malalamiko

  1. Mr Why

    DOKEZO Malalamiko ya mkataba wa DP World yapelekwe CCM, Rais Samia hana makosa sababu anatekeleza sera za chama chake

    Ndugu zangu Wananchi, kuna jambo tunasahau kuhusiana na mkataba wa DP World. Malalamiko ya mkataba huo yamekuwa mengi sana lakini tatizo letu wananchi tumeshindwa kujua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan hapaswi kulaumiwa hata kidogo, ni Rais msafi na mcha Mungu. Malalamiko yanayohusiana na mkataba...
  2. Mwl.RCT

    SoC03 Kuwa Na Sikio La Kufa: Kuwa Tayari Kusikiliza Maoni Na Malalamiko Ya Wengine

    KUWA NA SIKIO LA KUFA: KUWA TAYARI KUSIKILIZA MAONI NA MALALAMIKO YA WENGINE Mwandishi: Mwl.RCT UTANGULIZI Katika ulimwengu wa leo, jamii zetu zinakabiliwa na changamoto nyingi. Kutokana na ongezeko la idadi ya watu, mabadiliko ya hali ya hewa, na migogoro ya kisiasa, ni muhimu zaidi kuliko...
  3. L

    Malalamiko dhidi ya China hayaisaidii Marekani kukabiliana na tatizo la dawa za kulevya

    Wizara ya Sheria ya Marekani hivi karibuni ilitangaza kuzishtaki kampuni na raia kadhaa wa China kwa madai ya kuzalisha na kuuza malighafi za dawa za kulevya. Hii si mara ya kwanza kwa Marekani kuihusisha China na suala la dawa za kulevya nchini humo. Lakini swali ni kwamba, je, tatizo la...
  4. Mary Abely

    SoC03 Chanzo cha malalamiko juu ya mfumo wa kodi, suluhu ni lipi ili kuhamasisha walipa kodi

    UTANGULIZI Kodi ni muhimu kwa kila mwananchi, kwa maana hutoweza kuiwajibisha serikali kama hulipi kodi. Pia ni muhimu kulipa kodi ili kupata huduma bora kama elimu, ulinzi, afya na miundombinu. Mbali na umuhimu wa kulipa kodi, Tanzania imekua ikikumbwa na malalamiko juu ya juu ya sheria tofauti...
  5. Roving Journalist

    Malalamiko ya magari ya Mwendokasi kwenda kwa kasi Kariakoo bila kujali kuna idadi kubwa ya watu

    Mdau wa Jamii Forums ameandika malalamiko yake kuhusu mabasi yaendayo haraka Jijini Dar es Salaam Magari ya Mwendokasi yanapita kwa kasi kubwa sana hapa Kariakoo, na nature ya Kariakoo ni watu wengi ndani ya huu mwezi magari hayo yameua zaidi ya watu wanne hapa kwenye Barabara inayotumiwa na...
  6. Ivan Stepanov

    Wanaume naomba tuwapumzishe wanawake hapa Jukwaani, imekuwa kero na aibu sasa haya malalamiko yetu kila saa

    Kichwa cha uzi kinajieleza. Guys, nafikiri hawa wanawake sasa tuwapumzishe, this is too much maana halipiti lisaa limoja uzi kuhusu mwanamke uko posted. Na kibaya zaidi ni wanaume ndio wanalia lia kuhusu hawa wanawake, mara wanawake hivi, mara wanawake vile, jamani ndio kusema wametushinda...
  7. Scars

    Yanga yamshitaki Feisali Salum kwenye kamati ya nidhamu

    Kamati ya Sheria na Nidhamu ya Young Africans imemuelekeza Feisal kuwasilisha utetezi wake juu ya tuhuma zinazomkabili ndani ya siku 7. Pia Kamati imemuelekeza kuhudhuria Kikao cha Kamati ya Sheria na Nidhamu kitakachosikiliza mashtaka dhidi yake jana tar 24 Mei 2023 pamoja na muwakilishi wake...
  8. DART Mwendokasi

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    DART Tumeanzisha ukurasa huu rasmi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kwa lengo la kupata maoni, ushauri , mrejesho na hata malalamiko yanayohusu huduma zetu. Aidha tunawahakikishia watumiaji wa huduma zetu kuwa maoni, ushauri, malalamiko, Pamoja na hoja zenu juu ya huduma zetu...
  9. C

    Acheni walimu wapate hivyo vipesa vidogo, acheni kulalamika tumewachoka

    Unafikiri michango yenyewe ni pesa nyingi ni fikira za ujamaa ndo zinazowasumbua, na michango yenyewe husaidia watoto lakini wana lalamika unadhani wana lipa laki hawajazoea kusomesha. 1. Mitihani ijuuma 500@ kwa kila mtihani. 2. Shilling 300 za uji kila siku. 3. Mchango wa 1000 kwa study...
  10. DullyJr

    Geita: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lalamikia wananchi wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure

