Jully Makini (also known as Jully Sipolo) (born c. 1953 (age 64 in 2017)) is a Solomon Islander poet, writer and women's rights activist. The author of poems such as Civilized Girl (1981) and Praying Parents (1986), in June 2017 she received the International Women of Courage Award from the US Secretary of State for her work in promoting women's rights in the Solomon Islands.
Ishu ya kuuziwa gari na fake kilometers ni jambo la kawaida sana kwa mtu ambae hata kuwa na umakini wa "umakini" tumezoea magari Used kuchezewa kilometa kwenye yard za bongo, lakini kumbe hata Japan wanacheza nayo vile vile. Nina mfano hapa chini wa INSPECTION CERTIFICATE na EXPORT CERTIFICATE...
Wamarekani walionekana kumkubali sana mwanamama Kamala Haris. Ila lilipofika suala la kupiga kura ya urais, wakatafakari mara ya pili. Kuwa Mwanamke aongoze nchi? Inawezekana? Hapo ndipo wakatulia na kupata majibu,wakamtosa wakamchagua kaburu Trump. Watanzania tuwe na la kujifunza hasa...
Hello!
Ofisi yetu ya umma ina mabinti zaidi ya 20, iko Dar es salaam.
Kati ya hao mabinti zaidi ya 20 mabinti zaidi ya 10 kila mtumishi anajua kuwa bosi kawapitia. Hapo hatujahesabu wengine ambao aliweza kutembea nao kwa siri zaidi.
Kati ya hawa mabinti wapo wake za watu na wachumba wa watu ...
Nawahusia vijana kwa sasa kuna changamoto nyingi sana katika ndoa na ukweli ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wanawake kujaa viburi na kutokuwaeshimu wanaume wao.
KIJANA KAA MBALI NA BINTI ALIYE LELEWA BILA BABA na usipumbazwe na ulokole feki utakaokuwa kwa Mama yake kwa maana single mother...
Kwamba tendo la ndoa (kwa wanandoa)/Zinaa (Kwa wasio wanandoa) huweza kuwa njia huweza kuwa njia au mlango wa kuifikia roho yako kwa namna hama nyingine.
Watu wawili wakiwa wanashiriki tendo hilo huwa si tena wawili wanakuwa wameungana na kuwa mwili mmoja kabisa, hii inawaunganisha kimwili...
Wadau naomba ushauri nami nimiliki ndinga yangu ya kwanza kati ya hizi,
Honda crossroad,
Toyota Voltz
Mitsubish outlander au
Suzuki Escudo ile ina muonekano kama wa Rav 4 fulani hivi.
Ushauri in terms of fuel consumption, durability na urahisi wa kuliuza tena huko mbeleni.
Habar za muda Huu wana jamvi leo mida ya saa sita mchana ilinipigia Namba hii 0749935122 ambayo ni ya huyo tapeli alijitambulisha kwangu anaitwa Mr Elias alipata taarifa kuwa Mimi ni fund Kuchomelea kwaiy ana sait yake Ipo mtaa flani ambao upo KM 15 Hiv toka ninapokaa Mimi anataka ikapimwe...
kuna maono ninayo kuanzia weekend ya week hii na mpaka week zijazo uko uwezekano ukapata hela ambayo itatosha kabisa kuwa ni mtaji na ukatimiza mawazo yako.
Lakini pia dunia iko katika kipindi cha ku shake hivyo kuna uwezekano wa ongezeko la majanga ya asili ama yasiyo ya asili...
Kuruhusu programu kupata taarifa binafsi kama vile eneo, kamera, na namba za simu "Contacts" inaweza kuwa na madhara, kwani zinaweza kukusanya na kutumia taarifsa zako binafsi bila mtumiaji kujua au kutoa ridhaa.
Pia inaweza kuongeza matumizi ya data na kupelekea chaji ya simu kuisha haraka...
Mkopo juu ya mikopo.
Kusaini mikataba ya kukunyonya basi tu ili upate hata kidogo cha kujikimu.
Kuridhia masharti ya mganga ya kuleta damu ya mtu.
Kuuza kiwanja kwa bei ya bure ili kupunguza makali ya tabu.
