waongoze darasani kwa kuogopa kulogwa! Kuna watu wakichomoza katika biashara watagundua adui wake wa kwanza ni shetani baada ya kuanza kutupiwa majini na ndoto za mashambulizi usiku na nyoka/wanga/unawindwa kuuawa! Kama una ndoto za kuwa kiongozi kama ujajijenga...
  5. C

    Maisha ya ndoa na familia

    Sehemu YA kwanza *(Uandishi wangu si mzuri sana) Jina langu ni Vintage1q. Nimezaliwa mwishoni mwa miaka YA themanini na kukulia ughaibuni kwa takribani miaka 12. Nimezaliwa katika familia YA hali YA chini kabisa na mimi nikiwa ndo mtoto wa kwanza wa kiume. Kukulia na kuishi ughaibuni kwa miaka...
  6. W

    Ni kosa gani umewahi kufanya na hauwezi kulirudia tena kwenye Maisha yako?

    Kipindi nasoma A level kuna Aunty yangu alinikopa hela tena ilikuwa ada ya shule ili afanye kama mtaji wa kuanzisha biashara yake ya kuuza mashuka ya mitumba akasema atairudisha kabla hatujaanza kufanya mitihani ya mwisho wa muhula. Tukazungushana wee kumbe hakuna cha biashara wala nini. Sijui...
  7. Glenn

    Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

    Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana. Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30. Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari. Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau...
  8. W

    Ni wimbo gani unahisi unaweza kutumia kuelezea Maisha yako?

    NARINGA- ZUCHU Mh-mmh Nani Roney? Ah, Roney (he-hey, yoh Tron) Sing, mmh, eeh Let sing, come on, eeh Sioni aibu Kwa kila linalo nifika Maana kukosea ni wajibu Mola ameshaandika Na sianguki, mimi nimechaguliwa Nnae mtegemea hachoki Hajawahi kupitiwa Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza Vinanipa...
  9. Ngongo

    Mch Msigwa hakuwa kubeba Bible katika maisha yake yote ya Uchungaji.

    Heshima ssna wanajamvi. Sasa ni wazi Mch Msigwa ni mmoja wa wale wanasiasa waliolamba fedha za Abdul. Katika hali ya kustaajabisha Mch Msigwa hakuwahi kubeba Bible takatifu hadharani na kuwaaminisha waumini wakikifuata na kukitii kitabu hicho kitakatifu watakwenda Mbinguni. Mheshimiwa Abdul...
  10. Said Shagembe

    Maisha na Bajeti

    Katika jamii yetu kawaida ya watu wanashindwa kufikia malengo Yao kutokana na kile wanachoamini kuwa kipato hakitoshi. Kiuhalisia ukimuuliza matumizi yake ni shi ngapi kwa mwezi au kwa siku hawezi kulipa jibu la moja kwa moja kwani wengine wao hutumia kulingana na kile anachokipata kwa siku...
  11. BabaMorgan

    Kuna aina ya mahusiano ni muhimu ili maisha yaendelee

    Kuwa na mahusiano na Mwanamke ambaye anapatikana muda wowote pale anapohitajika ni kitu cha muhimu sana kwa sisi ambao bado tunapigania kombe na hatuna wake. Kuna jirani yangu alikuwa ananisaidia sana wakati wote sikuwahi kuiona value yake mpake pale alipohama mkoa kutokuwepo kwa huyu binti...
  12. T

    Lissu umeutumikia upinzani na kumwaga damu yako kwa gharama kubwa, upinzani uliokoa maisha yako, kulikoni?

