maisha

  1. Number ni 26

    Wewe ndiye dereva wa maisha yako mwenyewe, don't expect to be adjusted!

    Wakuu kwema? Habari za weekend. Najua wengi wameshaongea ila me nakumbushia tu kuhusu hili jambo. Wengi wetu huwa tuna matarajio makubwa sana hasa pale inapoonekana kuna tagi inabidi likufikie kutoka kwa mtu yeyote awe ndugu au rafiki. Lakini huwa tunavunjika moyo na kuwaona watu wabaya...
  2. Venus Star

    Somo la Kujitambua: Mara nyingi watu hupigana na kuuana kwa mambo ya kufikirika (People often fight and kill each other over imaginary things)

    MAMBO YA KUFIKRIKA YALIYOPO DUNIANI NI YAPI? Kuna mambo mengi sana ya kufikirika yameundwa na kupewa uhai ambayo yanaleta ugomvi mwingi kwa watu hapa duniani. Katika masomo yangu haya niliyoyaanzisha ya kujitambua, kuna watu watajifunza na kufunguliwa nafsi zao na kuwa huru. Baadhi ya mambo ya...
  3. L

    Eng Hersi mwache Mzize akamalize soka lake Wydad, unamuharibia maisha

    Mzize hana umri unaotaka kuwaaminisha watu, sio young player, wengi tunamfahamu Mzize, muache akacheze soka huko anakoliliwa, Mzize maisha yake bado hayajakaa sawa na njia pekee kwake kutoboa ni kwenda Wydad akacheze, hapa Yanga wewe shs ngapi Injinia. Halafu nikuambie tu washabiki wengi wa...
  4. K

    Okoa maisha ya uwapendao kwa kuacha matumizi ya nishati zisizo safi za mkaa

    Okoa maisha ya uwapendao kwa kuacha matumizi ya nishati zisizo safi za mkaa, kuni na nyinginezo. Matumizi ya nishati zisizo safi husababisha athari za kimazingira zinazopelekea mabadiliko ya tabianchi kama kuongezeka kwa joto, mvua zisizokuwa na mpangilio, ukame pamoja na uharibifu wa mfumo wa...
  5. J

    Kuwapenda Adui Zetu Katika Maisha ya Kila Siku

    Kuwapenda Adui Zetu Katika Maisha ya Kila Siku Katika mahubiri yake, Yesu alisema, “endeleeni kuwapenda adui zenu” (Mathayo 5:43-44; Luka 6:27, 35). Maneno haya yanamaanisha tunapaswa kuwatendea kwa upendo wale wanaotuchukia au kututendea vibaya. Hakuna mtihani mgumu ambao Kristo alitupa katika...
  6. Pdidy

    Kwenye maisha usikate tamaa

    Mungu ndie mpaji wa yotee All d best br
  7. One yes

    Kipi kinauma zaidi kwenye maisha?

    Kwenye maisha ni kipi kinauma zaidi hasa kweny mazingira tunayo ishi ya kila siku?? 1.kufiwa na mzazi au wazazi 2.kufiwa na mpenzi au mke 3.kufumania au kufumaniwa na mke au mume wa mtu 4.kuacha au kiachika na mchumba au mpenz au mke 5.kutengwa na marafiki ndugu au wazazi...
  8. King Jody

    Watoto wa kambo na mayatima huwa wanapitia maisha magumu sana

    Siyo wote ila kuna baadhi ya wazazi\walezi wanaishi vizuri na watoto ambao siyo wao kiasi kwamba usipoambiwa siyo wazazi wao huwezi kamwe kujua. Nimewahi kushuhudia kisa cha mtoto wa yatima katika familia fulani, yeye alifiwa na wazazi wake wote wawili hivyo ikabidi achukuliwe na ndugu wa...
  9. nipo online

    Kuna wakati maisha yanasimama kabisa

    Yani ukichunguza kwa makini kuna wakati unaona kabisa pesa mfukoni haitulii na hata kuingia kwake ni taratibu Sana huku miaka Inaenda tu.
  10. ChoiceVariable

    Aliyedai kuvunjwa mguu na kigogo wa Polisi Arusha, adai kutishiwa maisha

    My Take Yule RC wenu wa Taifa anaejiita mtetezi wa Wanyonge Ajitokeze kusimamaia Haki ya huyu mnyonge anaedai kutendewa unyama na kigogo wa Polisi huko Mkoani kwake Arusha. Kipimo sahihi Kwa hao watu wanaojigamba ni kutetea watu walioumizwa na wale wanaowalinda au kuwatuma ndio tutajua...
  11. W

    Ni kitu gani ukilipwa unaweza kukifanya maisha yako yote?

