malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli

  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    12 Common Windows 11 Issues And Fixes

    12 Common Windows 11 Issues And Fixes Windows 11 is a bit of a mishmash. On the one side, many users would like to stay on Windows 10. Better window snapping choices, more flexibility over desktop systems, and new design touches such as curved edges on windows are all compelling reasons to...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    How To Install Windows 11 On Unsupported Devices

    How To Install Windows 11 On Unsupported Devices Microsoft’s latest operating system, Windows 11, is now here, and while it comes with a long list of system requirements, it’s feasible to get around them. Microsoft has even written a blog post describing how to install Windows 11 if you don’t...
  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    Windows 11 Restarts Automatically? Try These Fixes.

    Windows 11 Restarts Automatically? Try These Fixes. Annoyed because your Windows 11 restarts automatically? Don’t worry we’ll help you fix it. Have you recently upgraded your PC to Windows 11 and experienced this horrific issue where your Windows 11 PC restarts automatically? We know how...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Baadhi ya viongozi wa Afrika wakienda Marekani wanakaa hoteli za kifahari

    Hatari kweli viongozi wa Bara la Afrika Tanzania ni mojawapo, wakija mjini New York nchini Amerika, wanatumia pesa nyingi kukaa katika mahoteli ya kifahari kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa aka UN. Wakati wananchi wao wanakufa na njaa na umasikini majangaa kweli hayo.
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mganga huyo wa asili kutoka Tanga ana tibu matatizo yote

    Mganga huyo wa asili kutoka Tanga ana tibu matatizo yote
  6. Herbalist Dr MziziMkavu

    Tanzania yatoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola

    Tanzania yatoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola Wizara ya Afya nchini Tanzania imewashauri wananchi wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola siku moja baada ya nchi jirani ya Uganda kuthibitisha mlipuko mpya wa virusi vya ugonjwa huo. Naibu Waziri wa afya Dk Godwin Mollel...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    Nimeuziwa mbwa badala ya ng'ombe looh majangaa

    WATU WA IRINGA AKA WATANI WANGU NI HATARI SANA WAMENIUZIA MBWA BADALA YA NG'OMBE.
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mvulana wa miaka 10 alikamatwa nchini Uchina kwa kumkaba koo hadi kufa Bibi yake Mzaa Mama

    Michelle De Pacina Mvulana mwenye umri wa miaka 10 amekamatwa nchini China kwa kumweka nyanyake kwenye kitanzi cha kichwa na kumnyonga hadi kufa. Katika video inayosambaa mitandaoni, bibi huyo anaonekana akimpiga mvulana huyo mara mbili kichwani kabla ya kumpiga ngumi ya kifua na kumshika...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Dr. Mwaka amjibu Sheikh wa mkoa wa Dar

    Dr. Mwaka amjibu Shekhe wa Mkoa wa DSM Dr. Mwaka amesema kuwa watanzania siyo wajinga na wanayofanyiwa wanayaona, Masheikh wachafu na wasafi wapo na watanzania wanawajua. Ushahidi wa Masheikh hawa wachafu, watanzania wanao na hata yeye Mwaka mwenyewe anao pia. Akasema kuna watu ambao kwa...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mwanamke adai kupigwa ngumi na mchungaji wakati wa maombi

    Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea. Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya...
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ama kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake

    Mafuriko Makubwa yaliyotokea nchini India kila mtu akijaribu kumuokoa mungu wake asipatwe na mafuriko. Loooh Majanga kweli kweli.
  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    Kibanda cha mlinzi gharama yake ni Tsh Milioni 11

    Viongozi wanapiga pesa kibanda hicho hakiwezi kufika hata Shilingi Milioni 4 Looohh Majangaa kweli. Ama kweli Kazi iendelee........Hongera Mama Rais.
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wamekubali akina Mwigulu Nchemba na mawaziri wenzake kuhusu tozo za mialama ya simu

    Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dodoma juzi. Wengine kuanzia kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Innocent Bashungwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na wenye...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Picha zangu za leo katika ubora wake

    UNAZIONAJE?
  15. Roving Journalist

    Simbachawene: Kijana wangu Mshugulikieni hadi awe na adabu kwa mujibu wa Sheria

    Nimeiona clip inayozunguka kwenye mitandao ya kijamii , nakiri kuwa huyo ni kijana wangu ambae ni mtu mzima anajitegemea na anafamilia yake…. Nimemwagiza Mkuu kituo kwa sababu amekosa adabu kwa jeshi la polisi na ametenda kosa la usalama barabarani ASHUGHULIKIWE BILA HURUMA KWA MUJIBU WA...
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ukitaka kuoa nchini Papua Guinea masharti yake hayo hapo chini

    Huko nchini Papua Guinea kuna kabila linaitwa Dani ambalo mwanaume anapotaka kuoa, sharti akate kidole chake cha mkono wa kulia na kumpelekea mkewe mtarajiwa kama sehemu ya mahari na upendo wake wa dhati kwake. Na kama mwanaume anataka kumpa talaka mkewe, pia ni sharti akate vidole vyake viwili...
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo

    Vita Ukraine Haiwezi Kuisha kwa Kuipuuza Urusi, Jumuiya za Kimataifa Zitambue Hilo Rais wa Uturuki Recep Tayyip Edorgan akiwa na Rais wa Urusi Vladimir Putin jijini Moscow MSAIDIZI Mkuu wa Rais wa Uturuki amesema kuwa jumuiya ya kimataifa haiwezi kumaliza vita nchini Ukraine kwa kuipuuza...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Ujumbe maalum kutoka kwa Afande Sele

    Download 720
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mambo matano unayotakiwa kufanya iwapo simu yako ya mkononi imeibiwa

    Tunaburudika tukiwa mbali na nyumbani, tunapuuzilia mbali kutumia simu ya rununu kwa muda na tunapoangalia mfukoni, begi au mahali tulipoiweka, haipo tena. Wezi wanaweza kuwa na ujuzi mkubwa wa kuiba simu za mkononi kwa kipindi kifupi tu. Mbali na kutufanya tujisikie vibaya, wizi wa simu za...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mike Tyson amrushia ngumi abiria mwenzake katika ndege baada ya kurushiwa chupa

    Bondia wa zamani wa uzito wa juu Mike Tyson amempiga ngumi abiria mwenzake katika ndege baada ya mtu huyo "kumrushia chupa ya maji," msemaji wa Tyson amesema. Video iliyochukuliwa kwenye ndege hiyo inamuonesha Tyson akiwa ameegemea kiti chake huku akimpiga ngumi za mara kwa mara mtu ambaye...
Back
Top Bottom