    Kusema ukweli sitegemei Lissu atoe kauli alizozitoa kuwa CHADEMA siyo mama yake, ni kweli wote tunafahamu hivyo lakini angalia historia yako kwenye upinzani, na hadi ulipopigwa risasi. Nadhani hakuna aliyeteseka na kupigania haki za watanzania kama wewe. Safari ya mapambano ni ndefu na ngumu...
  13. BARDIZBAH

    Sehemu za kwenda kutafuta maisha kwa vijana ni hizi hapa Tanzania

    Habari ya 8 8 viongozi, Njooni tupeane connection ya sehemu ambazo zina potential kwa sisi vijana kwenda kujipambania. Nitaanza kama ifuatavyo. 1. Dar es Salaam na viunga vyake Ebhana hii sehemu ukiwa na nidhamu ya pesa ukaweza kucontrol matumizi vizuri Basi Mwenyezimungu anaweza kukunyooshea...
  14. Chawa wa Zamani

    Case study; Binti wa Yombo Dovya kaifanya nchi nzima kujadili(petty issues) ili Hali Kuna mengi ya msingi mno katika maisha yao wameyakalia Kimya!

    Sina namna nyngne zaidi ya kusema Ajabu ! ajabu ! Naomba watu waje kunisaidia kushangaa! Kwa akili hizi zenye unyaufu uliyotukuka. Yaani kutwaaa kila mahali ,kila Kona kila chocho wakike Kwa waume wanasema jambo hilo tu. Hivi hilo tukio n la kwanza ? mbona yule aliyefanyiwa kule Tanga na kina...
  15. B

    Fatma Karume uso kwa uso na Kikeke, Rukii, yanayo endelea uchaguzi TLS, kuhusu maisha yake

    Fatma Karume atoa shule kwa waandishi habari na wananchi juu ya umuhimu wa TLS Tanganyika Law Society https://m.youtube.com/watch?v=6Ga1OhmOZNI Fatma Karume wakili bobezi aliyesajiliwa Middle Temple London, Mahakama Kuu Tanzania na Mahakama Kuu Zanzibar anatoa somo kazi kubwa ya TLS ni...
  16. TUKANA UONE

    Ugumu wa Maisha nchini Marekani upo kwenye nini hasa?

    Ubaya Ubwela & Nyie Hamuogopi vimepita,tujikite kwenye mada kuntu! Kuna mshikaji wangu mmoja tulimaliza wote Sekondari na bahati nzuri hata chuo tukasoma wote,Mimi na yeye tulitokea Kuwa marafiki sana na hata hapo nyuma Kuna Uzi niliuweka hapa unaohusu maisha ya Ughaibuni nilimzungumzia! Baada...
  17. realMamy

    Maisha ya Chuo na Kujitolea

    Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ni Moja kati ya Vyuo nchini Tanzania ambacho unaweza kusoma na kujitolea kufanya kazi pia. Kwa wale waliosoma UDSM-SJMC watakuwa wananielewa kuwa kutokana na ile Televisheni,Radio na Gazeti wanafunzi wanaojitolea kufanya kazi hapo huwa wanapata kipato...
  18. Mturutumbi255

    Je, ni sahihi kwa kijana kujitolea maisha yake kwa ajili ya familia, au kuna njia nyingine bora za kusaidia bila kuhatarisha uhai?

    Kijiji cha Nyansato, kipo katikati ya Tanzania, ni kijiji kinachojulikana kwa mandhari yake ya kuvutia, lakini ndani yake kuna hadithi ya huzuni na mateso. Hii ni hadithi ya kijana aitwaye Daudi, mwenye umri wa miaka kumi na saba, ambaye alikuwa na ndoto kubwa ya kuokoa familia yake kutoka...
  19. Tlaatlaah

    Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

    sio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno. unadhani wamekomazwa na nani, wapi? Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima.. Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
  20. Mwamuzi wa Tanzania

    Ukiona umefikia stage hii umekwisha

    Kuna mambo madogo madogo na yamezoeleka lakini ni ishara mbaya. Taa nyekundu imewaka mbele yako, jitafakari. Naandika haya kwa experience ya mambo niliyoyaona na kuyasikia katika jamii. Sometimes nimepata experience Mimi mwenyewe. 1. Ukijiunga kwenye kikundi cha kufa na kuzikana ili usaidiwe...
Back
Top Bottom