    #HABARI: Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, limewalalamikia wananchi wa Mkoa huo wanaotumia muda mwingi kupiga simu ya bure ya Jeshi hilo kwa lengo la kuwasalimia Askari waliopo zamu pamoja na kuulizia uwepo wa maji ya kutosha na utayari wao, ambapo limebainisha kuwa hali hiyo inazuia...
  11. Stephano Mgendanyi

    Mchakato wa Twiga Cement Kuinunua Tanga Cement Uwekwe Wazi ili Kuondoa Malalamiko

    MHE. TIMOTHE MNZAVA - MCHAKATO WA TWIGA CEMENT KUINUNUA TANGA CEMENT UWEKWE WAZI KUONDOA MALALAMIKO Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Paul Mnzava leo Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara amesema Mchakato wa Kampuni ya Twiga Cement...
  12. Njegele

    Malalamiko ya watumishi shule ya secondary Bulima

    Leo ikiwa ni siku ya wafanyakazi duniani, khari ni tofauti kwenye shule ya secondary Bulima. Shule hii inamilikiwa na umoja wa wazazi Tanzania (CCM) Kwa mwaka huu(2023) shule imejifunga baada ya kukosa wanafunzi. Hasa tatizo lipo Kwa watumishi ambapo mpka Sasa uongozi wa shule hautaki...
  13. Waterbender

    Malalamiko: Wanawake kutokuvaa sidiria kufunika Nyonyo

    Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada. Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani nyonyo nazo zinachungulia deli sasa inaleta mtafaruko kidogo. Tuko kwenye uchumi mgumu na mnazidi...
  14. 2013

    Mitandao ya Simu inavyotuibia Bando za Intaneti

    Mie nimekuwa mtumiaji wa tiGo na Airtel. Ilikuwa wakizingua Airtel nahamia tiGO and viceversa. Hivi sasa Hali imenifika shingoni sina pa kukimbilia. Manake Wote ni majambazi. Unaweka Bando la wiki. unalazimika kushusha mtandao kwenye Simu isome 3G badala ya 4G. Lakini haujamaliza Dk 5...
  15. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Malalamiko ya mfumuko wa bei yakizidi maana yake sekta Binafsi sio msaada kwa wananchi! Serikali iingie mzigoni kuleta ushindani!

    We JARIBU kufikiri Eti mafuta juu,vyakula juu kisa sekta Binafsi inatafuta faida kubwa kwa kuwanyonya wananchi! Una jkt,magereza,watoto wa mitaani wanaokua Panyaroad halafu Eti unashindwa kuwatumia hao kuzalisha na kuwa price regulator wa bidhaa nchini!unaachia sekta Binafsi PEKEE uamue hatma...
  16. B

    Ridhiwani: Barua za Utumishi zijibiwe haraka kuepusha malalamiko yasiyo ya lazima

    Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa Idara ya Utawala wa Utumishi wa Umma kujibu kwa wakati barua za masuala ya kiutumishi ili kuepuka malalamiko yasiyo ya lazima ambayo yamekuwa yakielekezwa katika Ofisi ya...
  17. JanguKamaJangu

    Marekani: Ikulu yaunga mkono Muswada wa kupiga marufuku TikTok

    Mswada huo utamruhusu Rais wa #JoeBiden kupiga marufuku teknolojia zinazoonekana na Idara ya Biashara ya nchini humo kuweza kuleta "hatari isiyofaa au isiyokubalika" kwa usalama wa Taifa. Serikali ya Marekani na Maafisa wa kutekeleza #Sheria wamedai kuwa TikTok, inayomilikiwa na kampuni ya...
  18. H

    BASATA: Hatujapokea malalamiko ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki

    Baraza la sanaa Tanzania limekiri kwamba hawajapokea malalamiko yoyote ya Harmonize dhidi ya Wasafi na Ziiki, Katibu wa BASATA amekiri Hilo baada ya kufanyiwa mahojiano na East Africa TV ameongeza kuwa sisi tunafanyia kazi malalamiko ambayo yamewasilishwa kwenye ofisi zetu official. Na...
  19. mzalendoalltz

    Malalamiko ya Upendeleo kwa wasimamizi wa Road Reserve Dar es Salaam

    Wananchi wengi wanalalamika hasa suala la upendeleo wa wazi unaoonyeshwa na wasimamizi wa eneo tengwa la barabara yaani (Road reserve) tunaona serikali inafanya jitahada za kuwaondoa wavamizi sawa ila idara hii imekuwa sugu kwa Rushwa maana kuna watu wengi wapo na hawaondolewi na wamekaa miaka...
  20. Nyankurungu2020

    Mikutano ya hadhara inayokiuka ibara ya 30 ya JMT ni ubatili wa kisiasa. Imeruhusiwa ili kupoza malalamiko ya ufisadi unaotamalaki nchini

    Kwani tatizo ni kuwa na mikutano ya hadhara? Tatizo ni namna inanvyovunja katiba ya ya JMT hasa ibara ya 30 ya katiba ya JMT inayotaka kutumia haki za kikatiba bila kuleta vurugu, kuathiri wengine n.k Sasa hivi zitaanza vurugu ambazo zitasababisha watu wasifanye kazi, matusi na virungu kuanza...
Back
Top Bottom