makazi

  1. Suley2019

    Watu 18 wamekufa na wengine wapatao 200 Wamekosa makazi katika jimbo la New South Wales kutokana na moto uliotokea nyikani

    WATU 18 wamekufa na wengine wapatao 200 kukosa makazi katika jimbo la New South Wales nchini hapa kutokana na moto wa nyikani, uliotokea hivi karibuni. Polisi imethibitisha kutokea vifo hivyo. Watu wawili walikutwa katika magari tofauti jana asubuhi. Pia yupo baba na mtoto ambao walibaki kwenye...
  2. Influenza

    Uganda: Watu 36 wafariki, wengi hawajulikani walipo huku maelfu wakiwa bila makazi kutokana na mafuriko

    Shirika la Uokoaji la Msalaba Mwekundu Nchini humo linaloendelea na uokoaji katika Wilaya ya Bundibugyo limesema kuwa watu wengi bado hawajulikani walipo kutokana na mvua kubwa zinazonyesha Mashariki mwa Uganda Waziri wa Kujikinga na Majanga na Kushughulikia Wakimbizi, Musa Echweru amesema...
  3. Miss Zomboko

    Madhara ya mvua Babati: Kaya zaidi ya 400 zakosa makazi

    Zaidi ya ya Kaya 426 Wilayani Babati Mkoa wa Manyara hawana makazi baada ya Nyumba zao kuanguka na nyingine kuzingirwa na maji kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani humo huku pia mashamba na miundombinu ya barabara ikiathiriwa vibaya. Vijiji vilivyoathiriwa ni Moyamayoka ambako...
  4. Influenza

    DR Congo: Takriban watu 28 wamefariki baada ya ndege kuanguka katika makazi ya watu

    Watu ishirini na nane wamefariki huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, kutokana na ajali ya ndege iliyokuwa imebeba watu 18 wakiwemo rubani wa 2 na abiria 16 na wengine 10 ni wakazi wa eneo ambapo ndege ilianguka Ndege hiyo ilianguka katika mji wa Goma, kwenye mtaa wa Birere...
  5. Miss Zomboko

    Sudan Kusini yazidi kuathirika na mafuriko, zaidi ya watu laki 4 hawana makazi

    Shirika la kimataifa la misaada la Save the Children limesema zaidi ya watu 420,000 wamelazimika kuondoka kwenye makaazi yao kutokana na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Sudan Kusini. Shirika hilo limesema, kiasi asilimia 60 ya walioondoka, tayari walikuwa wanakabiliwa na utapiamlo mkali...
  6. Dr. Wansegamila

    Dkt. Shika sasa ana maisha magumu, hana pa kuishi

    'MIA TISA ITAPENDEZA' SASA AGEUKA KUWA 'CHOKORAA' : Dokta Luois Shika maarufu hapa nchini kwa Jina la '900 Itapendeza' alipozungumza kwa uchungu na huzuni kuhusu maisha anayoishi sasa. Dokta Shika alijizolewa umaarufu mkubwa lakini katika maisha yake binafsi amekuwa na panda shuka nyingi huku...
  7. Gama

    Upangaji na upimaji wa viwanja vya makazi jiji la Dodoma ni maslah ya nani?

    Ninatazama jinsi mji wa Dodoma ulivyopangwa na namna viwanja vya makazi vinavyopimwa kwa masikitiko makubwa. Viwanja vingi vinavyopimwa ni vidogo mno kwa mahitaji ya makazi ya kizazi cha sasa. Ninachojiuliza: uchafu huu unafanywa kwa maslah ya nani?
  8. Sigara Kali

    Hapa ni Gbadolite, Kijijini kwa dikiteta Mobutu Sesseko Kuku Wazabanga, nyumba zimegeuka Magofu na mahame

    Mobutu Sesseko Kuku ngendu Wazabanga baada ya kuingia madarakani kimabavu akaanza utawala wa kidikteta Akajenga ikulu/kasri kubwa kijijini kwao Gbadolite ,akajenga uwanja mkubwa wa kutua ndege tena zilikua zile Concord ,uwanja huu alijenga kijijini kwao Mobutu alipandisha hadhi kijiji cha kwao...
  9. DarProperty Tz

    Soma Jarida la The Darproperty bure, fuata link hii http://www.darproperty.co.tz/monthlyIssue/viewLatestMagazine

    Jipatie taarifa na maarifa mbalimbali kuhusu sekta ya miliki kuu kupita jarida hili. Soma Jarida la The Darproperty bure, fuata link hii The Magazine(March 2019)
Back
Top Bottom