Ni tumaini langu wote wazima.
Naandika uzi huu kwa ombi la msaada. Kwa kweli, mambo yameniendea ovyo, nikiwa jijini Dar es Salaam.
Kazi ilisimama, katika kusaka nyingine, kodi ya nyumba ikaisha nikiwa sina kitu.
Hapo nyuma, familia nayo inanitegemea kwa kila kitu.
Kiukweli, ukilinganisha...