    Ikitokea fursa nilipwe kwa ajili ya kufanya kitu kimoja tu maishani mwangu. Ningechagua kusafiri kuona na kujifunza vitu vipya. Kama wazungu wanavyosema we Only live Once Wewe ungechagua kufanya nini na kwa sababu gani?
  12. realMamy

    Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi kuanzia kidato cha tano na Sita wanadhani Maisha ya Chuo ni ya Starehe sana bila kujua undani wake. Baadhi ya wanafunzi huenda Chuo wakiwa na matumaini makubwa sana ya kutimiza ndoto zao. Lakini Ndoto hizo hukwamishwa na vitu vingi hasa kwa wale...
  13. Kaka yake shetani

    Mtu Aliyehukumiwa Miaka 13 Jela Asahaulika Kukamatwa, Badala Yake Akageuza Maisha Yake

    Mtu huyu alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela, lakini walimsahau kumkamata. Mnamo mwaka 1999, Cornealious Anderson alihukumiwa kwa kosa la ujambazi akiwa na silaha huko St. Charles, Missouri, na kuhukumiwa kifungo cha miaka kumi na mitatu gerezani. Akiwa nje kwa dhamana, Cornealious na wakili...
  14. Teslarati

    Hivi ulishawahi kuishi kwa kudra za washikaji, haya maisha yasikie tu

    Miaka ya zamani kdg ndo nimemaliza chuo nikapata kazi kwenye NGO moja hv. Huko nikawa naponda sana mali, yaani ilikua ni gambe na mademu tu. Mara paaa NGO ikamaliza issue zake wakafunga virago, nikabaki sina kazi na hapo nilikua nimempa mimba binti mmoja hivi na ndo ilikua mimba ya mtoto wangu...
  15. Mhafidhina07

    Watu wa Jadi vs Dini Mnafikra gani kuhusu maisha?

    Jadi ni mila za kale na potofu? vs Dini shughuli za kibiashara ambazo zimeletwa kutudumaza akili? vipi kuhusu pagans/athens?
  16. GENTAMYCINE

    Kuna tatizo lolote Kimantiki kwa Asiyeoa au Asiyeolewa Kukushauri mambo ya Maisha yako ya Ndoa na Changamoto unazozipata?

    Na ni nani aliyewadanganya Waswahili kuwa ili uwe Mshauri mzuri wa Jambo fulani basi ni lazima uwe una Uzoefu nalo kwa Wewe mwenyewe kukupata? Tanzania mpaka sasa ( japo wapo wanaojitahidi ) ila bado sijaona Mchambuzi Mahiri wa Mpira wa Miguu kama Dk. Leakey Abdallah ( mwana Liverpool FC...
  17. MFALME WETU

    Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

    Samaleko.. Kabla hujawaza kwenda Ulaya, America au Asia kula maisha jitaidi sana uanzie Zanzibar ujionee maajabu ya bei za vitu. Kiufupi Huku Zanzibar ni sawa tu na Ughaibuni, ukiweza kumudu kula bata kwa muda wa mwezi mmoja maeneo kama Kendwa, Nungwi, Kiwengwa au Paje basi unaweza kumudu kukaa...
  18. Saad30

    Maisha hayataki mchezo

    Habari wakuu. Asee hii game ya Maisha ni hatari sana, ukifanya hivi maisha yanakwambia achana na hizo mambo. Unajiuliza hivi Mimi nimezaliwa kusindikiza wenzangu katika hii zawadi ya Dunia? Unapiga Moyo konde na kusema Wacha nisonge mbele asee hujafika hatua kadhaa unaskia asee Kuna michango...
  19. Mjanja M1

    Ni maamuzi gani magumu umeshawahi kufanya kwenye maisha yako?

    Maamuzi gani magumu umeshawahi kufanya mpaka sasa huamini kama ni wewe ulifanya yale maamuzi? Tiririka Mkuu..... Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Paris nchini Ufaransa 🇫🇷
  20. Mjanja M1

    Usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini lakini anaishi maisha ya kifahari

    Nakuonya ewe kijana, kamwe usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini na hana kazi yoyote lakini anaishi maisha ya kifahari na matanuzi. Wengi wao ni wauza Mbususu wa kimya kimya. MLIOAMUA KUOA CHUKUENI DARASA HILO KUTOKA KWA MJANJA M1. Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
Back
Top Bottom