Kumuua baba ili urithi mali maana uvivu wako umekuletea njaa kali.
Kumpiga kibuti...
Mkutoka hapo mkafunge mkaombee sio jambo la kawaida nawashauri
Na ishahidi wengi yaliyowatokea wamelia kwenye ndoaa nami nataka wewe unaejiandaa kwa ndoa usiogope
Ikikutokea hiili nendeni mkakemeee mkaombe tobacco na rehema kuna rohoo mmetupiwaa
Msisahauu kutoa sadaka kwa ajili yahayo maombi...
Habari Za Miangaiko Familia yangu humu JF,
Naomba Muwe makini na Hizi Benki Mimi uwa Ninatoa pesa kwenye ATM Halafu napata Meseji ya Balance iliyobaki.
Sasa Leo nikaamua tu nipige Mahesabu pesa Nilizotumia kwa Miezi Mitatu Si nikakuta kuna Laki Tano haipo kucheki kumbe nilitoa Elfu Hamsini...
Ni jambo dogo hili ninalokuambia lakini please take care.
Watu hawasamehi, hawasahau kwahiyo kama kuna mtu alikutendea ubaya kuwa naye makini, hajasahau. Ipo siku atatamani akutendee tena ubaya uleule au ubaya mwingine.
Kuhusu kutokusamehe , yes watu hawasamehi, kama ulimfanyia mtu mafisango...
Tanzania ya sasa sio ile ya zamani. Pamoja na ukuaji wa habari na teknologia kuna ongezeko kubwa la watoto na vijana wengi. Umri wa kati Tanzania ni miaka 19.
Tusishangae kuona wasanii wamejaa kwenye mikutano ni kwasababu yangu vijana wadogo. Kijana wa miaka 21 hawezi kujali katiba au kuelewa...
Tunafundishwa kua wavumilivu siku zote katika maisha yetu. Lakini kuna baadhi ya mambo ukivumilia unaonekana unawaapa watu picha namna ya kukuendesha.
Kwa ufupi sio kila jambo unatakiwa kuvumilia mengine unatakiwa kuchukua hatua ili kulinda heshima yako. Asanteni.
Ww kama mwanamke mwenye akili timamu usiwahi kunyanyua mkono wako kumpiga mwanamke mwenzio au kumletea Fujo yoyote kisa anatembea na bwana ako...mwanamke anatongozwa..na Kwa madai ya kwamba alijipeleka mwenyew..swala linarudi pale pale kwamba huyo mwanaume na yeye alikubali ilhali anajua ana mke...
Hadi sasa inaelekea Kuna mvutano mkubwa Kati ya serikali na CHADEMA, kuhusu maandamano ya amani, yaliyopangwa na CHADEMA tarehe 23 mwezi huu, kama serikali itakuwa haijatoa taarifa yoyote kuhusu kifo Cha kiongozi wao Ali Kibao na haitaeleza walipo viongozi wao wa vijana, akina Deusdedit Soka na...
Wengi hamuoni kile ambacho mimi nakiona, mtu unaona kabisa hii ni hatari ila watu wengi wqnachukulia poa.
Ahly Tripoli ina skills za kukaba na kuzuia ambazo sijawahi kuziona hapo CAFCC na CAFCL,
Timu inauwezo wa kupiga pasifupi fupi na pasi ndefu kwa usahihi,
Wana akili ya mpira na wanafanya...
Ohaaaaaa,
Kama wewe ni dereva soma hapa kwa makini,
Hasa kama unabeba abiria ,Uliembeba kila mmoja ana sababu zake kwa nini amesafiri.
Bahati mbaya dhamana ya uhai wao iko juu yako.
Kuna anaeenda kutibiwa,yupo anaeenda hudhuria mazishi ya ampendae ,yupo anosafiri kwenda iona familia yake...
Ndugu zangu Watanzania,
Katika mambo ambayo CCM huwa makini nayo na kutofanya mzaha au majaribio au kukosea basi ni katika suala zima la kusuka safu nzima ya uongozi wake ndani ya chama.inafanya hivi kwa sababu inatambua kuwa CCM ndio moyo wa Nchi,ndio itoayo Dira na muelekeo wa Taifa letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.